johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Huyo mhuni atulie. Ratiba ya kampeni inatolewa na tume ya uchaguzi. Mikakati ya wizi wa kura hata wskianza mapema ni kazi bure maana wazalendo ccm wanaenda mahakamani kupinga wizi wa uteuzi wa mgombea urais. Katiba ya ccm haikufuatwa.Mbunge wa Bumbuli Mh January Makamba ampongeza Rais Samia Kwa kuchaguliwa na Mkutano mkuu wa CCM kuwa mgombea uRais
Makamba amesema uteuzi huu utasaidia kuanza mipango ya Kampeni mapema
Soma Pia: Wajumbe Mkutano Mkuu CCM wapitisha Rais Samia, Dkt. Mwinyi kugombea Urais 2025
Pongezi amezitoa Ukurasani kwake X
Mlale unono 😀
Aahhhh clase mate ni shida...upepo utatuliaa tu jioe moyo na muda...urulivu muhimu......KitengoniMbunge wa Bumbuli Mh January Makamba ampongeza Rais Samia Kwa kuchaguliwa na Mkutano mkuu wa CCM kuwa mgombea uRais
Makamba amesema uteuzi huu utasaidia kuanza mipango ya Kampeni mapema
Soma Pia: Wajumbe Mkutano Mkuu CCM wapitisha Rais Samia, Dkt. Mwinyi kugombea Urais 2025
Pongezi amezitoa Ukurasani kwake X
Mlale unono 😀
Mbunge wa Bumbuli Mh January Makamba ampongeza Rais Samia Kwa kuchaguliwa na Mkutano mkuu wa CCM kuwa mgombea uRais
Makamba amesema uteuzi huu utasaidia kuanza mipango ya Kampeni mapema
Soma Pia: Wajumbe Mkutano Mkuu CCM wapitisha Rais Samia, Dkt. Mwinyi kugombea Urais 2025
Pongezi amezitoa Ukurasani kwake X
Mlale unono 😀
Picture Inasema Mengi Na Inaitofautisha Mikutano Mikubwa Miwili CDM vs CCM
Kweli au uchawa at best? Sipati picha yeye na Mwigulu walivyoumia maana walikuwa wameukamia miaka mingi tu.Mbunge wa Bumbuli Mh January Makamba ampongeza Rais Samia Kwa kuchaguliwa na Mkutano mkuu wa CCM kuwa mgombea uRais
Makamba amesema uteuzi huu utasaidia kuanza mipango ya Kampeni mapema
Soma Pia: Wajumbe Mkutano Mkuu CCM wapitisha Rais Samia, Dkt. Mwinyi kugombea Urais 2025
Pongezi amezitoa Ukurasani kwake X
Mlale unono 😀
Who cares?Mi nitamsifu huyu mama siku atapokwenda Kizimkazi.
Ila chadema ndiyo kiboko kwa zengwe. Watu buku 1 wanapiga kura kwa siku 2!¡?yaan ccm wenyewe kwa wenyewe wanaleteana zengwe
Mi nitamsifu siku akikutana na Jiwe kkkkkkWho cares?
Haiwezekani akafanya hivyo kama amefanya basi kapongeza kinafiki, maana yeye ndio mpinzani mkuu wa mama na kundi lake .Mbunge wa Bumbuli Mh January Makamba ampongeza Rais Samia Kwa kuchaguliwa na Mkutano mkuu wa CCM kuwa mgombea uRais
Makamba amesema uteuzi huu utasaidia kuanza mipango ya Kampeni mapema
Soma Pia: Wajumbe Mkutano Mkuu CCM wapitisha Rais Samia, Dkt. Mwinyi kugombea Urais 2025
Pongezi amezitoa Ukurasani kwake X
Mlale unono 😀