January Makamba anamfanyia hujuma Rais Samia

January Makamba anamfanyia hujuma Rais Samia

RICH-MONDULI

New Member
Joined
Jul 5, 2011
Posts
4
Reaction score
5
20230602_205527.jpg

Waziri wa Nishati, January Makamba, anamfanyia hujuma za wazi Rais Samia Suluhu Hassan ili kutimiza ndoto yake ya muda mrefu ya kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Hujuma yake ilithibitika wakati wa bajeti ya Wizara ya Nishati ya 2023/2024 jijini Dodoma wiki hii ambapo Makamba aligawa pesa kwa baadhi ya wabunge na kuwapa maelekezo kuwa wamsifie yeye binafsi, badala ya Rais Samia.

Baadhi ya wabunge wa Zanzibar na mikoa ya bara walipewa vitita vya pesa na Makamba ili kuhakikisha kuwa wanamwagia sifa Bungeni na kupitisha bajeti ya wizara yake.

Pia alifanya mkakati kuwa wabunge wenye msimamo ambao wangesimama kumkosoa hawapewi nafasi ya kuongea wakati wa mjadala wa bajeti ya Wizara ya Nishati.

Lengo la mpango huo wa Makamba ni kujijenga yeye binafsi kisiasa akiwa na mahesabu ya kuupata Urais 2025 au 2030.

Baadhi ya wabunge wameeleza kuwa Makamba aligawa pesa nyingi kwa wabunge ili kubadili upepo, baada ya kubaini kuwa wabunge wengi walijipanga kumlipua Bungeni kwenye bajeti yake.

Tangu aingie kwenye Wizara ya Nishati, Makamba ametuhumiwa kuhusika na tuhuma lukuki za ufisadi na usimamizi mbovu wa sekta ya nishati nchini.

Umeme umekua unakatikakatika hovyo nchi nzima tangu Makamba aingie madarakani, huku TANESCO wakishindwa kutoa huduma za uhakika na kuwa kero kwa wananchi na kudhoofisha ukuaji wa uchumi.

Mradi wa umeme wa JNHPP unaendelea kusuasua, huku kukiwa hakuna usimamizi makini wa mkandarasi na kusababisha gharama za ujenzi kuongezeka maradufu,.huku mradi ukichelewa kukamilika.

Pia Makamba anadaiwa kuvunja sheria za nchi kwa kufanya mazungumzo ya mradi wa LNG kuwa siri, kinyume na sheria inayotaka vipengele vya MKATABA utakaosainiwa mwezi huu viwekwe wazi na upitishwe na Bunge.
 

Waziri wa Nishati, January Makamba, anamfanyia hujuma za wazi Rais Samia Suluhu Hassan ili kutimiza ndoto yake ya muda mrefu ya kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Hujuma yake ilithibitika wakati wa bajeti ya Wizara ya Nishati ya 2023/2024 jijini Dodoma wiki hii ambapo Makamba aligawa pesa kwa baadhi ya wabunge na kuwapa maelekezo kuwa wamsifie yeye binafsi, badala ya Rais Samia.

Baadhi ya wabunge wa Zanzibar na mikoa ya bara walipewa vitita vya pesa na Makamba ili kuhakikisha kuwa wanamwagia sifa Bungeni na kupitisha bajeti ya wizara yake.

Pia alifanya mkakati kuwa wabunge wenye msimamo ambao wangesimama kumkosoa hawapewi nafasi ya kuongea wakati wa mjadala wa bajeti ya Wizara ya Nishati.

Lengo la mpango huo wa Makamba ni kujijenga yeye binafsi kisiasa akiwa na mahesabu ya kuupata Urais 2025 au 2030.

Baadhi ya wabunge wameeleza kuwa Makamba aligawa pesa nyingi kwa wabunge ili kubadili upepo, baada ya kubaini kuwa wabunge wengi walijipanga kumlipua Bungeni kwenye bajeti yake.

Tangu aingie kwenye Wizara ya Nishati, Makamba ametuhumiwa kuhusika na tuhuma lukuki za ufisadi na usimamizi mbovu wa sekta ya nishati nchini.

Umeme umekua unakatikakatika hovyo nchi nzima tangu Makamba aingie madarakani, huku TANESCO wakishindwa kutoa huduma za uhakika na kuwa kero kwa wananchi na kudhoofisha ukuaji wa uchumi.

Mradi wa umeme wa JNHPP unaendelea kusuasua, huku kukiwa hakuna usimamizi makini wa mkandarasi na kusababisha gharama za ujenzi kuongezeka maradufu,.huku mradi ukichelewa kukamilika.

