January Makamba hawezi kufanya propaganda mbele ya Rais Samia. Huu ni wakati wa vitendo, January chapa kazi

January Makamba hawezi kufanya propaganda mbele ya Rais Samia. Huu ni wakati wa vitendo, January chapa kazi

Ngungenge

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2016
Posts
2,914
Reaction score
3,386
Mifuko ya plastic nchi hii iliondolewa bila hata Mende kuguswa kitu ambacho mwendazake na serikali nzima hawakuamini. Wananchi wa Tanzania walistaajabu uwezo na akili yake na mikakati yake kufanikisha suala la mifuko bila kutumia polisi wala vyombo vingine vya Usalama. Kila moja anakumbuka wivu wa mwendazake kuwapelekea kumtoa kwenye cabinet hata hivyo hakulamba miguu.

Baada ya Rais Samia kushika madaraka na kufanya ministry audit alikua kugundua wizara ya nishat inamakando kando mengi ndio maana Waziri aliyekuwepo wakati wote alikua anatetemeka akikutana na Rais Samia.

Sasa kwa mtu makini kama Rais Samia na askari wake January Makamba watu wanaoamini katika utaalamu na suluhisho la uhakika wasingeweza kufanya mambo ya siasa kwenye mambo muhimu kama ya umeme. 5 Years hakuna maintenance, hakuna unategemea nini katika nchi kubwa kama hii.

Whether imeagizwa warekebishe mitambo ili kuzuia mitambo hio kuharibika au ni ishu ya maji kupungua bado sina mashaka na watu hawa.
 
Nchi hii hatari sana, makamba amekuwa makamba kila post ni yeye tu

USSR
 
Sasa hapo anachapa kazi gani wakati ameshindwa na watu sasa hivi tunatumia vibatali majumbani?

Alikuta umeme unapatikana na hakukuwa na shida kama sasa hivyo huyo ameshindwa kazi afukuzwe tu.
 
Wana CCM wamefika mbali sana eti Makamba anakula dili na Maza kupiga hela za miradi ya Tanesco - kweli jamani? hebu acheni mambo hayo, hivi kwa nini wana CCM hatuaminiani hivi ?
 
Mifuko ya plastic nchi hii iliondolewa bila hata Mende kuguswa kitu ambacho mwendazake na serikali nzima hawakuamini. Wananchi wa Tanzania walistaajabu uwezo na akili yake na mikakati yake kufanikisha suala la mifuko bila kutumia polisi wala vyombo vingine vya Usalama. Kila moja anakumbuka wivu wa mwendazake kuwapelekea kumtoa kwenye cabinet hata hivyo hakulamba miguu.

Baada ya Rais Samia kushika madaraka na kufanya ministry audit alikua kugundua wizara ya nishat inamakando kando mengi ndio maana Waziri aliyekuwepo wakati wote alikua anatetemeka akikutana na Rais Samia.

Sasa kwa mtu makini kama Rais Samia na askari wake January Makamba watu wanaoamini katika utaalamu na suluhisho la uhakika wasingeweza kufanya mambo ya siasa kwenye mambo muhimu kama ya umeme. 5 Years hakuna maintenance, hakuna unategemea nini katika nchi kubwa kama hii.
Whether imeagizwa warekebishe mitambo ili kuzuia mitambo hio kuharibika au ni ishu ya maji kupungua bado sina mashaka na watu hawa.
Wapi?!!! huyo mama nae kamteua ili apumzishwe na maneno ya kusemwa na kuanikwa mitandaoni. Ndo maana siku hizi kigogo hamsemi na kumwanika tena. Kigogo mwenyewe ndo kina makamba.
 
Mifuko ya plastic nchi hii iliondolewa bila hata Mende kuguswa kitu ambacho mwendazake na serikali nzima hawakuamini. Wananchi wa Tanzania walistaajabu uwezo na akili yake na mikakati yake kufanikisha suala la mifuko bila kutumia polisi wala vyombo vingine vya Usalama. Kila moja anakumbuka wivu wa mwendazake kuwapelekea kumtoa kwenye cabinet hata hivyo hakulamba miguu.

Baada ya Rais Samia kushika madaraka na kufanya ministry audit alikua kugundua wizara ya nishat inamakando kando mengi ndio maana Waziri aliyekuwepo wakati wote alikua anatetemeka akikutana na Rais Samia.

Sasa kwa mtu makini kama Rais Samia na askari wake January Makamba watu wanaoamini katika utaalamu na suluhisho la uhakika wasingeweza kufanya mambo ya siasa kwenye mambo muhimu kama ya umeme. 5 Years hakuna maintenance, hakuna unategemea nini katika nchi kubwa kama hii.
Whether imeagizwa warekebishe mitambo ili kuzuia mitambo hio kuharibika au ni ishu ya maji kupungua bado sina mashaka na watu hawa.
Mifuko ya plastic ni nguvu ya JPM, wananchi walikuwa wanamuogopa na kumlaumu JPM
Enzi zile kiongozi yoyote akitoa agizo Raia wanatekeleza!
Serikali ile ilikuwa imara!
Mimi ninayeandika ni mwalimu, nakumbuka kabla ya JPM tulikuwa tunawadharau waalimu wakuu, lakini huwezi amini, ndani ya utawala wa JPM sisi waalimu tuliwatii Sana waalimu wakuu

Sinario Kama hii ndio inayojitokeza huko tanesco, wafanyakazi wameacha uwajibikaji
 
Ovyo kabisa. Amewatuma kujisafisha. Huyu mtu ni mbinafsi anafikiria mambo yake tu yajayo. Juzi tu amepewa wizara ya nishati,tunaona madhara yake. Mwendazake nilimuelewa sana kumpiga pembeni huyu mtu. Huyu toka kitambo simkubali. Ni miongoni mwa waroho wa madaraka. Hayuko kwa ajili ya wengi
 
Back
Top Bottom