January Makamba anakubalika sana Tabata

January Makamba anakubalika sana Tabata

CHIZI VITABU

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2021
Posts
1,061
Reaction score
2,477
Niko tabata chama hapa natoa loki kwa kupiga double kick mbili zenye thamani ya 4000 pembeni yamekaa majamaa mawili yenye sura na matumbo ya kifisadi yanakunywa wine na kitimoto
Ghafla umeme umekatika wakati tunalalamika majamaa yakaanza kutuambia tumpe muda mr kipara anatuletea umeme wa uhakika wa upepo tukabisha tukaambiwa tupende tusipende sisi ni viroboto tu na kipara ni next president
Ila kiukweli umeme ukikatika noise pollution ya maredio inapungua sanA
Big up j makamba kazi iendelee
 
Niko tabata chama hapa natoa loki kwa kupiga double kick mbili zenye thamani ya 4000 pembeni yamekaa majamaa mawili yenye sura na matumbo ya kifisadi yanakunywa wine na kitimoto
Ghafla umeme umekatika wakati tunalalamika majamaa yakaanza kutuambia tumpe muda mr kipara anatuletea umeme wa uhakika wa upepo tukabisha tukaambiwa tupende tusipende sisi ni viroboto tu na kipara ni next president
Ila kiukweli umeme ukikatika noise pollution ya maredio inapungua sanA
Big up j makamba kazi iendelee
Mko Baa gani?? 😳
 
Januari kawashtukia watu wa mitandaoni sio "real" siku hizi Kawa kimya maana kaona ukweli kuwa hakubaliki ila watu wa Twitter, na jf ndio wanamwimbia mapambio na masifu ya kinafiki!
 
Sijui hata umeandika nini hapa
Tulia weee dogoooo sisi ndo wataalamu, j makamba nimeeleweshwa na hayo mafisadi yanakunywa wine kwamba ndiye next president mbaya zaidi majamaa yamevaa jezi za utopolo fc
Hata kama tunalalamika kukatika umeme kuliko hata viuno vya machangudoa vinavyokatika tumpongeze mr kipara maana umeme ukikatika makellele ya ma subwoofer yapungua
 
Tulia weee dogoooo sisi ndo wataalamu, j makamba nimeeleweshwa na hayo mafisadi yanakunywa wine kwamba ndiye next president mbaya zaidi majamaa yamevaa jezi za utopolo fc
Hata kama tunalalamika kukatika umeme kuliko hata viuno vya machangudoa vinavyokatika tumpongeze mr kipara maana umeme ukikatika makellele ya ma subwoofer yapungua
Watu wawili ndio wamekufanya ujue tabata makamba anakubalika?
 
Yes uko tabata shemeji kumetulia sasa hivi narudi kwenye stoo yangu najua sitakuta makelele ya amapiano ya next chumba,hail to the next president
Hamia North Korea.
Ungekua una saloon, butcher, unachomelea mageti au unauza ice cream na barafu usingeongea hayo
 
kwa mistari hii tayari double kick ishapanda kichwani.
Tulia dogo tabata imetulia tuliii hakuna kelele za amapiano kama alishindwa akiwa waziri wa mazingira sasa hivi anzima umeme utulivu upo
 
Hamia North Korea.
Ungekua una saloon, butcher, unachomelea mageti au unauza ice cream na barafu usingeongea hayo
Alishindwa akiwa waziri wa mazingira acha azime umeme kidogo ma subwoofer na amapiano zipumzike
 
Back
Top Bottom