January Makamba: A New Generation Leader!

January Makamba: A New Generation Leader!

MwanaF!....That is a lie hamna mtu aliyewazungusha bali mnaambiwa then mnakuwa hamsomi and you kee asking ........same question over and over sasa sijui ni jibu gani mnalotaka so far!.....then at the end of the day mnasema watu wako ........so defensive....GT ameshawapa wasifu wake then akasema je na nyie mnaweza kujielezea what makes you think hafai?...na the only jibu linalotoka ni kwamba ana copy and paste na kuandika hotuba mbovu kwa rais....that's it kwa kweli?..........kwa kweli nyie wanaume mmenisikitisha sana inaonekana mna insecurity na JM!,.,.....

XOXO

Dada Kelly tulicho taka tu ni some form of proof kama maandishi yake au outside source inayo muelezea vizuri. Una danganya ukisema GT katoa wasifu wake GT kajaza mipicha tu na hajasema anything inayo prove anything. So far mmesema tu yuko hivi au vile bila kutoa ushahidi so unless mnamjua at a personal level hatuwezi kuamini tu kuwa character yake iko hivi. Is it insecurity to ask about the guy? Au ulitaka tu kila mtu amkubali dada angu. na hiyo ya kusema sisi ndiyo tutoe hoja kumkosoa ina chekesha because wewe ndiyo umeanzisha thread,Ingekua wewe wakutoa proof ya uki semacho kisha tujadili. Right now tuna sikia to personality yake and as we all know from JK personality doesnt make a leader.
 
MwanaF!....That is a lie hamna mtu aliyewazungusha bali mnaambiwa then mnakuwa hamsomi and you kee asking ........same question over and over sasa sijui ni jibu gani mnalotaka so far!.....then at the end of the day mnasema watu wako ........so defensive....GT ameshawapa wasifu wake then akasema je na nyie mnaweza kujielezea what makes you think hafai?...na the only jibu linalotoka ni kwamba ana copy and paste na kuandika hotuba mbovu kwa rais....that's it kwa kweli?..........kwa kweli nyie wanaume mmenisikitisha sana inaonekana mna insecurity na JM!,.,.....

XOXO

Mbali ya kujaza mapicha, alichoandika GT ni hiki hapa,
Interesting lakini usisahau kuwa Tanzania used to be governed by the Establishment, a network of people who knew each other (often through family) and largely shared the same social background, education and values. These values were pre-eminently colonial: their best qualities were public service and incorruptibility, their worst were amateurism and snobbery. Their values were very strongly enforced - the former PM bwana SOKOINE who rejected them, was left to dry at the Establishment's behest na hilo halna ubishi hata kidogo.

Pua tunajua kuwa for about a 30 years tangu tupate uhuru this Establishment and its values dominated the governance of Tanzania through its grip on its major institutions, the home and overseas civil service, the armed forces, the judiciary and the Dar es salaam city (before deregulation). They were buttressed by the Nyerere's presidency, the churches, and most of the state owned media.

Although they dominated the political system, they regarded politics as a duty, rather than a career: indeed kila mmoja wetu anajua kuwa for most of the twentieth century it was almost impossible to make a living out of politics alone. People went into politics to represent their class or their locality, and they kept strong personal links with the interests in civil society which they represented....they are many the Mwinyi's, The SYKES,the KARUMES, the MALECELAS and so on...so its not January's fault to be born a Makamba and i am sure January is a million times better than Salva and the other mediocre bunch ambao wako pale lakini wanachokifanya hakieleweki.




He has the academic credentials even though he didn't go to those red brick institutions. Can you enlight what you really mean by allright schools..and certainly January doesn't have a MICKEY MOUSE DEGREE like the other lot at Magogoni.


