Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,547
- 7,167
- Thread starter
- #121
Mambo hubadilikaKwa kumbukumbu zako, ni nani asiye Mstaafu aliyewahi kushika hicho cheo!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo hubadilikaKwa kumbukumbu zako, ni nani asiye Mstaafu aliyewahi kushika hicho cheo!?
Na huko atadokoa tu, maana pesa ya kupiga kisawasawa haipo chamani iko serikalini.Anaachia ubunge na ndoto za kuwa rais ndo zimezama topeni
Mambo hubadilika
Huyo February ana umri gani mpaka unamuita kijana?January ndio Rais wa baadae baada ya Ridhiwani kikwete, hiyo nafasi inamfaa ili kukijenga chama zaidi.... Acha tuwape nchi vijana pia baada ya Samia akimaliza....povu Ruksa.
Yaani Chadema wanagombea eti chama wanachaguana kifamilia na watu wanashabikia!Habari kutoka ndani ya CCM ni kuwa Familia ya Makamba imemalizana na Rais Samia.
Makubaliano ni kuwa Mama Samia hakutaka Makamba arejeshewe Uwaziri kama walivyotaka.
Baada ya Maongezi ya muda mrefu Mheshimiwa Rais kwa kuiheshimu familia hiyo, ameahidi kufanya mpango kwa kufuata taratibu za chama ili January Makamba awe Makamu mwenyekiti wa Chama bara.
Suala hili litawekwa wazi mapema mwezi February.
Hizi tetesi ni tuu machi izi hamfuliHabari kutoka ndani ya CCM ni kuwa Familia ya Makamba imemalizana na Rais Samia.
Makubaliano ni kuwa Mama Samia hakutaka Makamba arejeshewe Uwaziri kama walivyotaka.
Baada ya Maongezi ya muda mrefu Mheshimiwa Rais kwa kuiheshimu familia hiyo, ameahidi kufanya mpango kwa kufuata taratibu za chama ili January Makamba awe Makamu mwenyekiti wa Chama bara.
Suala hili litawekwa wazi mapema mwezi February.
Na shida ipo hapo. Kwa kujulikana kwa upigaji, Rais kamkatalia uwaziriNa huko atadokoa tu, maana pesa ya kupiga kisawasawa haipo chamani iko serikalini.
Miaka 51. Kisiasa ni kijana bado. Muite Mzee Makamba huku ukimtazama usoni. Utaona akikosa Raha.Huyo February ana umri gani mpaka unamuita kijana?
Umeingia chaka. Makamu Mwenyekiti wa CCM anapatikana tarehe 17-18 Janauari baada ya Kikao kijacho.Habari kutoka ndani ya CCM ni kuwa Familia ya Makamba imemalizana na Rais Samia.
Makubaliano ni kuwa Mama Samia hakutaka Makamba arejeshewe Uwaziri kama walivyotaka.
Baada ya Maongezi ya muda mrefu Mheshimiwa Rais kwa kuiheshimu familia hiyo, ameahidi kufanya mpango kwa kufuata taratibu za chama ili January Makamba awe Makamu mwenyekiti wa Chama bara.
Suala hili litawekwa wazi mapema mwezi February.
Wewe ndo umenena jambo la maana sana uliloliona kwa jicho la 3January sio mtu wa kukaa nae karibu, atamharibia sana Mh. Rais wetu, hilo CCM watamshauri Mh. Rais asikubali katu katu.
CCM hawataki kupoa. Wameibuka kabla ya FebruaryMacho ya waTZ kwa sasa yapo kwa Tundu Lissu✅
Hii habari imekuja lini? Unajua kwanini CCM wamekuja baada ya habari hii?Umeingia chaka. Makamu Mwenyekiti wa CCM anapatikana tarehe 17-18 Janauari baada ya Kikao kijacho.
Wala hawezi kuwa Januari Makamba kwa kuwa hana sifa hizo zinazotakiwa. Makamu Mwenyekiti anapaswa kuwa ni mtu asiye na tamaa ya kuwa Rais ajaye
Ni mambo ya hovyo sanaKama ni hivyo basi chadema wamekomaa sana kisiasa maana tunawaona jinsi walivyo transparent kwenye kuchagua viongozi wao wa kitaifa.sasa hao ccm kumbe viongozi wao wanapatikana baada ya majadiliano ya familia mbili tu?pathetic
Vyeo vya kupeana kifamilia nani mwenye akili timamu angaike navyoCCM hawataki kupoa. Wameibuka kabla ya February
Wala RUSHWA hawatakuelewa.CCM tunaomba watu wapewe fomu ili wajumbe wengi waweze kugombea nafasi hizo!
Biashara ya kuleta jina Moja mfukoni,na kusema apigiwe kura ni laana kwa sasa
February ni nani?Niliona huu ni mwaka mgumu sana kwa kaka yake na Februari kwenye harakati za kutafuta uongozi pia ni mwaka wa kuomboleza kwake,
Mwenzake mzee wa kibri na Jeuri wa goal la mkono ni mwaka wa kurudi tena serikali,
Hata G Boy Mlawi mkono wa bausa ni mwaka mgumu kiasa kama ilivyo kwa kakiye Februari.
Ili kakiye February arudi serikali kwa mwaka huu atumie nguvu za kijeshi.
Ilisika Nabii wa ishara Tanzania akitoa unabii kwa mwaka 2025,
Hapa sijaelewa.Hizi sio tetesi hii ni taarifa
Mkuu!! Hii habari ilitangulia CCM Wakadandia treni kwa mbeleHapa sijaelewa.
Mkutano wa CCM utakuwa January hii.
Lakini January atatangazwa M/ Mwenyekiti February?
Watu wanazipenda sana hizi draft