kirengased
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 6,348
- 7,058
Makamba amepevuka anaimudu hiyo nafasi sio mawenge kama toto TUNDU lisusu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mzee kwa sasaMakamba amepevuka anaimudu hiyo nafasi sio mawenge kama toto TUNDU lisusu
Mkuu labd rais wa vijana TanzaniaJanuary ndio Rais wa baadae baada ya Ridhiwani kikwete, hiyo nafasi inamfaa ili kukijenga chama zaidi.... Acha tuwape nchi vijana pia baada ya Samia akimaliza....povu Ruksa.
Amekopa benki ganiMakamba hata kulitamka jina la Samia amekuwa km mtoto aliyemeza uji wa moto.. safari hii amekopa kausha damu..
Utajua ww chawa unayebweka kulinda masilahi yake .Amekopa benki gani
Wala hata siyalindiUtajua ww chawa unayebweka kulinda masilahi yake .
Wameshabadili gia angani. Sasa wanatuletea Agrey MwandriNa January ndiye mgombea wa CCM baada ya "mambo kuharibika sana".
Washabadili gia angani wanamleta Agrey Mwandri kuuzima mrindimo wa Chadema.Chama cha familia na vizazi vyao wana rithishana tu
Sasa wamebadili msimamo na wanamleta mzee wa Toronto
Mizengo pinda ndiye atakuwa makamu mwenyekiti wa ccmHabari kutoka ndani ya CCM ni kuwa Familia ya Makamba imemalizana na Rais Samia.
Makubaliano ni kuwa Mama Samia hakutaka Makamba arejeshewe Uwaziri kama walivyotaka.
Baada ya Maongezi ya muda mrefu Mheshimiwa Rais kwa kuiheshimu familia hiyo, ameahidi kufanya mpango kwa kufuata taratibu za chama ili January Makamba awe Makamu mwenyekiti wa Chama bara.
Suala hili litawekwa wazi mapema mwezi February.
MREJESHO: Baada ya CCM kuiona habari hii iliyovuja wameamua kukurupuka na kuwahisha mchakato tarehe 16, 17 na hitimisho ni 19 January. Imethibitika pasipo na shaka kuwa AGREY MWANDRI ndiye atakayekuwa Makamu mwenyekiti bara. Naona Chama kimebadili GIA ANGANI.
Niamini mimi. Subiri muda mfupi ujao.Mizengo pinda ndiye atakuwa makamu mwenyekiti wa ccm
Mzee pinda ana watu hususani wakongwe ingawa makamba nao wanapambanaNiamini mimi. Subiri muda mfupi ujao.
Taa ya kijani ipo kwa Pinda ingawa makamba yupo jirani yake hao wengine ni wasindikizaji tuSasa wamebadili msimamo na wanamleta mzee wa Toronto
Mkuu subiri muda usemeMizengo pinda ndiyo kinara mpaka sasa