Interesting...but surely katika Ikulu iliyojaa watu wanao damage presidency ya JK na zaidi by certain top figures who i can rightly state are the most most stupid government officials ever to breathe, In fact i am talking about Luhanjo who is a Stalinist in outlook, totalitarian by instinct, reactionary by nature, arrogant in character.

so its its obvious the main glimmer of HOME mle ndani ni January Makamba


At least January had some guts. Hell, to me January thinks like Leo Mc Garry, decides like Sam Seaborne,acts like Tobby Ziegler,sharp as Will Bailey and could probably hoop like Charlie Young and actually fits well with Jakaya Kikwete as his chief of staff.

Mpaka inafikia January Kusema aliyosema its because of those DINOSAURS waliojazana mle ndani and also because they live in a sealed world - like astronauts on an alien planet, moving along airlocked passages between a series of domes: party machines: "think-tanks"; Parliament; government; MAGOGONI bureaucracy; lobbying; consultancies; media, all within the giant dome of IKULU. iTS also a known fact kuwa form a self-admiring, self-promoting coterie and although they can plot viciously against each other they protect each other equally fiercely from

Wewe na Kui mmekazania ooh do your homework or Google and blah blah, kuna mwingine kasema "he spent his adulthood in the US".

E. it's not too much to ask, I said before I don't have his work in writting, if you want to see something in writting do your homework, man!
 
MwanaF and E.......Kwa hiyo unataka kuniambia hiyo paragraphy nzima aliyoandika GT bado hamjaielewa?......kukaa US ni exposure tuu hata wewe E una exposure na kukaa US na MwanaF na kukaa adis Ababa ila kuna vitu ambavyo mtakubaliana na mimi kuwa hamuwezi na hamko same page na JM!....
 
MwanaF and E.......Kwa hiyo unataka kuniambia hiyo paragraphy nzima aliyoandika GT bado hamjaielewa?......kukaa US ni exposure tuu hata wewe E una exposure na kukaa US na MwanaF na kukaa adis Ababa ila kuna vitu ambavyo mtakubaliana na mimi kuwa hamuwezi na hamko same page na JM!....

Wangapi wamekaa US au kwingineko duniani kwa miaka kadhaa na wamerudi Tanzania hakuna lolote walilofanya zaidi ya kumezwa na system na kuwa kama waliowakuta?
 
Wangapi wamekaa US au kwingineko duniani kwa miaka kadhaa na wamerudi Tanzania hakuna lolote walilofanya zaidi ya kumezwa na system na kuwa kama waliowakuta?


See Eq!...now you are getting to the point.....yes wengi wamekaa US an kwingineko na kisa cha wao kumezwa ni kutokana na ufinyu wao ...mbona JM hajamezwa?....bado yupo gado na yupo kwenye system na inaonekana ni kiasi gani mchango wake anaotoa huko ikulu kuonekena na watu wote nje na ndani ya tanzania.....
 
See Eq!...now you are getting to the point.....yes wengi wamekaa US an kwingineko na kisa cha wao kumezwa ni kutokana na ufinyu wao ...mbona JM hajamezwa?....bado yupo gado na yupo kwenye system na inaonekana ni kiasi gani mchango wake anaotoa huko ikulu kuonekena na watu wote nje na ndani ya tanzania.....

Sasa naomba mtuonyeshe huo mchango wake, maana mimi sijauona.
 
MwanaF and E.......Kwa hiyo unataka kuniambia hiyo paragraphy nzima aliyoandika GT bado hamjaielewa?......kukaa US ni exposure tuu hata wewe E una exposure na kukaa US na MwanaF na kukaa adis Ababa ila kuna vitu ambavyo mtakubaliana na mimi kuwa hamuwezi na hamko same page na JM!....

Ndio maana nakupenda shosti....hebu wape dozi zao kisawa...lol!
 
Wangapi wamekaa US au kwingineko duniani kwa miaka kadhaa na wamerudi Tanzania hakuna lolote walilofanya zaidi ya kumezwa na system na kuwa kama waliowakuta?

