Tetesi: January Makamba kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara

sasa na sisi wengine tutamfikia vipi rais maana nina jambo langu...
japo katibu tarafa basi..
 
Tangu kabendera aachwe aropoke sasa kila mtu ataropoka
 
Samia amejenga uadui mkubwa na watu wa Tanga sijui wamedhulumiana nini,ukiaanzia former DGSI,Ummy Mwalimu na January.
Kuna uzi humu imeeleza kinaga ubaga hilo suala kama siyo Mzee wa Migebuka leo tungekuwa tunazungumza jambo lingine kabisaaaa kumbuka hao ndiyo waliomponza Daa Zuu kutoka kwenye kipaza hadi kufichwa uko katika Wing ya PM.
 
"Nepotism is a big enemy of development"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…