Sangizi
JF-Expert Member
- Nov 9, 2015
- 1,942
- 4,230
Kila mtu kwa urefu wake 😃Nchi kwa mipango hii hiishi 😄
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila mtu kwa urefu wake 😃Nchi kwa mipango hii hiishi 😄
Ova
Akili za kijinga za January hizoHivi tumefikia mahali pa serikali kufanya biashara ya nyumba za kupanga kweli?!!!
Lakini mheshimiwa waziri amekuja na faida ya hizo miradi sh billion 692 kwa mwakaMwaka Jana Serikali ya Tanzania ilisema inaenda kufufua Mradi mkubwa wa kujenga Ukumbi mkubwa wa Mikutano ya Kitaifa Kwa jina la Kilimanjaro International Convention and Exhibition Centre-KICC Arusha ambao utakuwa na uwezo wa kuchukua Washiriki zaidi ya 3,000 Kwa Ajili ya kushindana na Kenya, Rwanda kwenye biashara ya Utalii wa Mikutano.
Sasa alivyoingia bwana Makamba Amefuta Mradi huo na badala yake amekuja na plan ya kuanza kujenga majengo makubwa aliyoita ya kibiashara na ya kupangisha kwenye Nchi zingine Kwa kutumia viwanja vinavyomilikiwa na Balozi zetu.
Mfano anasema Serikali utajenga jengo la Gorofa 22 Nairobi Kenya
Itajengwa jengo la Gorofa 25 Kinshasa
Gorofa 18 Lusaka Zambia nk
Hivi na Nchi zingine zinafanya mambo ya ajabu kama hivi? Yaani badala ya kuendeleza kwenu mnajenga Miji ya watu Kwa maelezo kwamba mtapangisha.
Binafsi siungi mkono Mpango huu naona kama ni ufujaji wa pesa za Umma.Tujenge kwetu Kwa manufaa ya Watanzania.
----
TANZANIA KUVUNA TSH 36B KILA MWEZI UJENZI WA MAGHOROFA NJE YA NCHI
Serikali kwa mwaka wa fedha ujao, umepanga kujenga majengo ya kiuchumi katika majiji ya Kinshasa (DRC- ghorofa 25) na Nairobi (Kenya- ghorofa 22).
Picha za majengo ya Nairobi na Kinshasa zipo tayari na picha za majengo mengine ya kitega uchumi katika majiji ya Maputo (Msumbiji), Bujumbura (Burundi), Kigali (Rwanda) na Lilongwe (Malawi) nayo imewekwa wazi.
Hayo yamesemwa leo Jumanne Mei 28, 2024 na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba wakati akiwasilisha bungeni makadirio ya mapato na matumizi ya wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2024/2025.
Wizara imeliomba Bunge kuidhinisha Sh241.069 bilioni ambapo kati ya fedha hizo Sh229.4 bilioni ni kwa ajili ya matumizi ya kawaida na Sh11.6 bilioni ni kwa ajili ya bajeti ya maendeleo.
Maombi hayo ya fedha ni pungufu kwa asilimia tatu ikilinganishwa na bejeti iliyopita na hiyo imetokana na kupungua kwa fedha za maendeleo kwa asilimia 34.
Kwa mujibu wa Makamba, Serikali ina nyumba na viwanja 109 dunaini kote na kodi ya pango wanayolipa ni Sh29 bilioni kwa mwezi.
Amesema uwekezaji huo ukikamilika utaingiza Sh36 bilioni kwa mwezi na kwa mwaka Sh692 bilioni
Kwa makubaliano,huo utaratibu wanafanya NHC Kupitia sera ya ubia.Naona una point Ila pengine unashindwa kuelezea
Kwamba wawekezaji wajenge hayo majengo alafu Kodi wachukue bolozi za Tanzania?
o
Tupe plan yako na faida yake sio unakosoa tu miradi ya waziri Kama uko kwenye baikokoMakamba anatakiwa kufukuzwa
Watumie modality nyingine ya kujenga Nchi za watu sio kutumia Kodi zetu.Lakini mheshimiwa waziri amekuja na faida ya hizo miradi sh billion 692 kwa mwaka
Hizo zinatosha kujenga km 692 za Barabara Kila mwaka
Ni vizuri na wewe ukaja na plan yako na faida zake kwa nchi
Sio kukosoa tu kipumbavu hapa
Au utuambie huu mradi wa KICC utaingiza sh ngapi kwa mwaka
Watalii wengi Arusha wanafuata vivutio vya asili Kama mbuga nk
Sio kumbi na majengo
Kuna Nchi za wenzetu Wana majengo makubwa na makumbi Sana so wanapenda nature zaidi
Soma mada nimeshaeleza sana humu ndani.Kushadidia jambo Hilo ni ujinga.Tupe plan yako na faida yake sio unakosoa tu miradi ya waziri Kama uko kwenye baikoko
Swali, ni katika huo ujenzi zitatumika fedha za kigeni kiasi gani na baada ya muda gani zitakuwa zimerudi?Lakini mheshimiwa waziri amekuja na faida ya hizo miradi sh billion 692 kwa mwaka
Hizo zinatosha kujenga km 692 za Barabara Kila mwaka
Ni vizuri na wewe ukaja na plan yako na faida zake kwa nchi
Sio kukosoa tu kipumbavu hapa
Au utuambie huu mradi wa KICC utaingiza sh ngapi kwa mwaka
Watalii wengi Arusha wanafuata vivutio vya asili Kama mbuga nk
Sio kumbi na majengo
Kuna Nchi za wenzetu Wana majengo makubwa na makumbi Sana so wanapenda nature zaidi
Daaaah1.Kwa hiyo Ulaya hakuna mipangilia Hadi waje Nairobi na Kigali? Acha ujinga.
