January Makamba anakubalika sana Tabata

January Makamba anakubalika sana Tabata

Kuna lugha inaitwa "satire" ndio aliyotumia mleta mada Ila nimeelewa wengi wanacomment bila kuelewa.
 
kumbe anakubalika kitongoji Cha tabata[emoji23][emoji23], tu!!! out of 26regions
 
Niko tabata chama hapa natoa loki kwa kupiga double kick mbili zenye thamani ya 4000 pembeni yamekaa majamaa mawili yenye sura na matumbo ya kifisadi yanakunywa wine na kitimoto
Ghafla umeme umekatika wakati tunalalamika majamaa yakaanza kutuambia tumpe muda mr kipara anatuletea umeme wa uhakika wa upepo tukabisha tukaambiwa tupende tusipende sisi ni viroboto tu na kipara ni next president
Ila kiukweli umeme ukikatika noise pollution ya maredio inapungua sanA
Big up j makamba kazi iendelee
January is incapable kama Samia tu!

Kuwekana kimichongo ndo tatizo!
 
Back
Top Bottom