January Makamba anakubalika sana Tabata

Naona umeandika ujumbe kwa namna fulani, ila wa kuelewa tumeelewa mzee.
Hahahaha kaka kama jina lako linasadifu karibu inbox nina vitabu vingi sana vya harakati ila jana nimemamaliza kusoma biography ya elon musk nimeamini niliyoyasikia yule ni re inarnation siyo mwenzetu namuunganisha na yule kijana wa mars kule russia
 

Kweli double kick[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Umeandika utumbo na bado una hang over ya mirungi ya jana
 
Haitakaa itokee akawa next president January makamba hata Iweje.
 
Huyu aliyeturudisha maisha ya dhiki ya enzi la Msoga anakubalika?
Labda jimboni kwake au na hao tumbo tumbo.
 
Kama umelipwa hela kuja kumpigia chapuo rudisha za watu,mwambie jf watu wanajitambua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…