Pia Makamba anadaiwa kuvunja sheria za nchi kwa kufanya mazungumzo ya mradi wa LNG kuwa siri, kinyume na sheria inayotaka vipengele vya MKATABA utakaosainiwa mwezi huu viwekwe wazi na upitishwe na Bunge.
Na Kimedani Mtu ambaye anaweza Kukuhujumu na kutumia Pesa Kukuhujumu ni rahisi sana hata Kupanga Kukuua / Uuwawe kama Walivyouwawa wengine kwa Sumu katika Mic zao na leo tunawalilia.
 

Waziri wa Nishati, January Makamba, anamfanyia hujuma za wazi Rais Samia Suluhu Hassan ili kutimiza ndoto yake ya muda mrefu ya kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Hujuma yake ilithibitika wakati wa bajeti ya Wizara ya Nishati ya 2023/2024 jijini Dodoma wiki hii ambapo Makamba aligawa pesa kwa baadhi ya wabunge na kuwapa maelekezo kuwa wamsifie yeye binafsi, badala ya Rais Samia.

Baadhi ya wabunge wa Zanzibar na mikoa ya bara walipewa vitita vya pesa na Makamba ili kuhakikisha kuwa wanamwagia sifa Bungeni na kupitisha bajeti ya wizara yake.

Pia alifanya mkakati kuwa wabunge wenye msimamo ambao wangesimama kumkosoa hawapewi nafasi ya kuongea wakati wa mjadala wa bajeti ya Wizara ya Nishati.

Lengo la mpango huo wa Makamba ni kujijenga yeye binafsi kisiasa akiwa na mahesabu ya kuupata Urais 2025 au 2030.

Baadhi ya wabunge wameeleza kuwa Makamba aligawa pesa nyingi kwa wabunge ili kubadili upepo, baada ya kubaini kuwa wabunge wengi walijipanga kumlipua Bungeni kwenye bajeti yake.

Tangu aingie kwenye Wizara ya Nishati, Makamba ametuhumiwa kuhusika na tuhuma lukuki za ufisadi na usimamizi mbovu wa sekta ya nishati nchini.

Umeme umekua unakatikakatika hovyo nchi nzima tangu Makamba aingie madarakani, huku TANESCO wakishindwa kutoa huduma za uhakika na kuwa kero kwa wananchi na kudhoofisha ukuaji wa uchumi.

Mradi wa umeme wa JNHPP unaendelea kusuasua, huku kukiwa hakuna usimamizi makini wa mkandarasi na kusababisha gharama za ujenzi kuongezeka maradufu,.huku mradi ukichelewa kukamilika.

Pia Makamba anadaiwa kuvunja sheria za nchi kwa kufanya mazungumzo ya mradi wa LNG kuwa siri, kinyume na sheria inayotaka vipengele vya MKATABA utakaosainiwa mwezi huu viwekwe wazi na upitishwe na Bunge.
Kwani January mwenyewe anasemaje?



😂😂
 
Mie nmechagua hiyo picha miaka mingi ila ndugu zangu Watanzania wenzangu Acheni chuki ambazo hazina Msingi kama Mungu anataka January AWE RAIS atakuwa tu fitna wivu majungu sidhani kama mna jenga...
20230602_202658.jpg
 
January gangamana sana. 2025 uwe Waziri Mkuu labda.

2030 ni zamu yetu Wakristo. Iwake jua ishuke volcano ya Moto. Vinginevyo, waza 2040 labda.

Sahau kuwa Rais 2030.
 

Waziri wa Nishati, January Makamba, anamfanyia hujuma za wazi Rais Samia Suluhu Hassan ili kutimiza ndoto yake ya muda mrefu ya kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Hujuma yake ilithibitika wakati wa bajeti ya Wizara ya Nishati ya 2023/2024 jijini Dodoma wiki hii ambapo Makamba aligawa pesa kwa baadhi ya wabunge na kuwapa maelekezo kuwa wamsifie yeye binafsi, badala ya Rais Samia.

Baadhi ya wabunge wa Zanzibar na mikoa ya bara walipewa vitita vya pesa na Makamba ili kuhakikisha kuwa wanamwagia sifa Bungeni na kupitisha bajeti ya wizara yake.

Pia alifanya mkakati kuwa wabunge wenye msimamo ambao wangesimama kumkosoa hawapewi nafasi ya kuongea wakati wa mjadala wa bajeti ya Wizara ya Nishati.

Lengo la mpango huo wa Makamba ni kujijenga yeye binafsi kisiasa akiwa na mahesabu ya kuupata Urais 2025 au 2030.

