Tetesi: January Makamba kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara

Tetesi: January Makamba kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara

Habari kutoka ndani ya CCM ni kuwa Familia ya Makamba imemalizana na Rais Samia.

Makubaliano ni kuwa Mama Samia hakutaka Makamba arejeshewe Uwaziri kama walivyotaka.

Baada ya Maongezi ya muda mrefu Mheshimiwa Rais kwa kuiheshimu familia hiyo, ameahidi kufanya mpango kwa kufuata taratibu za chama ili January Makamba awe Makamu mwenyekiti wa Chama bara.

Suala hili litawekwa wazi mapema mwezi February.
 

Attachments

  • 5922090-9996bee7eb09dbb87c6dad8817cfc87c.mp4
    16.1 MB
Imi Mbwanga N'kundi Mzuii Wa Baiskel Ananisaidia Sana
Anapogonga Nyundo Wahindi Wasema N'kelele
Mtafutie Nyundo Ya Silence Aondoe Hizo Kelele
By Wagosi Wa Kaya
 
Habari kutoka ndani ya CCM ni kuwa Familia ya Makamba imemalizana na Rais Samia.

Makubaliano ni kuwa Mama Samia hakutaka Makamba arejeshewe Uwaziri kama walivyotaka.

Baada ya Maongezi ya muda mrefu Mheshimiwa Rais kwa kuiheshimu familia hiyo, ameahidi kufanya mpango kwa kufuata taratibu za chama ili January Makamba awe Makamu mwenyekiti wa Chama bara.

Suala hili litawekwa wazi mapema mwezi February.
Kabendera mko wengi
 
Back
Top Bottom