Now you're talking, see, january is different from all those wanaorudi na kuonyesha sura tu, badala ya kutumikia nchi au hata their closest communities.
 
January is my friend, however, I will provide a neutral testimony on whether he is the man for 2015.

1. I do not believe by 2015, January will meet the 40 qualification to be a president of URT.

2. January is raw talent and bright, however he needs polishing and gain experience and that is why in 2004, I declared that between 2020 or 2025, I will be ready to work with either him or John Mnyika for URT presidential campaign. January has made progress as he grows, however he will need to have a proven track record of both successful leadership and management, before he can toss his name into Presidential candidacy.

3. To be successful leader you need to have massive talents to motivate people, gain followers and management skills that will ensure effective leadership. It is not about certificates, language skills or ability to break down data. What Tanzania need is a dynamic Leader/Manager who is not only visionary, but highly efficient, motivator, accountable and a hard worker. January can become one if given chance, and is many of level heads in here at JF.

4. A succesful leader has to be open minded to hear opposing and challenging views. He/She has to be able to embrace difference of opinion, accept different idea and handle criticism well, whether is constructive criticism or simply ridicule! A leader has to accept feedback, positive or negative. This is an area not only January needs to improve, but majority of us, we The Tanzanians here at JF and even in our leadership circles.

5. January has garner a vast exposure of our country, working with Kikwete during campaign 2005 and several assignments that he was assigned to handle or facilitate. This gives him an upper hand, in shaping his vision and planning for a future development of Tanzania as long as he kept a journal of his Tanzania expedition.


I will quote January on a question I posed to him in 2003 and here is his response:

Re: If you were a Candidate 2005
‏From:
offline16.png
jmakamba@gmu.edu
Sent:Sat 2/08/03 5:58 AM


Rev,

The following will be my priorities:

1. I will equip the government Auditor's office with professional staff and make it an independent, efficient and effective institution to ensure the accountability of all government Ministries, departments and parastatals.

2. All Ministries and government parastatals will produce quarterly reports of all resources allocated to it and how it was spent. These will be public documents accessible to all Tanzanians.

3. All government employees will be paid a "living wage" so that no member of the civil service is forced to engage in corruption to meet his or her basic needs.

4. Through new legislation, the PCB will be given the necessary teeth to fight corruption. Its independence and prosecutorial powers will be
enhanced.

5. The legal system and judiciary will be strengthened and improved to complement the efforts of the PCB.

6. The BOT and the Ministry of Finance will embark on recruitment and retention of highly skilled individuals. This team will be responsible for implementing my agenda for financial management, an agenda that will prioritize the development of a tax base, wise use of donor and loaned funds, and responsible financial management.

7. The current system of governance is too centralized. To give people more say in governance and control of the country’s resources, local governments will be strengthened. The tax regime will be overhauled to allow local governments to keep a sizeable tax base. Particular functions of government (up to secondary education, public safety, health, etc.) should be performed by the lowest level of government consistent with effectiveness and efficiency. This is crucial in the consolidation of democracy and accountability.

8. Human rights are enshrined in our Constitution, but my government will transform these promises from aspirational, abstract values into the fundamental building blocks of law, order and social harmony.

Among my first actions upon assuming office will be to take another look at those notorious "40 laws" mentioned in Nyalali Commission with the intention of getting rid of them.

9. The judiciary will be empowered to ensure its independence and accessibility to the entire citizenry.

10. The prison system and the entire criminal penal code will be reviewed to ensure humane treatment of inmates and explore alternatives to incarcerations.

11. I will transform a culture of patronage into a culture of merit. All appointments to cabinet and government posts will be based on merit, drawing not just from my party's members but also from non-politicized Tanzanians.

12. My government will launch aggressive measures to promote economic and social development in the rural areas based on viable incentives for rural people. I will embark on development strategies that will emphasize the sustainibility of rural livelihoods and prevent - and reverse - rapid urbanisation that we are experiencing now.

