kui
JF-Expert Member
- Mar 2, 2009
- 6,467
- 6,499
Mh..hebu nikumbushe hoja ni ipi hapa kwenye hii thread? Maana naona maluweluwe tu..watu wameanza kuuliza kitambo tu merits na credits ambazo Makamba anazo ili awe Magogoni..badala ya majibu mujarabu tunaona vituko tu na maoni..au hizi ndo hoja ...lol
What we need is facts & figures mazee..
Unaweza kutafuniwa lakini si lazima umezewe..