January Makamba amefuta mradi wa kujenga Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa KICC na kuja na miradi ya upigaji ya kujenga magorofa nchi za nje

January Makamba amefuta mradi wa kujenga Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa KICC na kuja na miradi ya upigaji ya kujenga magorofa nchi za nje

Mwaka Jana Serikali ya Tanzania ilisema inaenda kufufua Mradi mkubwa wa kujenga Ukumbi mkubwa wa Mikutano ya Kitaifa Kwa jina la Kilimanjaro International Convention and Exhibition Centre-KICC Arusha ambao utakuwa na uwezo wa kuchukua Washiriki zaidi ya 3,000 Kwa Ajili ya kushindana na Kenya, Rwanda kwenye biashara ya Utalii wa Mikutano.

Sasa alivyoingia bwana Makamba Amefuta Mradi huo na badala yake amekuja na plan ya kuanza kujenga majengo makubwa aliyoita ya kibiashara na ya kupangisha kwenye Nchi zingine Kwa kutumia viwanja vinavyomilikiwa na Balozi zetu.

Mfano anasema Serikali utajenga jengo la Gorofa 22 Nairobi Kenya

Itajengwa jengo la Gorofa 25 Kinshasa

Gorofa 18 Lusaka Zambia nk

Hivi na Nchi zingine zinafanya mambo ya ajabu kama hivi? Yaani badala ya kuendeleza kwenu mnajenga Miji ya watu Kwa maelezo kwamba mtapangisha.

Binafsi siungi mkono Mpango huu naona kama ni ufujaji wa pesa za Umma.Tujenge kwetu Kwa manufaa ya Watanzania.

----
TANZANIA KUVUNA TSH 36B KILA MWEZI UJENZI WA MAGHOROFA NJE YA NCHI

Serikali kwa mwaka wa fedha ujao, umepanga kujenga majengo ya kiuchumi katika majiji ya Kinshasa (DRC- ghorofa 25) na Nairobi (Kenya- ghorofa 22).

Picha za majengo ya Nairobi na Kinshasa zipo tayari na picha za majengo mengine ya kitega uchumi katika majiji ya Maputo (Msumbiji), Bujumbura (Burundi), Kigali (Rwanda) na Lilongwe (Malawi) nayo imewekwa wazi.

Hayo yamesemwa leo Jumanne Mei 28, 2024 na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba wakati akiwasilisha bungeni makadirio ya mapato na matumizi ya wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2024/2025.

Wizara imeliomba Bunge kuidhinisha Sh241.069 bilioni ambapo kati ya fedha hizo Sh229.4 bilioni ni kwa ajili ya matumizi ya kawaida na Sh11.6 bilioni ni kwa ajili ya bajeti ya maendeleo.

Maombi hayo ya fedha ni pungufu kwa asilimia tatu ikilinganishwa na bejeti iliyopita na hiyo imetokana na kupungua kwa fedha za maendeleo kwa asilimia 34.

Kwa mujibu wa Makamba, Serikali ina nyumba na viwanja 109 dunaini kote na kodi ya pango wanayolipa ni Sh29 bilioni kwa mwezi.

Amesema uwekezaji huo ukikamilika utaingiza Sh36 bilioni kwa mwezi na kwa mwaka Sh692 bilioni
Lakini mheshimiwa waziri amekuja na faida ya hizo miradi sh billion 692 kwa mwaka
Hizo zinatosha kujenga km 692 za Barabara Kila mwaka

Ni vizuri na wewe ukaja na plan yako na faida zake kwa nchi
Sio kukosoa tu kipumbavu hapa
Au utuambie huu mradi wa KICC utaingiza sh ngapi kwa mwaka
Watalii wengi Arusha wanafuata vivutio vya asili Kama mbuga nk
Sio kumbi na majengo
Kuna Nchi za wenzetu Wana majengo makubwa na makumbi Sana so wanapenda nature zaidi
 
Lakini mheshimiwa waziri amekuja na faida ya hizo miradi sh billion 692 kwa mwaka
Hizo zinatosha kujenga km 692 za Barabara Kila mwaka

Ni vizuri na wewe ukaja na plan yako na faida zake kwa nchi
Sio kukosoa tu kipumbavu hapa
Au utuambie huu mradi wa KICC utaingiza sh ngapi kwa mwaka
Watalii wengi Arusha wanafuata vivutio vya asili Kama mbuga nk
Sio kumbi na majengo
Kuna Nchi za wenzetu Wana majengo makubwa na makumbi Sana so wanapenda nature zaidi
Watumie modality nyingine ya kujenga Nchi za watu sio kutumia Kodi zetu.

Pili hayo aliyosema ni matarajio sio assurance ni matarajio.

Watumie private investor kufanya huo uwekezaji kwenye Nchi ya kigeni sio Kodi zetu.

Mwisho mradi Wetu wa Arusha KICC ungeleta faida kubwa tuu na ungekuwa inajenga nyumbani sio tuu Kituo Cha mikutano Bali na Mahoteli.
 
Tupe plan yako na faida yake sio unakosoa tu miradi ya waziri Kama uko kwenye baikoko
Soma mada nimeshaeleza sana humu ndani.Kushadidia jambo Hilo ni ujinga.

Yaani ujenge Nchi ya watu at the expense ya mradi wa nyumbani ambao nao ungeleta faida nzuri why?
 
