Binti Maringo
JF-Expert Member
- Jul 4, 2007
- 2,804
- 96
- Thread starter
- #41
Asante mkuu kwa hizi details. Ila dada yetu kasema anafaa uongozi na ni future leader kama akiandaliwa ila haja taja hivyo vigezo vinavyo pelekea yeye kuamini hivyo. Kuwa mwandishi wa hotuba/mshauri wa raisi is a start but it doesn't yet justify why he can be a future leader of Tanzania.
Kuandaliwa siyo lazima uwe kwanza ww mbunge or so ila kwanza unaanzia chini then unapanda juu so as yeye JM kwanza anaanza kuangalia mazingira ya Ikulu yakoje kwa kuwa mwandishi na mushauri wa raisi.....then we carry on from there...wewe sana sana kaka yangu mwanF unataka kujua nini na kuamini kuwa jamaa ni kichwa?....