Baadhi ya wabunge wameeleza kuwa Makamba aligawa pesa nyingi kwa wabunge ili kubadili upepo, baada ya kubaini kuwa wabunge wengi walijipanga kumlipua Bungeni kwenye bajeti yake.

Tangu aingie kwenye Wizara ya Nishati, Makamba ametuhumiwa kuhusika na tuhuma lukuki za ufisadi na usimamizi mbovu wa sekta ya nishati nchini.

Umeme umekua unakatikakatika hovyo nchi nzima tangu Makamba aingie madarakani, huku TANESCO wakishindwa kutoa huduma za uhakika na kuwa kero kwa wananchi na kudhoofisha ukuaji wa uchumi.

Mradi wa umeme wa JNHPP unaendelea kusuasua, huku kukiwa hakuna usimamizi makini wa mkandarasi na kusababisha gharama za ujenzi kuongezeka maradufu,.huku mradi ukichelewa kukamilika.

Pia Makamba anadaiwa kuvunja sheria za nchi kwa kufanya mazungumzo ya mradi wa LNG kuwa siri, kinyume na sheria inayotaka vipengele vya MKATABA utakaosainiwa mwezi huu viwekwe wazi na upitishwe na Bunge.
Makamba na mwigulu Nchemba ni tanzi kooni kwa mama, hawa ni walafi wenye kiu ya urais, lazima wamuhujumu sana mama
 

Waziri wa Nishati, January Makamba, anamfanyia hujuma za wazi Rais Samia Suluhu Hassan ili kutimiza ndoto yake ya muda mrefu ya kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Hujuma yake ilithibitika wakati wa bajeti ya Wizara ya Nishati ya 2023/2024 jijini Dodoma wiki hii ambapo Makamba aligawa pesa kwa baadhi ya wabunge na kuwapa maelekezo kuwa wamsifie yeye binafsi, badala ya Rais Samia.

Baadhi ya wabunge wa Zanzibar na mikoa ya bara walipewa vitita vya pesa na Makamba ili kuhakikisha kuwa wanamwagia sifa Bungeni na kupitisha bajeti ya wizara yake.

Pia alifanya mkakati kuwa wabunge wenye msimamo ambao wangesimama kumkosoa hawapewi nafasi ya kuongea wakati wa mjadala wa bajeti ya Wizara ya Nishati.

Lengo la mpango huo wa Makamba ni kujijenga yeye binafsi kisiasa akiwa na mahesabu ya kuupata Urais 2025 au 2030.

Baadhi ya wabunge wameeleza kuwa Makamba aligawa pesa nyingi kwa wabunge ili kubadili upepo, baada ya kubaini kuwa wabunge wengi walijipanga kumlipua Bungeni kwenye bajeti yake.

Tangu aingie kwenye Wizara ya Nishati, Makamba ametuhumiwa kuhusika na tuhuma lukuki za ufisadi na usimamizi mbovu wa sekta ya nishati nchini.

Umeme umekua unakatikakatika hovyo nchi nzima tangu Makamba aingie madarakani, huku TANESCO wakishindwa kutoa huduma za uhakika na kuwa kero kwa wananchi na kudhoofisha ukuaji wa uchumi.

Mradi wa umeme wa JNHPP unaendelea kusuasua, huku kukiwa hakuna usimamizi makini wa mkandarasi na kusababisha gharama za ujenzi kuongezeka maradufu,.huku mradi ukichelewa kukamilika.

Pia Makamba anadaiwa kuvunja sheria za nchi kwa kufanya mazungumzo ya mradi wa LNG kuwa siri, kinyume na sheria inayotaka vipengele vya MKATABA utakaosainiwa mwezi huu viwekwe wazi na upitishwe na Bunge.

,Majungu matupu hii ni kazi ya vijana wa mwigulu . Nyie mi kuchafua watu tu kila kukicha
Mlitakaje bajeti ikataliwe. Je alichowasilisha siyo Swahili. Acheni majungu
 
Kwangu naona anayehujumu na anayehujumiwa wote hawajielewi, wacha wakanyagane tu, kwasababu mmoja ameamua siku nyingi kutotumia akili yake kwenye maamuzi, na mwingine ameamua kujifanyia atakalo baada ya kuona udhaifu wa mwenzie.

Hilo la kutoa rushwa siwezi kulipinga, kwasababu kama aligawa mitungi ya gesi, kwanini nisiamini alitoa pia rushwa ya pesa wa ajili ya hao wabunge? the truth is, Makamba ni smart sana kwa mambo ya hovyo long time ago, kuanzia wizi wa mitihani mpaka utendaji wake serikalini.
 
Back
Top Bottom