January Makamba hawezi kufanya propaganda mbele ya Rais Samia. Huu ni wakati wa vitendo, January chapa kazi

😡😡😡😡
 
Magufuli mwenyewe alisema, kwamba hadi alipomlazimisha ndio akazuia mifuko ya plastiki, huna ulijualo, soma huo uzi nilioweka hapo utaelewa
Acheni wivu kila mtu anajua Makamba alifanya nini kwenye mifuko ya plastic sofa za reja reja mnazipenda sana JPM hakufanya kitu kwenye mifuko
 
Magufuli mwenyewe alisema, kwamba hadi alipomlazimisha ndio akazuia mifuko ya plastiki, huna ulijualo, soma huo uzi nilioweka hapo utaelewa
Unamwamin magufuli
Mtu mzushi na muongo muongo
M nilijua unatetea chama kuwa ubafunika kombe mwanaharamu apite kumbe uliingia mkenge
 
Tulikubaliana tupeane muda hadi Magufuli tulisema apewe muda na tukaraka kumuongeza hadi 2030 shida iko wapi Samia nae apewe muda
 
Tulikubaliana tupeane muda hadi Magufuli tulisema apewe muda na tukaraka kumuongeza hadi 2030 shida iko wapi Samia nae apewe muda
Nafasi ya nini tena?. Ndio maana nchi za wenzetu maendeleo yapo. Mtu akiboronga mara moja ni ndani,na nafasi hana. Hakuna nafasi za kipimo
 
Kwani hao wataalam haya matatizo hawakuyaona wakati wa Magu. January kwa kweli hii wizara imempwaya yaani haiwezi kabisa. Asiombe huruma kwa kivuli cha kumshutumu Marehemu ni dhambi kubwa sana. Hafai HAFAI HAFAI KABISAA ILA MUDA UTAONGEA
 
Kwani hao wataalam haya matatizo hawakuyaona wakati wa Magu. January kwa kweli hii wizara imempwaya yaani haiwezi kabisa. Asiombe huruma kwa kivuli cha kumshutumu Marehemu ni dhambi kubwa sana. Hafai HAFAI HAFAI KABISAA ILA MUDA UTAONGEA
Hakuna kitubkama hicho muda utawaaibisha sababu tutapata suluhisho la kudumu hamtaamini
 
Makamba ana mengi watu wanayajua nje na ndani ya uongozi, usiombe siku ikafika watu wakafunguka. Nadhani wanasubiri ajichanganye kwenye kugombea uraisi watu washushe nondo hasa lile ile issue yake ya kupa............wa
Wazushi safari hii hamna tena kufanya
 
Na bado

Ila pesa za January zinaliwa kizembe Sana. Hawa vijana wa kufanya spinning hamna kitu. Aajiri wengine
Na bahati mbaya hawezi hata kumtumia Kigogo maana huyo ndio kachafuka kuliko January mwenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…