Pre GE2025 January Makamba ili ndoto yako itimie ni lazima uwaombe radhi watanzania

Pre GE2025 January Makamba ili ndoto yako itimie ni lazima uwaombe radhi watanzania

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Utaratibu ulishapangwa kitambo [emoji23]
Utabadilishwa tu, mpare na Mchanga hawapewi uraisi wa nchi lichaa ya vigezo vingine, mkuu ukabila upo sanaa hapa Mhaya hawezi kupewa wenyekiti wa CCM au Ukatibu Mkuu
 
Utabadilishwa tu, mpare na Mchanga hawapewi uraisi wa nchi lichaa ya vigezo vingine, mkuu ukabila upo sanaa hapa Mhaya hawezi kupewa wenyekiti wa CCM au Ukatibu Mkuu
Mbona Shujaa alipewa tena kwa kuombwa kabisa 😂

Mnyika yuko Kwenye list Ndio sababu Mbowe alikuwa anamuogopa sana
 
Kwahiyo we ulivyoskia kofi processor yako kwenye ubongo ikakuletea taarifa kuwa ni kweli alipigwa kofi?
 
CCM Hakuna watu zaidi ya hao hao wakina JM na yule zezeta wa Bao la mkono? Tunaambiwa mpo vizuri lakini kila siku mnawarudia wale wale tu.
 
Alipigwa makofi physically au kisiasa? Weka bayana mkuu, ila ukweli ni kwamba huyu mtoto na Nape walilelewa vibaya kimadeko hawawezi kua viongozi wa nchi kama Tanzania.
Kofi ni Kofi tu
 
January Makamba mbunge wa jimbo la Bumbuli na waziri msitaafu uliyetimuliwa kazi na Marais wawili tofauti, kwenye awamu mbili tofauti sasa umeyatimba baada ya kujulikana hadharani kwamba ulipigwa makofi na Rais Samia!.

Iko wazi kuwa mtu hapigwi makofi kama hajakosea chochote, kwa hiyo ni wazi ulimkosea sana Rais Samia na uliwakosea sana watanzania.

Sasa ili ndoto yako ileee itimie ni lazima utoke hadharani uwaeleze watanzania kwa nini ulipigwa makofi na uwaombe radhi watanzania kwa kujutia makosa yako, kama hautaomba radhi ile ndoto yako haitatimia kamwe maana watanzania siyo wajinga hadi wachague kiongozi aliyepigwa makofi wakati viongozi ambao hawajapigwa makofi wapo.

Pia soma > Pre GE2025 - Rais Samia: Nilimpiga kikofi January leo namrudisha kwa mama
Mimi Januari hajanikosea wala hana haja ya kuniombea radhi! Uzuri Januari liko njema kichwani!
 
Mtu anayestahili kunyongwa, anapigwa kikofi Kisha anaombwa msamaha na kuambiwa pole!
 
January Makamba mbunge wa jimbo la Bumbuli na waziri msitaafu uliyetimuliwa kazi na Marais wawili tofauti, kwenye awamu mbili tofauti sasa umeyatimba baada ya kujulikana hadharani kwamba ulipigwa makofi na Rais Samia!.

Iko wazi kuwa mtu hapigwi makofi kama hajakosea chochote, kwa hiyo ni wazi ulimkosea sana Rais Samia na uliwakosea sana watanzania.

Sasa ili ndoto yako ileee itimie ni lazima utoke hadharani uwaeleze watanzania kwa nini ulipigwa makofi na uwaombe radhi watanzania kwa kujutia makosa yako, kama hautaomba radhi ile ndoto yako haitatimia kamwe maana watanzania siyo wajinga hadi wachague kiongozi aliyepigwa makofi wakati viongozi ambao hawajapigwa makofi wapo.

Pia soma > Pre GE2025 - Rais Samia: Nilimpiga kikofi January leo namrudisha kwa mama
Hapo Makamba unamuonea tu.

Ingefaa umuulize Samia kwa nini alimpiga makofi Makamba.
 
Back
Top Bottom