Tetesi: January Makamba kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara

Tetesi: January Makamba kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara

Habari kutoka ndani ya CCM ni kuwa Familia ya Makamba imemalizana na Rais Samia.

Makubaliano ni kuwa Mama Samia hakutaka Makamba arejeshewe Uwaziri kama walivyotaka.

Baada ya Maongezi ya muda mrefu Mheshimiwa Rais kwa kuiheshimu familia hiyo, ameahidi kufanya mpango kwa kufuata taratibu za chama ili January Makamba awe Makamu mwenyekiti wa Chama bara.

Suala hili litawekwa wazi mapema mwezi February.
Tupo na tundu lisu ndiyo habari ya mjini
 
Jikoni afu unashinda jf kila muda?
Mkuu wewe haushindi Jf unajuaje wanaoshinda Jf? Kwani mkuu watu walio huko ndani ya mfumo huwa hawashindi Jf? Haujui kama Jf ni mtandao ambao unafuatiliwa kwa karibu sana na syteam ya nchi za afrika mashariki,kwaiyo wapo majasusi pia wameajiriwa kazi yao kubwa kushinda Jf kufuatilia habari na matukio,
 
Habari kutoka ndani ya CCM ni kuwa Familia ya Makamba imemalizana na Rais Samia.

Makubaliano ni kuwa Mama Samia hakutaka Makamba arejeshewe Uwaziri kama walivyotaka.

Baada ya Maongezi ya muda mrefu Mheshimiwa Rais kwa kuiheshimu familia hiyo, ameahidi kufanya mpango kwa kufuata taratibu za chama ili January Makamba awe Makamu mwenyekiti wa Chama bara.

Suala hili litawekwa wazi mapema mwezi February.
Hii Nchi bana, bomu kweli. Yaani Familia ya Makamba ina hisa CCM!!?????
 
Habari kutoka ndani ya CCM ni kuwa Familia ya Makamba imemalizana na Rais Samia.

Makubaliano ni kuwa Mama Samia hakutaka Makamba arejeshewe Uwaziri kama walivyotaka.

Baada ya Maongezi ya muda mrefu Mheshimiwa Rais kwa kuiheshimu familia hiyo, ameahidi kufanya mpango kwa kufuata taratibu za chama ili January Makamba awe Makamu mwenyekiti wa Chama bara.

Suala hili litawekwa wazi mapema mwezi February.
Tumekwisha.
 
Habari kutoka ndani ya CCM ni kuwa Familia ya Makamba imemalizana na Rais Samia.

Makubaliano ni kuwa Mama Samia hakutaka Makamba arejeshewe Uwaziri kama walivyotaka.

Baada ya Maongezi ya muda mrefu Mheshimiwa Rais kwa kuiheshimu familia hiyo, ameahidi kufanya mpango kwa kufuata taratibu za chama ili January Makamba awe Makamu mwenyekiti wa Chama bara.

Suala hili litawekwa wazi mapema mwezi February.
Eeh Ngoma inaendelea hapa dunia ya Tanzania.
 
January ndio Rais wa baadae baada ya Ridhiwani kikwete, hiyo nafasi inamfaa ili kukijenga chama zaidi.... Acha tuwape nchi vijana pia baada ya Samia akimaliza....povu Ruksa.
Looh ! Utabiri wa shehe yule kwenye 2006 ulitimia 75 asilimia Hadi sasa. Na iwapo MAMBO yakiendelea hivyo, basi hivi punde utasoma Ile 25 asilimia iliyobaki.
 
Back
Top Bottom