CHIZI VITABU
JF-Expert Member
- Jun 12, 2021
- 1,061
- 2,477
- Thread starter
-
- #21
Hahahaha kaka kama jina lako linasadifu karibu inbox nina vitabu vingi sana vya harakati ila jana nimemamaliza kusoma biography ya elon musk nimeamini niliyoyasikia yule ni re inarnation siyo mwenzetu namuunganisha na yule kijana wa mars kule russiaNaona umeandika ujumbe kwa namna fulani, ila wa kuelewa tumeelewa mzee.
Niko tabata chama hapa natoa loki kwa kupiga double kick mbili zenye thamani ya 4000 pembeni yamekaa majamaa mawili yenye sura na matumbo ya kifisadi yanakunywa wine na kitimoto
Ghafla umeme umekatika wakati tunalalamika majamaa yakaanza kutuambia tumpe muda mr kipara anatuletea umeme wa uhakika wa upepo tukabisha tukaambiwa tupende tusipende sisi ni viroboto tu na kipara ni next president
Ila kiukweli umeme ukikatika noise pollution ya maredio inapungua sanA
Big up j makamba kazi iendelee
Huyu mzee nilimchukia sana sababu ya roho mbaya kwa chadema huwezi amini kwa sasa naanza kuona mazuri yake haswa maji na umeme mabaya nimeyaweka kandoNa ukikatika Kuna makelele mengine kama haya
View attachment 2049519
We una maoni ganiKwaio hao majamaa mawili uliuokutana nayo bar huku umelewa ndio yanawakilisha tabata nzima.
Hivi kumbe bado yapo?nilijua bashite aliyamalizaga mashoga? ingawq juzi kuna mzalendo kavamiwa na wahuni ghetto lake dodoma kulikuwa na ky jelly au alikuwa anakuja kuitumia tabata kulainisha mfereji wa kujambia?
Umeandika utumbo na bado una hang over ya mirungi ya janaNiko tabata chama hapa natoa loki kwa kupiga double kick mbili zenye thamani ya 4000 pembeni yamekaa majamaa mawili yenye sura na matumbo ya kifisadi yanakunywa wine na kitimoto
Ghafla umeme umekatika wakati tunalalamika majamaa yakaanza kutuambia tumpe muda mr kipara anatuletea umeme wa uhakika wa upepo tukabisha tukaambiwa tupende tusipende sisi ni viroboto tu na kipara ni next president
Ila kiukweli umeme ukikatika noise pollution ya maredio inapungua sanA
Big up j makamba kazi iendelee
Kashapiga bhange za kibaigwa huyoSijui hata umeandika nini hapa
Nilimuona jana hapo counter ya Kwetu Pazuri alikuwa anakunywa K-VantUmeandika utumbo na bado una hang over ya mirungi ya jana
Kavurugwa na maisha huyoWatu wawili ndio wamekufanya ujue tabata makamba anakubalika?
K vant ya mashoga wazalendo kwenye mageto wakivamiwa na wasiojulikana wanakutwa na Ky jelly wakulungwa tunakula double kickK vant siyo diliππππππ
Inategemea na unavyoitingisha. Ukiitingisha sana inaenda mpaka alcohol 88%hivi double kick ina alcohol ngapi mkuu?
Haitakaa itokee akawa next president January makamba hata Iweje.Niko tabata chama hapa natoa loki kwa kupiga double kick mbili zenye thamani ya 4000 pembeni yamekaa majamaa mawili yenye sura na matumbo ya kifisadi yanakunywa wine na kitimoto
Ghafla umeme umekatika wakati tunalalamika majamaa yakaanza kutuambia tumpe muda mr kipara anatuletea umeme wa uhakika wa upepo tukabisha tukaambiwa tupende tusipende sisi ni viroboto tu na kipara ni next president
Ila kiukweli umeme ukikatika noise pollution ya maredio inapungua sanA
Big up j makamba kazi iendelee
Hawa jamaa wanapata umaarufu kwa Kasi ya speed ya mwanga
Kama umelipwa hela kuja kumpigia chapuo rudisha za watu,mwambie jf watu wanajitambuaTulia weee dogoooo sisi ndo wataalamu, j makamba nimeeleweshwa na hayo mafisadi yanakunywa wine kwamba ndiye next president mbaya zaidi majamaa yamevaa jezi za utopolo fc
Hata kama tunalalamika kukatika umeme kuliko hata viuno vya machangudoa vinavyokatika tumpongeze mr kipara maana umeme ukikatika makellele ya ma subwoofer yapungua