Pre GE2025 January Makamba ili ndoto yako itimie ni lazima uwaombe radhi watanzania

Pre GE2025 January Makamba ili ndoto yako itimie ni lazima uwaombe radhi watanzania

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Maswa Yetu

Senior Member
Joined
Mar 18, 2023
Posts
155
Reaction score
217
January Makamba mbunge wa jimbo la Bumbuli na waziri msitaafu uliyetimuliwa kazi na Marais wawili tofauti, kwenye awamu mbili tofauti sasa umeyatimba baada ya kujulikana hadharani kwamba ulipigwa makofi na Rais Samia!.

Iko wazi kuwa mtu hapigwi makofi kama hajakosea chochote, kwa hiyo ni wazi ulimkosea sana Rais Samia na uliwakosea sana watanzania.

Sasa ili ndoto yako ileee itimie ni lazima utoke hadharani uwaeleze watanzania kwa nini ulipigwa makofi na uwaombe radhi watanzania kwa kujutia makosa yako, kama hautaomba radhi ile ndoto yako haitatimia kamwe maana watanzania siyo wajinga hadi wachague kiongozi aliyepigwa makofi wakati viongozi ambao hawajapigwa makofi wapo.

Pia soma > Pre GE2025 - Rais Samia: Nilimpiga kikofi January leo namrudisha kwa mama
 
Sio CCM yenyewe, mpaka mtu unasubutu kukana dini yako kisa unalenga uraisi, lakini anajua mipango ya Mungu kweli?
Hapa me ndo nilimshangaa sana...yan watu tumesahau kbs kwamb yupo anae control pumzi zetu na kwamba akiamua anaisitisha kma alivyositisha pumzi za wengine
 
January Makamba mbunge wa jimbo la Bumbuli na waziri msitaafu uliyetimuliwa kazi na Marais wawili tofauti, kwenye awamu mbili tofauti sasa umeyatimba baada ya kujulikana hadharani kwamba ulipigwa makofi na Rais Samia!.

Iko wazi kuwa mtu hapigwi makofi kama hajakosea chochote, kwa hiyo ni wazi ulimkosea sana Rais Samia na uliwakosea sana watanzania.

Sasa ili ndoto yako ileee itimia ni lazima utoke hadharani uwaeleze watanzania kwa nini ulipigwa makofi na uwaombe radhi watanzania kwa kujutia makosa yako, kama hautaomba radhi ile ndoto yako haitatimia kamwe maana watanzania siyo wajinga hadi wachague kiongozi aliyepigwa makofi wakati viongozi ambao hawajapigwa makofi wapo.
Ukitumia akili juu ya hayo yaliyotokea utaelewa kuwa Kamba alionewa...hivyo aombwe radhi
 
Ujuaji mwingi pia anatamaa sana huyu jamaa mixer kulia lia.Mimi since ile habari ya mange ya kutaka kumtapeli bwana wa dada ake yule muitaliano kwa ahadi ya kumuunga na madili ya serikali,nikaona hapa kweli jau.

Sasa hii ya kukataliwa na Marais wawili itamtesa sqna,na ni doa kubwa.Mwenzie lowasa ya Nyerere ili mtesa na ni Rais mmoja,yeye kwa Marais wawili?

Wacha aendelee kuota hizo ndoto ila Kitabu cha TISS I hope file limehifadhiwa vyema
 
Ujuaji mwingi pia anatamaa sana huyu jamaa mixer kulia lia.Mimi since ile habari ya mange ya kutaka kumtapeli bwana wa dada ake yule muitaliano kwa ahadi ya kumuunga na madili ya serikali,nikaona hapa kweli jau.

Sasa hii ya kukataliwa na Marais wawili itamtesa sqna,na ni doa kubwa.Mwenzie lowasa ya Nyerere ili mtesa na ni Rais mmoja,yeye kwa Marais wawili?

Wacha aendelee kuota hizo ndoto ila Kitabu cha TISS I hope file limehifadhiwa vyema
Umenena vyema
 
Sio CCM yenyewe, mpaka mtu unasubutu kukana dini yako kisa unalenga uraisi, lakini anajua mipango ya Mungu kweli?
Mkuu unaona dini ni kitu cha maana sana?
 
Sio CCM yenyewe, mpaka mtu unasubutu kukana dini yako kisa unalenga uraisi, lakini anajua mipango ya Mungu kweli?
nani amekana dini? dini ni upumbavu mwingine unauzunguka vichwani mwa watu.
 
Alipigwa makofi physically au kisiasa? Weka bayana mkuu, ila ukweli ni kwamba huyu mtoto na Nape walilelewa vibaya kimadeko hawawezi kua viongozi wa nchi kama Tanzania.
Ni wajinga sana hao watot na wapumbavu kisawasawa hawana lolote wanaloweza kusaidia nchi
 
Iko wazi kuwa mtu hapigwi makofi kama hajakosea chochote, kwa hiyo ni wazi ulimkosea sana Rais Samia na uliwakosea sana watanzania.
Chawa katika ubora wako.

Kumkosea samia ndio kuwakosea watanzania? Labda aliwakosea ccm wenzake.
 
January Makamba mbunge wa jimbo la Bumbuli na waziri msitaafu uliyetimuliwa kazi na Marais wawili tofauti, kwenye awamu mbili tofauti sasa umeyatimba baada ya kujulikana hadharani kwamba ulipigwa makofi na Rais Samia!.

Iko wazi kuwa mtu hapigwi makofi kama hajakosea chochote, kwa hiyo ni wazi ulimkosea sana Rais Samia na uliwakosea sana watanzania.

Sasa ili ndoto yako ileee itimie ni lazima utoke hadharani uwaeleze watanzania kwa nini ulipigwa makofi na uwaombe radhi watanzania kwa kujutia makosa yako, kama hautaomba radhi ile ndoto yako haitatimia kamwe maana watanzania siyo wajinga hadi wachague kiongozi aliyepigwa makofi wakati viongozi ambao hawajapigwa makofi wapo.
Makamba anaponzwa na baba yake, cheki vijana kama Ridhiwani Kikwete pamoja hana uwezo wa kujenga hoja ila siyo mropokaji na siyo mwizi.
 
Back
Top Bottom