January Makamba mnyonge mnyongene, haki yake mpeni

January Makamba mnyonge mnyongene, haki yake mpeni

Kufuatia mawasilisho ya watu mbalimbali kumhusu Mheshimiwa huyu, nililazimika kufuatilia kila hatua anayokanyaga katika jukumu lake katika Wizara nyeti anayohudumu.

Pia, nilisubiri kwa hamu kubwa kuona wasilisho lake la bajeti.
Hakika ya moyo wangu, nimejiridhisha kuwa Mama hakukosea kwa huyu Mwamba.

Ni mfano wa kuigwa kwa vijana na watoto wetu katika kutumikiwa watu na taifa.

Kubwa nililoliona kwake, ni kusimamia kile anachokiamini kwa weledi wa hali yajuu.

Zaidi, ni Kijana ambaye yupo tayari kupokea na kujadiliana na watu kuhusu changamoto zinanazoikabiri jamii "Mheshimiwa anafikika na msikivu".

Anajibu hoja kwa hoja. Anawaonyesha wanaotoa tuhuma kwa kutenda kwa maharifa na uwazi.

HONGERA SAANA MHESHIMIWA KWA WASILISHO ZURI LA BAJETI YENYE MATUMAINI.

Nimtakie mafanikio mema katika kulitumikia taifa letu.
Makamba na Mawaziri wengine wanafanya vizuri..

Ila simuelewi Waziri wa Ardhi yule Mabula..

Ikimpendeza Rais amuweke pembeni mojawapo ya Waziri Pindi Chana au Anjelina Mabula harafu Kwenye hizo Wizara amhamishie Doto Biteko then amteue Prof.Muhongo kwenye wizara ya Madini..

Wanaweza fanya partnership nzuri na Makamba maana Hawa Wana exposure nzuri.
 
Taja jambo moja tu lililofanywa na Makamba likafanikiwa tokea awe waziri wa nishati?

Ingekuwa maendeleo ni maneno matamu matamu Tanzania ingeshaipiku Dubai kwa maendeleo
Kuna aina 3 za mafanikio, kuna short term, medium term na long term. JPM was a short term hot tempered person, umeme usikatike na ukikatika urudi hapo hapo, hata kama in a long run mitambo ingekufa, tulikuwa tunakwenda na mwendo wa afe punda mzigo ufike.

January ni mtu mkweli kuusema ukweli bila kumung'unya wala sugar coating hali halisi ya umeme ni mbaya, ana long time plans and sustainable projects, kumaliza kabisa tatizo la umeme kuwa history

P
.
 
Toka alivyo haribu Bei za mafuta Sina hamu nae

Mwanzo kbla hajawa waziri niliona anafah kuwa rais na nilimpenda Sana kwa utulivu wake Sasa alivyopata wizara kamili ndio nikamjuwa rangi yake halisi Ni mtu hasiye jali wanyonge Wala kujali maisha za watu yey Yuko radhi hata mafuta yafike elf tano na kuendekea kubaki wizara pale

Huyu mtu hafai kuwa kiongozi tutapoteana Sana Kam taifa
 
Kufuatia mawasilisho ya watu mbalimbali kumhusu Mheshimiwa huyu, nililazimika kufuatilia kila hatua anayokanyaga katika jukumu lake katika Wizara nyeti anayohudumu.

Pia, nilisubiri kwa hamu kubwa kuona wasilisho lake la bajeti.
Hakika ya moyo wangu, nimejiridhisha kuwa Mama hakukosea kwa huyu Mwamba.

Ni mfano wa kuigwa kwa vijana na watoto wetu katika kutumikiwa watu na taifa.

Kubwa nililoliona kwake, ni kusimamia kile anachokiamini kwa weledi wa hali yajuu.

Zaidi, ni Kijana ambaye yupo tayari kupokea na kujadiliana na watu kuhusu changamoto zinanazoikabiri jamii "Mheshimiwa anafikika na msikivu".

Anajibu hoja kwa hoja. Anawaonyesha wanaotoa tuhuma kwa kutenda kwa maharifa na uwazi.

HONGERA SAANA MHESHIMIWA KWA WASILISHO ZURI LA BAJETI YENYE MATUMAINI.

Nimtakie mafanikio mema katika kulitumikia taifa letu.
KIGOGO2014

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Tan
Kufuatia mawasilisho ya watu mbalimbali kumhusu Mheshimiwa huyu, nililazimika kufuatilia kila hatua anayokanyaga katika jukumu lake katika Wizara nyeti anayohudumu.

Pia, nilisubiri kwa hamu kubwa kuona wasilisho lake la bajeti.
Hakika ya moyo wangu, nimejiridhisha kuwa Mama hakukosea kwa huyu Mwamba.

Ni mfano wa kuigwa kwa vijana na watoto wetu katika kutumikiwa watu na taifa.

Kubwa nililoliona kwake, ni kusimamia kile anachokiamini kwa weledi wa hali yajuu.

Zaidi, ni Kijana ambaye yupo tayari kupokea na kujadiliana na watu kuhusu changamoto zinanazoikabiri jamii "Mheshimiwa anafikika na msikivu".

Anajibu hoja kwa hoja. Anawaonyesha wanaotoa tuhuma kwa kutenda kwa maharifa na uwazi.

HONGERA SAANA MHESHIMIWA KWA WASILISHO ZURI LA BAJETI YENYE MATUMAINI.

Nimtakie mafanikio mema katika kulitumikia taifa letu.
gu
Naunga mkono hoja, mimi nimeongea nae face to face, yote usemayo ni kweli tupu!



P

Alikwambia lini Mradi wa Mwalimu Nyerere Hydroelectric Power utakamalika?
 
Tan

gu

Alikwambia lini Mradi wa Mwalimu Nyerere Hydroelectric Power utakamalika?
Msikilize umsikie mwenyewe

Baada ya kumsikia nikafurahi kama utawaeleza na wengine umesikia nini.

Kuna baadhi ya miradi mikubwa, takes time to complete, kunapotokea uncertainties, it's hard to tell for a certain, exactly when. Hapo January Makamba amesema kitu muhimu sana sio kumaliza kujenga bwawa bali ni kwa umeme kuanza kutumika.
P
 
Back
Top Bottom