13. I will promote foreign investments, of course. However, in contrast to other African countries with foreign investment-led development strategies, my government will be careful to ensure that Tanzania's development is rooted in indigenous business and benefits ordinary Tanzanians.

....Rev, I could go on, I have left so much stuff: education, health, infrastructure, foreign policy, etc. I just realise why politicians have so much to say!

January Makamba
Institute for Conflict Analysis & Resolution
George Mason University
Is he the only one who is qualified or the right person? my answer is there are many who are viable candidates who have qualifications and can become leaders.

There has never been the right person, Mkapa was supposed to be the right President, and so is Kikwete, however... we are spending quality time lamenting about their lack of dynamisim and efficiency as leaders.

We call Kikwete (I have called him) inneptitude, others are calling him a national treasury spender, and Mkapa is infamously known as Fisadi!

I believe by 2020 or 2025, January could be one of credible candidate for Urais, if that is what he is aspiring to do!
 
January is my friend, however, I will provide a neutral testimony on whether he is the man for 2015.

1. I do not believe by 2015, January will meet the 40 qualification to be a president of URT.
2. January is raw talent and bright, however he needs polishing and gain experience and that is why in 2004, I declared that between 2020 or 2025, I will be ready to work with either him or John Mnyika for URT presidential campaign. January has made progress as he grows, however he will need to have a proven track record of both sucessful leadership and management, before he can toss his name into Presidential candidacy.
3. To be sucessful leader you need to have massive talents to motivate people, gain followers and management skills that will ensure effective leadership. It is not about certificates, language skills or ability to break down data. What Tanzania need is a dynamic Leader/Manager who is not only visionary, but highly efficient, motivator, accountable and a hard worker. January can become one if given chance, and is many of level heads in here at JF.
4. A succesful leader has to be open minded to hear opposing and challenging views. He/She has to be able to embrace difference of opinion, accept different idea and handle criticism well, whether is constructive criticism or simply ridicule! A leader has to accept feedback, positive or negative. This is an area not only January needs to improve, but majority of us, we The Tanzanians here at JF and even in our leadership circles.
5. January has garner a vast exposure of our country, working with Kikwete during campaign 2005 and several assignments that he was assigned to handle or facilitate. This gives him an upper hand, in shaping his vision and planning for a future development of Tanzania as long as he kept a journal of his Tanzania expedition.


I will quote January on a question I posed to him in 2003 and here is his response



Is he the only one who is qualified or the right person? my answer is there are many who are viable candidates who have qualifications and can become leaders.

There has never been the right person, Mkapa was supposed to be the right President, and so is Kikwete, however... we are spending quality time lamenting about their lack of dynamisim and efficiency as leaders.

We call Kikwete (I have called him) inneptitude, others are calling him a national treasury spender, and Mkapa is infamously known as Fisadi!

I believe by 2020 or 2025, January could be one of credible candidate for Urais, if that is what he is aspiring to do!

Thanks Rev.

Haya, wenye ndimi ndefu anzeni kujiuma...

Y'all mind that, this was 2003...wenye ndimi ndefu mlikuwa wapi? mnacheza mdakoooo!
 
Kelly and All,

Nimesoma kurasa zote ila sijaona Proven Track record ya huyo kijana wa Makamba,na ishu ya kuongea na Obama siyo kigezo cha yeye kuwa kiongozi anyefaa na kama alikupa Habari za kuzungumza na Obama kwa muda Mrefu alikudanganya kabisa!

Kuhusiana na Ridwani JK,Kijana mwenyewe ni kilaza by default .Kama nchi ikiendelea kulea na kuwa na watu kama hawa basi nawaapia kwa jina la Mungu nchi hii haitafika Mbali.

Binti wa karume yeye ndiyo anoongoza kuvunja Sheria ,rejea alivyompiga hakimu na kumdhihaki na aliachwa tu.Hell No!

