Uchaguzi 2020 January Makamba asema hana uhakika kama atagombea Ubunge 2020

Kama hana uhakika, kwa nini kaongelea hili?

Aliulizwa swali?
 
Hapana, ana zaidi ya 45, japo sio mzee. Yeye ni baadhi ya watu walioendekeza siasa za hujuma, sasa zimemrudia anazikimbia. Kwa ujumla Januari hawezi siasa zisizo na mbeleko, na safari hii mbeleko imekatika.
Hapa nakuunga mkono na mguu
 
Mbunge ukishakaa jimboni miaka 5 na hakuna mabadiliko ni bora kubwaga manyanga...

Hii iwe utamaduni kwa wabunge wote.
 
Huyu kijana anapendwa sana jimboni kwake, kafanya mengi sana.
 
Mkakati wao kuelekea ACT yeye na Membe umesukwa umekamilika. Tusubiri ingawa inaweza kuwa technic pia ya urais 2020 ndani ya chama.
 
Kwani si alisha samehewa? Yale yalishapita!!!!!!!!!!!!!!

Inaonekana kuna watu hawajamsoma JIWE kuwa ni mtu wa kulpiza visasi na mnafiki mkubwa! BIFU bado linafukuta kati ya Jiwe na Mzee Makamba na swahiba wake Kinena hivo Januari na Nape nna hakika hawata chomoka 2020…!
 
Hapana, ana zaidi ya 45, japo sio mzee. Yeye ni baadhi ya watu walioendekeza siasa za hujuma, sasa zimemrudia anazikimbia. Kwa ujumla Januari hawezi siasa zisizo na mbeleko, na safari hii mbeleko imekatika.
Umenena vyema mkuu kipindi hiki hakuna ujanjaujanja na fitina ndani ya chama
 
Naona watu wameelewa vibaya kauli ya February, mtu kasema atasema kipindi chake cha likizo mwezi Disemba watu washapata cha kuandika,
Anyway huko bumbuli watakua na mengi zaidi juu ya utendaji kazi wake, binafsi namkumbuka katika sakata la mifuko ya plastic
 
Nape na Ngereja nao wangefanya hivyo hivyo. Maana Wajidhalilisha saana! Mwanaume ni yule anayesimamia Msimamo wake na si hawa Wametia aibu kabisa. Watanzania wamewadharau saana!
 
Umenena vyema mkuu kipindi hiki hakuna ujanjaujanja na fitina ndani ya chama

Fitina na ujanjaujanja ndani ya ccm upo sana, ila yeye sio kipenzi cha muendesha fitina mkuu wa chama wa sasa.
 

Badilisha heading, amesema mpaka December ndio atajua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…