January Makamba: A New Generation Leader!

January Makamba: A New Generation Leader!

DSC_8252.jpg
 
Sina data zake .. watalaamu hebu tupeni CV yake

na shule alizo soma......inaonekana afadhali kuliko akina kinjekitile na wengine wa namna hiyo
 
Ni kweli kabisa huyu kaka ni new generation leader.huwa wanatoa point za maana yy na mwenzake Mashaka. Watu mnaomponda huyu kaka mna wivu kwa kuwa nyie hicho kipaji hamnacho, watanzania hebu tuamke sasa mambo ya wivu yamepitwa na wakati.Tujifunze kumpa mtu hongera kwa mafanikio aliyo nayo kuliko kumkandia.
 
Ni kweli kabisa huyu kaka ni new generation leader.huwa wanatoa point za maana yy na mwenzake Mashaka. Watu mnaomponda huyu kaka mna wivu kwa kuwa nyie hicho kipaji hamnacho, watanzania hebu tuamke sasa mambo ya wivu yamepitwa na wakati.Tujifunze kumpa mtu hongera kwa mafanikio aliyo nayo kuliko kumkandia.

Hebu waeleze dada, maana mi nimesema mpaka nimechoka. They all need to grow up!
 
Sina data zake .. watalaamu hebu tupeni CV yake

na shule alizo soma......inaonekana afadhali kuliko akina kinjekitile na wengine wa namna hiyo

Huwezi kumuweka na kina kinje, he's waaaaaaay smarter than them!
 
www.gmu.edu

sasa kama watu mnawakana watu potential na wako juu kama january,Shayo,Ridhiwani,john mashaka so nani do you think anafaa?...maana hawa watu wote vichwa ila kutwa watu kukosoa vitu ambavyo havipo.....tutafika kweli?...kazi kweli kweli...

then mnakazana wame plagiarize...si mtoe evidence basi kwa nini tuandikie wino wakati kalamu ipo?..its all about evidence..unless otherwise innocent until proven guilt

Kelly01,

How much do you charge for pimping?
I'd like to hire you one day.
 
Wacheni kampeni zenu, Hakuna cha Makamba wala Makatani hapa Rais Jk ataendela mpaka pale atakapo maliza kipindi chake cha pili , kwa hiyo hakuna haja ya kuleta ngonjera ,subirini mpka 2015.

Sonara,

Kuna kitu kinaitwa maandalizi. Huyu bibie Kelly01 bila shaka anaamini kama akianza kutajataja jina la kipenzi chake JM basi inshallah wakti ukifika mambo yatakuwa mteremko.

Plus kwa kukusanya attacks zenu mapema kama sasa inatoa fursa kujiandaa kwa majibu thabiti wakti ukifika.

Ni strategy nzuri kwa Bwana JM kama ana nia ya kukalia kiti cha bosi wake hapo baadae.
 
Well! well! well!.......................South africa walikuwa wanaimba."freedom is coming tomorrow!...hahahahaha na hiii ni chorus ya watanzania "Change is coming to Tanzania"......I love this song hahahahah!


Good Morning!....wasalaam Aleykhum bandugu!......

xoxo
 
Sidhani kama kuonge na Obama unakuwa kiongozi mzuri. Hapa unaamaanisha ukiongea na Obama muda mrefu unaambukizwa Obamania. Mkuu, hii si issue kabisa. Tupaties SWOT analysis ya January ili tuweze kujaji kama ni kiongozi. Kwanza kabisa ujue wapo viongozi wazuri tanganyika ambao hawatapata nafasi ya kuongea na Obama kwa hiyo hicho sio kigezo, pili hawa watoto wa wakubwa wanaupendeleo fulani ukilinganisha na mtoto wa mkulima kule nanyumbu au ileje.
Naona wewe ni limbukeni wa hizi events, kuna watu wameumbwa kujipendekeza popote tu, na nahisi hili ndio sahihi kwa January.
Lete SWOT ili tumchambue.
 
well! Well! Well!.......................south africa walikuwa wanaimba."freedom is coming tomorrow!...hahahahaha na hiii ni chorus ya watanzania "change is coming to tanzania"......i love this song hahahahah!


Good morning!....wasalaam aleykhum bandugu!......

Xoxo
wtf!......
 
Back
Top Bottom