Uchaguzi 2020 January Makamba asema hana uhakika kama atagombea Ubunge 2020

Uchaguzi 2020 January Makamba asema hana uhakika kama atagombea Ubunge 2020

Ha
Chakaza unajua jamaa bado nafsi inamsuta sana, Bumbuli ndio ambako kura za Urais zilikua nyingi zaidi ya Wapiga kura wenyewe
Hapo ndo niliposhangaa sana,na kwa sasa huwa najiuliza kumbe huyu jamaa pia Ni mwizi wakati Mungu anasema usiibe!!!.
 
Aachie vijana sasa,ameshavuna vya kutosha

Japo kwa asilimia kubwa anawachezea mchezo akili ndogo ili wamtoe kichwani

Lkn kuna watu sio waongeaji wanamjua nje ndani
hivi kumbe lengo sio kuwaletea wananchi maendeleo Bali ni kuvuna tu?
 
Aseme tu kuwa ameamua kujitoa kushiriki uchaguzi wa mwaka 2020 baada ya kubaini kuwa huo hautakuwa na uhuru wala haki ndani yake.

Hongera jembe letu kwa kuanzisha movement hii ya kususia chaguzi batili na haramu.

BRING BACK OUR
DEMOCRACY
 
Anagombea Urais? Mungu hadhihakiwi. Hana ubavu na analijua hilo.
 
Mbunge wa Bumbuli, January Makamba amesema kwa sasa bado hana uhakika kama atagombea tena ubunge katika uchaguzi mkuu ujao mwaka 2020.

Makamba ametoa kauli hiyo kupitia ukurasa wake wa Twitter ambapo amesema atafanya uamuzi Desemba mwaka huu atakapokuwa mapumzikoni.

“Sina uhakika juu ya hili, sina hakika kama nitahitaji tena kugombea ubunge mwakani. Nitafanya maamuzi sahihi nikiwa mapumzikoni Desemba mwaka huu,” ameandika Makamba.

Makamba amewahi kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Muungano, kabla Rais Dk. John Magufuli hajatengua uteuzi huo mapema mwaka huu!

Pia amewahi kugombea urais kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) mwaka 2015, lakini alibwagwa kwenye kura za maoni ambapo chama chake kilimteua aliyekuwa Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli.

Chanzo: Mtanzania
Badilisha basi kichwa habari mkuu unatuchanganya watu tusijetangaza nia kumbe hajatamka
 
Apumzike tu, hii awamu ya watekaji na wauwaji ikiisha atarudi tena anaweza pata jimbo Dar wala si bumbuli. Awaachie kina bashite wanyonya damu.
 
Kajitenga na kakikundi cha wahuni kalikoiteka CCM. Kajitoa kushiriki uhuni unaoendelea. Historia itamkumbuka.
Exactly. Wenye Akili kubwa tu ndio wataona hili. Makamba ana 40+, 10~15 yrs to come, jamaa atakuwa 50+. Ni muda ambao kakikundi kaliopo Lumumba sasa hakatukuwa na nafasi tena maana hakuna mtu yeyote makini atakaekubali kuwa na watu wa aina hii ya sasa. Yeye kwa kuwa alikuwa nje ya uwanja wa kuchafuliwa, atarudi siasani akiwa "clean".
 
Even if it were me, I would take that course to avoid shame as it is clearly known that Jiwe will not accept his nomination even if the opinion polls will favour him!

Grammar check.
"It" then "were", and at the sometime "it" stands for human.
 
Wacha asi gombe tu maana kitu alichotufanya wapizani 2015 Mungu pekee ndo anajua, naomba asigombee na apotee kabisa, sasa anavuna alichopanda 2015 nanukuu kauli yake ya 2015 Jecha alivofuta uchaguzi zanzibar January makamba alisema CCM hauwezi kutoka kwa njia ya makaratasi, yeye makamba ndo mkandamizaji wa demokrasia 1, enzi wa JK aliishi kama malaika alikuwa anaringa, anajibu kama anavotaka
Ndo aliye sababisha vifurushi vya simu vikapanda bei wakati akiwa waziri mwenye zamana

Hana chochote cha kutusaidi watanzania, me nashauri apumzike tu zama zake zimepita
 
10 years nje ya uwanja wa siasa unasahaulika fasta tu,damu chamga zinazaliwa daily.
Exactly. Wenye Akili kubwa tu ndio wataona hili. Makamba ana 40+, 10~15 yrs to come, jamaa atakuwa 50+. Ni muda ambao kakikundi kaliopo Lumumba sasa hakatukuwa na nafasi tena maana hakuna mtu yeyote makini atakaekubali kuwa na watu wa aina hii ya sasa. Yeye kwa kuwa alikuwa nje ya uwanja wa kuchafuliwa, atarudi siasani akiwa "clean".
 
Wacha asi gombe tu maana kitu alichotufanya wapizani 2015 Mungu pekee ndo anajua, naomba asigombee na apotee kabisa, sasa anavuna alichopanda 2015 nanukuu kauli yake ya 2015 Jecha alivofuta uchaguzi zanzibar January makamba alisema CCM hauwezi kutoka kwa njia ya makaratasi, yeye makamba ndo mkandamizaji wa demokrasia 1, enzi wa JK aliishi kama malaika alikuwa anaringa, anajibu kama anavotaka
Ndo aliye sababisha vifurushi vya simu vikapanda bei wakati akiwa waziri mwenye zamana

Hana chochote cha kutusaidi watanzania, me nashauri apumzike tu zama zake zimepita
Aiseeeee !!!
 
Inawezekana anataka agombee Urais, hivyo kumfanya asigombee Ubunge.
 
Back
Top Bottom