Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbunge wa Bumbuli, January Makamba amesema kwa sasa bado hana uhakika kama atagombea tena ubunge katika uchaguzi mkuu ujao mwaka 2020.
Makamba ametoa kauli hiyo kupitia ukurasa wake wa Twitter ambapo amesema atafanya uamuzi Desemba mwaka huu atakapokuwa mapumzikoni.
“Sina uhakika juu ya hili, sina hakika kama nitahitaji tena kugombea ubunge mwakani. Nitafanya maamuzi sahihi nikiwa mapumzikoni Desemba mwaka huu,” ameandika Makamba.
Makamba amewahi kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Muungano, kabla Rais Dk. John Magufuli hajatengua uteuzi huo mapema mwaka huu!
Pia amewahi kugombea urais kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) mwaka 2015, lakini alibwagwa kwenye kura za maoni ambapo chama chake kilimteua aliyekuwa Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli.
Chanzo: Mtanzania
Hizi Kick za Wanasiasa achana nao kabisa, Hiyo Desemba atakuja na Ngonjela ooooohhhh Wazeee wa Bumbuli wamenifuata na kunisihi saaaana niendeleee na Kijiti cha Kusogeza mbele maendeleo ya Jimbo letu pendwa la Bumbuli hivyo sina budi kuendelea. Time will Tell
Angesubiri huo mwezi wa 12....basi.Naona watu wameelewa vibaya kauli ya February, mtu kasema atasema kipindi chake cha likizo mwezi Disemba watu washapata cha kuandika,
Anyway huko bumbuli watakua na mengi zaidi juu ya utendaji kazi wake, binafsi namkumbuka katika sakata la mifuko ya plastic
Kauli ya Benjamin W Mkapa inajidhihirisha hapaAachie vijana sasa,ameshavuna vya kutosha
Japo kwa asilimia kubwa anawachezea mchezo akili ndogo ili wamtoe kichwani
Lkn kuna watu sio waongeaji wanamjua nje ndani
Lakini wangetazamwa pia kwa huruma na umri wao wote bado wadogo ili waweze kujifunza zaidi. Ukiwapa RED KADI wanakosa mechi zote zambeleni.Inaonekana kuna watu hawajamsoma JIWE kuwa ni mtu wa kulpiza visasi na mnafiki mkubwa! BIFU bado linafukuta kati ya Jiwe na Mzee Makamba na swahiba wake Kinena hivo Januari na Nape nna hakika hawata chomoka 2020…!
Kwahyo CCM kumbe mnavuna aisee nyie ni majangiri wa ufisadi hapa TzAachie vijana sasa,ameshavuna vya kutosha
Japo kwa asilimia kubwa anawachezea mchezo akili ndogo ili wamtoe kichwani
Lkn kuna watu sio waongeaji wanamjua nje ndani
😆😆😆Aturudishie viroba basi afu ndo ajiengue
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Aturudishie viroba basi afu ndo ajiengue
Ameshachukua na kurudisha form... Rais ajayeAisee
Pia amewahi kugombea urais kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) mwaka 2015, lakini alibwagwa kwenye kura za maoni ambapo chama chake kilimteua aliyekuwa Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli.
Atalima mapeasi shida i wapi?Mbunge wa Bumbuli, January Makamba amesema kwa sasa bado hana uhakika kama atagombea tena ubunge katika uchaguzi mkuu ujao mwaka 2020.
Makamba ametoa kauli hiyo kupitia ukurasa wake wa Twitter ambapo amesema atafanya uamuzi Desemba mwaka huu atakapokuwa mapumzikoni.
“Sina uhakika juu ya hili, sina hakika kama nitahitaji tena kugombea ubunge mwakani. Nitafanya maamuzi sahihi nikiwa mapumzikoni Desemba mwaka huu,” ameandika Makamba.
Makamba amewahi kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Muungano, kabla Rais Dk. John Magufuli hajatengua uteuzi huo mapema mwaka huu!
Pia amewahi kugombea urais kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) mwaka 2015, lakini alibwagwa kwenye kura za maoni ambapo chama chake kilimteua aliyekuwa Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli.
Chanzo: Mtanzania
Hapana, aliingia kwenye tano bora. Akatolewa yeye na MembeAliingia katika 3 bora