Lakini mheshimiwa waziri amekuja na faida ya hizo miradi sh billion 692 kwa mwaka
Hizo zinatosha kujenga km 692 za Barabara Kila mwaka

Ni vizuri na wewe ukaja na plan yako na faida zake kwa nchi
Sio kukosoa tu kipumbavu hapa
Au utuambie huu mradi wa KICC utaingiza sh ngapi kwa mwaka
Watalii wengi Arusha wanafuata vivutio vya asili Kama mbuga nk
Sio kumbi na majengo
Kuna Nchi za wenzetu Wana majengo makubwa na makumbi Sana so wanapenda nature zaidi
Swali, ni katika huo ujenzi zitatumika fedha za kigeni kiasi gani na baada ya muda gani zitakuwa zimerudi?
 
1.Kwa hiyo Ulaya hakuna mipangilia Hadi waje Nairobi na Kigali? Acha ujinga.

2.Hospitality industry inaanza na kuwa na sehemu stahiki Kwa shughuli

3.Soko la Biashara ya Utalii na Mikutano halio West pekee

4.Kigali na Tanzania wapi Kuna usafiri wa Anga wa uhakika?

5.Tanzania Iko Juu ya Nchi zote hizo Kwa idadi na thamani ya Utalii,hiyo marketing Yako ni ipi hasa?

Acha blaa blaa Miji Yao Ina facilities za ku handle mikutano ya deligates kuanzia 3,000-5,000 Kwa level za VIP.

Tanzania tuna advantage zaidi Yao ila hatuna Kumbi Zenye hadhi.
Daaaah
 
Mwaka Jana Serikali ya Tanzania ilisema inaenda kufufua Mradi mkubwa wa kujenga Ukumbi mkubwa wa Mikutano ya Kitaifa Kwa jina la Kilimanjaro International Convention and Exhibition Centre-KICC Arusha ambao utakuwa na uwezo wa kuchukua Washiriki zaidi ya 3,000 Kwa Ajili ya kushindana na Kenya, Rwanda kwenye biashara ya Utalii wa Mikutano.

Sasa alivyoingia bwana Makamba Amefuta Mradi huo na badala yake amekuja na plan ya kuanza kujenga majengo makubwa aliyoita ya kibiashara na ya kupangisha kwenye Nchi zingine Kwa kutumia viwanja vinavyomilikiwa na Balozi zetu.

Mfano anasema Serikali utajenga jengo la Gorofa 22 Nairobi Kenya

Itajengwa jengo la Gorofa 25 Kinshasa

Gorofa 18 Lusaka Zambia nk

Hivi na Nchi zingine zinafanya mambo ya ajabu kama hivi? Yaani badala ya kuendeleza kwenu mnajenga Miji ya watu Kwa maelezo kwamba mtapangisha.

Binafsi siungi mkono Mpango huu naona kama ni ufujaji wa pesa za Umma.Tujenge kwetu Kwa manufaa ya Watanzania.

----
TANZANIA KUVUNA TSH 36B KILA MWEZI UJENZI WA MAGHOROFA NJE YA NCHI

Serikali kwa mwaka wa fedha ujao, umepanga kujenga majengo ya kiuchumi katika majiji ya Kinshasa (DRC- ghorofa 25) na Nairobi (Kenya- ghorofa 22).

Picha za majengo ya Nairobi na Kinshasa zipo tayari na picha za majengo mengine ya kitega uchumi katika majiji ya Maputo (Msumbiji), Bujumbura (Burundi), Kigali (Rwanda) na Lilongwe (Malawi) nayo imewekwa wazi.

Hayo yamesemwa leo Jumanne Mei 28, 2024 na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba wakati akiwasilisha bungeni makadirio ya mapato na matumizi ya wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2024/2025.

Wizara imeliomba Bunge kuidhinisha Sh241.069 bilioni ambapo kati ya fedha hizo Sh229.4 bilioni ni kwa ajili ya matumizi ya kawaida na Sh11.6 bilioni ni kwa ajili ya bajeti ya maendeleo.

Maombi hayo ya fedha ni pungufu kwa asilimia tatu ikilinganishwa na bejeti iliyopita na hiyo imetokana na kupungua kwa fedha za maendeleo kwa asilimia 34.

Kwa mujibu wa Makamba, Serikali ina nyumba na viwanja 109 dunaini kote na kodi ya pango wanayolipa ni Sh29 bilioni kwa mwezi.

Amesema uwekezaji huo ukikamilika utaingiza Sh36 bilioni kwa mwezi na kwa mwaka Sh692 bilioni.
Very sad yaani hapa bwana February anajivunia kabisa na kuonesha majengo ambayo Kodi zetu Zinaenda kutumika kujenga Miji ya watu?😏😏😏👇👇

View: https://twitter.com/JMakamba/status/1802981940594655583?t=SF0hM-AfDXzrGkxtm2rtUA&s=19

Imeniuma sana
 
Nairobi na Kigali kuna zaidi ya majengo vinavyovutia watu.
1. Hiyo Miji miwili kwa sehemu kubwa imepangaliwa vizuri kuliko Arusha au Dar
2.Hospitality industry yao iko juu kutushinda hasa ikichangiwa na kiwango kizuri cha lugha za Kingereza na Kifaransa
3. Ukaribu wao na West kuliko sisi ambao mara zote tunaishi katikati
4. Sekta imara ya usafiri wa ndege kutuzidi
5. Marketing bora ya utalii kutuzidi, imagine ndege zetu zinaandikwa "Hapa Kazi tu!"
Ulitaka waandika nini mkuu?
 
Back
Top Bottom