2.Hospitality industry inaanza na kuwa na sehemu stahiki Kwa shughuli
3.Soko la Biashara ya Utalii na Mikutano halio West pekee
4.Kigali na Tanzania wapi Kuna usafiri wa Anga wa uhakika?
5.Tanzania Iko Juu ya Nchi zote hizo Kwa idadi na thamani ya Utalii,hiyo marketing Yako ni ipi hasa?
Acha blaa blaa Miji Yao Ina facilities za ku handle mikutano ya deligates kuanzia 3,000-5,000 Kwa level za VIP.
Tanzania tuna advantage zaidi Yao ila hatuna Kumbi Zenye hadhi.
Very sad yaani hapa bwana February anajivunia kabisa na kuonesha majengo ambayo Kodi zetu Zinaenda kutumika kujenga Miji ya watu?😏😏😏👇👇Mwaka Jana Serikali ya Tanzania ilisema inaenda kufufua Mradi mkubwa wa kujenga Ukumbi mkubwa wa Mikutano ya Kitaifa Kwa jina la Kilimanjaro International Convention and Exhibition Centre-KICC Arusha ambao utakuwa na uwezo wa kuchukua Washiriki zaidi ya 3,000 Kwa Ajili ya kushindana na Kenya, Rwanda kwenye biashara ya Utalii wa Mikutano.
Sasa alivyoingia bwana Makamba Amefuta Mradi huo na badala yake amekuja na plan ya kuanza kujenga majengo makubwa aliyoita ya kibiashara na ya kupangisha kwenye Nchi zingine Kwa kutumia viwanja vinavyomilikiwa na Balozi zetu.
Mfano anasema Serikali utajenga jengo la Gorofa 22 Nairobi Kenya
Itajengwa jengo la Gorofa 25 Kinshasa
Gorofa 18 Lusaka Zambia nk
Hivi na Nchi zingine zinafanya mambo ya ajabu kama hivi? Yaani badala ya kuendeleza kwenu mnajenga Miji ya watu Kwa maelezo kwamba mtapangisha.
Binafsi siungi mkono Mpango huu naona kama ni ufujaji wa pesa za Umma.Tujenge kwetu Kwa manufaa ya Watanzania.
----
TANZANIA KUVUNA TSH 36B KILA MWEZI UJENZI WA MAGHOROFA NJE YA NCHI
Serikali kwa mwaka wa fedha ujao, umepanga kujenga majengo ya kiuchumi katika majiji ya Kinshasa (DRC- ghorofa 25) na Nairobi (Kenya- ghorofa 22).
Picha za majengo ya Nairobi na Kinshasa zipo tayari na picha za majengo mengine ya kitega uchumi katika majiji ya Maputo (Msumbiji), Bujumbura (Burundi), Kigali (Rwanda) na Lilongwe (Malawi) nayo imewekwa wazi.
Hayo yamesemwa leo Jumanne Mei 28, 2024 na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba wakati akiwasilisha bungeni makadirio ya mapato na matumizi ya wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2024/2025.
Wizara imeliomba Bunge kuidhinisha Sh241.069 bilioni ambapo kati ya fedha hizo Sh229.4 bilioni ni kwa ajili ya matumizi ya kawaida na Sh11.6 bilioni ni kwa ajili ya bajeti ya maendeleo.
Maombi hayo ya fedha ni pungufu kwa asilimia tatu ikilinganishwa na bejeti iliyopita na hiyo imetokana na kupungua kwa fedha za maendeleo kwa asilimia 34.
Kwa mujibu wa Makamba, Serikali ina nyumba na viwanja 109 dunaini kote na kodi ya pango wanayolipa ni Sh29 bilioni kwa mwezi.
Amesema uwekezaji huo ukikamilika utaingiza Sh36 bilioni kwa mwezi na kwa mwaka Sh692 bilioni.
Very sad yaani hapa bwana February anajivunia kabisa na kuonesha majengo ambayo Kodi zetu Zinaenda kutumika kujenga Miji ya watu?😏😏😏👇👇
View: https://twitter.com/JMakamba/status/1802981940594655583?t=SF0hM-AfDXzrGkxtm2rtUA&s=19
Imeniuma sana
Ngoma imeishia hapoMradi utaendelea au ndio umeondoka na waziri??
Ulitaka waandika nini mkuu?Nairobi na Kigali kuna zaidi ya majengo vinavyovutia watu.
1. Hiyo Miji miwili kwa sehemu kubwa imepangaliwa vizuri kuliko Arusha au Dar
2.Hospitality industry yao iko juu kutushinda hasa ikichangiwa na kiwango kizuri cha lugha za Kingereza na Kifaransa
3. Ukaribu wao na West kuliko sisi ambao mara zote tunaishi katikati
4. Sekta imara ya usafiri wa ndege kutuzidi
5. Marketing bora ya utalii kutuzidi, imagine ndege zetu zinaandikwa "Hapa Kazi tu!"
UtaendeleaMradi utaendelea au ndio umeondoka na waziri??
Huo Mradi haufai ufutiliwe mbali yaani pesa zetu za NSSF zikaendeleze nchi nyingine kweli?Mradi utaendelea au ndio umeondoka na waziri??
Hakuna tunaufuta very soon pesa yetu ya NSSF haiwezi kwenda kuendeleza nchi ya kigeni.Utaendelea
Mradi wa Kenya naunga mkono ufutwe na wafufue mradi wa ArushaHakuna tunaufuta very soon pesa yetu ya NSSF haiwezi kwenda kuendeleza nchi ya kigeni.
Pesa ya NSSF inatakiwa iendeleze hapa kwetu kwanza.Mradi wa Kenya naunga mkono ufutwe na wafufue mradi wa Arusha