January Makamba amefuta mradi wa kujenga Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa KICC na kuja na miradi ya upigaji ya kujenga magorofa nchi za nje

Hujui chochote, unabwabwaja tu kwa sabubu ya kukosa exposure.
 
Mikutano Mingi sana imefanyika ya wajumbe Hadi 2,000 achilia hao buku ya hivyo inafanyika Kila mwaka.

Mfano mwezi ujao Kuna Mkutano wa Mambo ya Uvuvi Afrika zaidi ya deligates 1,5000 wanakuja.
Itaje hiyo mikutano kwa majina yake, acha porojo zako.
 
Wizara ya mambo ya nje inatumia sana kuliko mapato/inavyozalisha; achilia mbali madeni na misaada michache.
Katika kubuni vyanzo vya mapato kupitia wizara yake, yuko sahihi; ingawa kimuonekano itakuwa inapendezesha miji ya wengine.
Muhimu tu angeeleza baada ya muda gani hiyo fedha ya uwekezaji itakuwa imerudi.​
 
Upuuzi,huo sio ubunifu ni ujinga.Kuna vitu vingi vya maana wanaweza kubuni na vikafanya vyema hapa hapa ndani ya Nchi.

Wanashindwa nini kuungana na TBA au National Housing kuweka majengo ya biashara?

Mbona sekta binafsi wanashirikiana na Hayo mashirika na wapangaji wapo?

Ni miradi ya wizi hakuna kitu hapo.Kama Wana viwanja viko poa wawape wawekezaji huko huko wajenge wao wachukue Kodi sio kutumia pesa zetu kujenga Nchi za watu ,hii ni upunguani.
 
Labda tupate elimu kidogo kuhusu hii miradi. Binafsi sifahamu manufaa yake japo huku kwetu waarabu wanamiliki magorofa na tumepangisha huko
 
Miradi kama hiyo ni kichaka cha upigaji nchi haiwezi faidika chochote!
Imagine miradi iko hapa bongo tu upigaji kama wote huko nje ya nchi sindio itakuwa balaa zaidi?!.
Na ukikamilika wahuni wanaingia mikataba na wapangaji serikali inapata m 500 wahuni wanaweka mfukoni bilioni hata 2!.
 
Mfano, kama wewe ndio ungepewa hiyo wizara, na unatakiwa ubuni vyanzo vya mapato kwenye wizara yako na uhakikishe mapato katika wizara yako yanazidi matumizi; ungekuja na wazo lipi?
 
Mfano, kama wewe ndio ungepewa hiyo wizara, na unatakiwa ubuni vyanzo vya mapato kwenye wizara yako na uhakikishe mapato katika wizara yako yanazidi matumizi; ungekuja na wazo lipi?
Kwanza sio kazi ya Wizara ya mambo ya Nje kubuni Vyanzo vya Mapato,hiyo ni kazi ya Wizara ya Fedha na zile za kiuzalishaji.

Kwa.muktadha wa swali lako na mada ya Makamba anatakiwa kufanya yafuatayo
1.Kutangaza viwanja ambavyo wanaweza kuviendekeza Ili wapate private companies zijenge majengo na watakuwa wanachukua Kodi yaani utaratibu wa PPP.

2.Pili wanatakiwa wawe wanahamasisha uwekezaji,kutafuta masoko ya bidhaa zetu na kusaidia kuitangaza Nchi na kuwasaidia Watanzania wafanyabiashara,Wana taaluma nk.
 
Huyo january ni wenu!
 
Naona una point Ila pengine unashindwa kuelezea
Kwamba wawekezaji wajenge hayo majengo alafu Kodi wachukue bolozi za Tanzania?
o
 
Nakumbuka nilishakuambiaga marope ni mwizi,ila ulimtetea,jamaa wakati yuko nishati ulikua mtetezi namba 1 nashukuru na nafurahi sasa umeanza kumjua
 
Hivi tumefikia mahali pa serikali kufanya biashara ya nyumba za kupanga kweli?!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…