January Makamba mnyonge mnyongene, haki yake mpeni

January Makamba mnyonge mnyongene, haki yake mpeni

Chendembe

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2019
Posts
444
Reaction score
488
Kufuatia mawasilisho ya watu mbalimbali kumhusu Mheshimiwa huyu, nililazimika kufuatilia kila hatua anayokanyaga katika jukumu lake katika Wizara nyeti anayohudumu.

Pia, nilisubiri kwa hamu kubwa kuona wasilisho lake la bajeti.
Hakika ya moyo wangu, nimejiridhisha kuwa Mama hakukosea kwa huyu Mwamba.

Ni mfano wa kuigwa kwa vijana na watoto wetu katika kutumikiwa watu na taifa.

Kubwa nililoliona kwake, ni kusimamia kile anachokiamini kwa weledi wa hali yajuu.

Zaidi, ni Kijana ambaye yupo tayari kupokea na kujadiliana na watu kuhusu changamoto zinanazoikabiri jamii "Mheshimiwa anafikika na msikivu".

Anajibu hoja kwa hoja. Anawaonyesha wanaotoa tuhuma kwa kutenda kwa maharifa na uwazi.

HONGERA SAANA MHESHIMIWA KWA WASILISHO ZURI LA BAJETI YENYE MATUMAINI.

Nimtakie mafanikio mema katika kulitumikia taifa letu.
 
Makamba ndiye kiongozi bora ktk serikali ya Samia. Yuko vizuri kila idara.
 
Ushauri kwa TANESCO na Serikali
1).Kwa kuwa nguzo za umeme Ni mali ya TANESCO, kwa wateja wanaohitaji nguzo mbili na zaidi wajengewe na waruhusiwe kulipa kwa instalment nne au sita kwa nguzo mbili au instalment 12 kwa nguzo zaidi ya mbili
2).Mteja anayelipia nguzo mbili na zaidi kufikisha umeme kwake,awe anarejeshewe Sehemu ya gharama za nguzo,kwa maana wateja wengine wanafaidika na uwepo wa nguzo kwa kulipa shs320,960
 
Kufuatia mawasilisho ya watu mbalimbali kumhusu Mheshimiwa huyu, nililazimika kufuatilia kila hatua anayokanyaga katika jukumu lake katika Wizara nyeti anayohudumu.

Pia, nilisubiri kwa hamu kubwa kuona wasilisho lake la bajeti.
Hakika ya moyo wangu, nimejiridhisha kuwa Mama hakukosea kwa huyu Mwamba.

Ni mfano wa kuigwa kwa vijana na watoto wetu katika kutumikiwa watu na taifa.

Kubwa nililoliona kwake, ni kusimamia kile anachokiamini kwa weledi wa hali yajuu.

Zaidi, ni Kijana ambaye yupo tayari kupokea na kujadiliana na watu kuhusu changamoto zinanazoikabiri jamii "Mheshimiwa anafikika na msikivu".

Anajibu hoja kwa hoja. Anawaonyesha wanaotoa tuhuma kwa kutenda kwa maharifa na uwazi.

HONGERA SAANA MHESHIMIWA KWA WASILISHO ZURI LA BAJETI YENYE MATUMAINI.

Nimtakie mafanikio mema katika kulitumikia taifa letu.
Endelea kutumika mpumbavu wewe
 
Naunga mkono hoja, mimi nimeongea nae face to face, yote usemayo ni kweli tupu!



P
Taja jambo moja tu lililofanywa na Makamba likafanikiwa tokea awe waziri wa nishati?

Ingekuwa maendeleo ni maneno matamu matamu Tanzania ingeshaipiku Dubai kwa maendeleo
 
Back
Top Bottom