Uchaguzi 2020 January Makamba asema hana uhakika kama atagombea Ubunge 2020


Ndio uzuri wa elimu hata hivyo hana uhakika ktk mchujo
 

Ikitokea hivyo ujue ndani mwao kumepoa
 
Angesubiri huo mwezi wa 12....basi.
na sio kupima upepo
 
Hii Gia alishaitumiaga, baadae anakuja zuga eti wazee wamemtuma na watamchukulia form.
 
Inaonekana kuna watu hawajamsoma JIWE kuwa ni mtu wa kulpiza visasi na mnafiki mkubwa! BIFU bado linafukuta kati ya Jiwe na Mzee Makamba na swahiba wake Kinena hivo Januari na Nape nna hakika hawata chomoka 2020…!
Lakini wangetazamwa pia kwa huruma na umri wao wote bado wadogo ili waweze kujifunza zaidi. Ukiwapa RED KADI wanakosa mechi zote zambeleni.
 
Pia amewahi kugombea urais kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) mwaka 2015, lakini alibwagwa kwenye kura za maoni ambapo chama chake kilimteua aliyekuwa Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli.


Aliingia katika 3 bora
 
Atalima mapeasi shida i wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…