Mie nadhani tunahitaji kutengeneza viongozi ambao hawajawahi kuishi katika maisha ya kifisadi na uzandiki.Kama Mtu amelelewa kifisadi na inawezekana kazi alipewa kwa mazingira ya kujuana(Je kazi ya Jan alipewa kwa uzoefu gani?).Kama mtadgundua hata hotuba nyingi za mkulu zimejaa blah blah tu bila kujenga hisia nzito zilizo na ukweli.
 
Kelly and All,

Nimesoma kurasa zote ila sijaona Proven Track record ya huyo kijana wa Makamba,na ishu ya kuongea na Obama siyo kigezo cha yeye kuwa kiongozi anyefaa na kama alikupa Habari za kuzungumza na Obama kwa muda Mrefu alikudanganya kabisa!

Kuhusiana na Ridwani JK,Kijana mwenyewe ni kilaza by default .Kama nchi ikiendelea kulea na kuwa na watu kama hawa basi nawaapia kwa jina la Mungu nchi hii haitafika Mbali.

Binti wa karume yeye ndiyo anoongoza kuvunja Sheria ,rejea alivyompiga hakimu na kumdhihaki na aliachwa tu.Hell No!

Mie nadhani tunahitaji kutengeneza viongozi ambao hawajawahi kuishi katika maisha ya kifisadi na uzandiki.Kama Mtu amelelewa kifisadi na inawezekana kazi alipewa kwa mazingira ya kujuana(Je kazi ya Jan alipewa kwa uzoefu gani?).Kama mtadgundua hata hotuba nyingi za mkulu zimejaa blah blah tu bila kujenga hisia nzito zilizo na ukweli.

Jamani, mmeambiwa sio sasa, in the future, when he's well experienced!
 
Thanks Rev.

Haya, wenye ndimi ndefu anzeni kujiuma...

Y'all mind that, this was 2003...wenye ndimi ndefu mlikuwa wapi? mnacheza mdakoooo!

It is important you mind your language. Lugha za kejeli na matusi ni dalili ya kushindwa hoja.
 
Ladies and Gentlemen, we know Yussufu, the sacked hakimu Makamba,the Voda Makamba, who the hell is this calender Makamba?
 
Companero:

Umenisaka mpaka huku? kwikwikwi. Anyway, Generation P.I (Post independency) inatakiwa kufanya kweli lakini kuna masharti.

Hiyo quote yangu nadhani niliitoa nikiwa darhotwire, toka niondoke kule nimepitia transformation nyingi sana. Mojawapo ni kuelewa kuwa kuna kitu kinaitwa societal traps.

Wazee wetu wengine wakiwa bado wameng'ang'ania madarakani wame-create societal traps nyingi na kwa bahati mbaya zinarithiwa na generation P.I. Hivyo nina wasiwasi na usemi wangu wa mwanzo.

Naam umenena, naona Paul Collier kakubadilisha na nadharia zake za 'Four Traps'. Sasa umeshasoma na ile nadharia wa Stephen R. Covey kuhusu 'Transition Child'? Tunachohitaji ni watoto wa hao vingunge ambao wako tayari kuukana huo urithi na kuwa 'Wana wa Mpito' watakaoshirikiana nasi kuleta mabadiliko (Transition). Naona NN alijaribu ila wakamzima. Sina hakika kama JM, AM, VK na wengineo wako tayari kujivua huo urithi wao.
 
lol!, sijui nani kashindwa hoja hapa... gotcha!


Mh..hebu nikumbushe hoja ni ipi hapa kwenye hii thread? Maana naona maluweluwe tu..watu wameanza kuuliza kitambo tu merits na credits ambazo Makamba anazo ili awe Magogoni..badala ya majibu mujarabu tunaona vituko tu na maoni..au hizi ndo hoja ...lol

What we need is facts & figures mazee..
 
Back
Top Bottom