johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Utaratibu ulishapangwa kitambo 😂Day dreaming myika sio presidential material ni muoga sana na opportunist.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utaratibu ulishapangwa kitambo 😂Day dreaming myika sio presidential material ni muoga sana na opportunist.
HahahaMakamba anaponzwa na baba yake, cheki vijana kama Ridhiwani Kikwete pamoja hana uwezo wa kujenga hoja ila siyo mropokaji na siyo mwizi.
Utabadilishwa tu, mpare na Mchanga hawapewi uraisi wa nchi lichaa ya vigezo vingine, mkuu ukabila upo sanaa hapa Mhaya hawezi kupewa wenyekiti wa CCM au Ukatibu MkuuUtaratibu ulishapangwa kitambo [emoji23]
Mbona Shujaa alipewa tena kwa kuombwa kabisa 😂Utabadilishwa tu, mpare na Mchanga hawapewi uraisi wa nchi lichaa ya vigezo vingine, mkuu ukabila upo sanaa hapa Mhaya hawezi kupewa wenyekiti wa CCM au Ukatibu Mkuu
MhMbona Shujaa alipewa tena kwa kuombwa kabisa 😂
Mnyika yuko Kwenye list Ndio sababu Mbowe alikuwa anamuogopa sana
Dk Bashiru ni mhayaUtabadilishwa tu, mpare na Mchanga hawapewi uraisi wa nchi lichaa ya vigezo vingine, mkuu ukabila upo sanaa hapa Mhaya hawezi kupewa wenyekiti wa CCM au Ukatibu Mkuu
Wewe unaedit kauli ya Rais Samia kama nani?Kwahiyo we ulivyoskia kofi processor yako kwenye ubongo ikakuletea taarifa kuwa ni kweli alipigwa kofi?
Wewe unaedit kauli ya Rais Samia kama nani?Kwahiyo we ulivyoskia kofi processor yako kwenye ubongo ikakuletea taarifa kuwa ni kweli alipigwa kofi?
We kweli wa MaswaWewe unaedit kauli ya Rais Samia kama nani?
Kofi ni Kofi tuAlipigwa makofi physically au kisiasa? Weka bayana mkuu, ila ukweli ni kwamba huyu mtoto na Nape walilelewa vibaya kimadeko hawawezi kua viongozi wa nchi kama Tanzania.
Naunga mkono hoja.January asisahau kwenye mbio anazokimbia kuna mtoto wa born town, inshort January hana chake tena
Nchimbi hawezi kuwa Rais wa kuchaguliwa, labda ikitokeaa.....Dr Nchimbi 2030 - 2040
John Mnyika 2040 - 2050
Ahsanteni sana [emoji209]
Wee unajuaje km riz1 sio mwizi?Makamba anaponzwa na baba yake, cheki vijana kama Ridhiwani Kikwete pamoja hana uwezo wa kujenga hoja ila siyo mropokaji na siyo mwizi.
Mimi Januari hajanikosea wala hana haja ya kuniombea radhi! Uzuri Januari liko njema kichwani!January Makamba mbunge wa jimbo la Bumbuli na waziri msitaafu uliyetimuliwa kazi na Marais wawili tofauti, kwenye awamu mbili tofauti sasa umeyatimba baada ya kujulikana hadharani kwamba ulipigwa makofi na Rais Samia!.
Iko wazi kuwa mtu hapigwi makofi kama hajakosea chochote, kwa hiyo ni wazi ulimkosea sana Rais Samia na uliwakosea sana watanzania.
Sasa ili ndoto yako ileee itimie ni lazima utoke hadharani uwaeleze watanzania kwa nini ulipigwa makofi na uwaombe radhi watanzania kwa kujutia makosa yako, kama hautaomba radhi ile ndoto yako haitatimia kamwe maana watanzania siyo wajinga hadi wachague kiongozi aliyepigwa makofi wakati viongozi ambao hawajapigwa makofi wapo.
Pia soma > Pre GE2025 - Rais Samia: Nilimpiga kikofi January leo namrudisha kwa mama
Hapo Makamba unamuonea tu.January Makamba mbunge wa jimbo la Bumbuli na waziri msitaafu uliyetimuliwa kazi na Marais wawili tofauti, kwenye awamu mbili tofauti sasa umeyatimba baada ya kujulikana hadharani kwamba ulipigwa makofi na Rais Samia!.
Iko wazi kuwa mtu hapigwi makofi kama hajakosea chochote, kwa hiyo ni wazi ulimkosea sana Rais Samia na uliwakosea sana watanzania.
Sasa ili ndoto yako ileee itimie ni lazima utoke hadharani uwaeleze watanzania kwa nini ulipigwa makofi na uwaombe radhi watanzania kwa kujutia makosa yako, kama hautaomba radhi ile ndoto yako haitatimia kamwe maana watanzania siyo wajinga hadi wachague kiongozi aliyepigwa makofi wakati viongozi ambao hawajapigwa makofi wapo.
Pia soma > Pre GE2025 - Rais Samia: Nilimpiga kikofi January leo namrudisha kwa mama