Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,101
- 11,381
Muda ndio tatizo...If you have time, take time to listen to this guy
na kama bundle ni issue, let me know!.
P
Maswali mengi bungen alipwaya...
Empty tank
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muda ndio tatizo...If you have time, take time to listen to this guy
na kama bundle ni issue, let me know!.
P
PamojaMungu amekusikia.
Kalemani kilichomndoa ni udini pekee lakini jamaa alipaweza sn kwanza amekulia TANESCO anajua njia zote za rushwa paleMuda ndio tatizo...
Maswali mengi bungen alipwaya...
Empty tank
Makamba na Mawaziri wengine wanafanya vizuri..Kufuatia mawasilisho ya watu mbalimbali kumhusu Mheshimiwa huyu, nililazimika kufuatilia kila hatua anayokanyaga katika jukumu lake katika Wizara nyeti anayohudumu.
Pia, nilisubiri kwa hamu kubwa kuona wasilisho lake la bajeti.
Hakika ya moyo wangu, nimejiridhisha kuwa Mama hakukosea kwa huyu Mwamba.
Ni mfano wa kuigwa kwa vijana na watoto wetu katika kutumikiwa watu na taifa.
Kubwa nililoliona kwake, ni kusimamia kile anachokiamini kwa weledi wa hali yajuu.
Zaidi, ni Kijana ambaye yupo tayari kupokea na kujadiliana na watu kuhusu changamoto zinanazoikabiri jamii "Mheshimiwa anafikika na msikivu".
Anajibu hoja kwa hoja. Anawaonyesha wanaotoa tuhuma kwa kutenda kwa maharifa na uwazi.
HONGERA SAANA MHESHIMIWA KWA WASILISHO ZURI LA BAJETI YENYE MATUMAINI.
Nimtakie mafanikio mema katika kulitumikia taifa letu.
Kuna aina 3 za mafanikio, kuna short term, medium term na long term. JPM was a short term hot tempered person, umeme usikatike na ukikatika urudi hapo hapo, hata kama in a long run mitambo ingekufa, tulikuwa tunakwenda na mwendo wa afe punda mzigo ufike.Taja jambo moja tu lililofanywa na Makamba likafanikiwa tokea awe waziri wa nishati?
Ingekuwa maendeleo ni maneno matamu matamu Tanzania ingeshaipiku Dubai kwa maendeleo
AhahahahahNaunga mkono hoja, mimi nimeongea nae face to face, yote usemayo ni kweli tupu!
P
sasa huyo mnyonge wako akishanyongwa haki yake atapewaje?Muda ndio tatizo...
Maswali mengi bungen alipwaya...
Empty tank
Anajua njia za kukwapua sio?Kalemani kilichomndoa ni udini pekee lakini jamaa alipaweza sn kwanza amekulia TANESCO anajua njia zote za rushwa pale
KIGOGO2014Kufuatia mawasilisho ya watu mbalimbali kumhusu Mheshimiwa huyu, nililazimika kufuatilia kila hatua anayokanyaga katika jukumu lake katika Wizara nyeti anayohudumu.
Pia, nilisubiri kwa hamu kubwa kuona wasilisho lake la bajeti.
Hakika ya moyo wangu, nimejiridhisha kuwa Mama hakukosea kwa huyu Mwamba.
Ni mfano wa kuigwa kwa vijana na watoto wetu katika kutumikiwa watu na taifa.
Kubwa nililoliona kwake, ni kusimamia kile anachokiamini kwa weledi wa hali yajuu.
Zaidi, ni Kijana ambaye yupo tayari kupokea na kujadiliana na watu kuhusu changamoto zinanazoikabiri jamii "Mheshimiwa anafikika na msikivu".
Anajibu hoja kwa hoja. Anawaonyesha wanaotoa tuhuma kwa kutenda kwa maharifa na uwazi.
HONGERA SAANA MHESHIMIWA KWA WASILISHO ZURI LA BAJETI YENYE MATUMAINI.
Nimtakie mafanikio mema katika kulitumikia taifa letu.
Mshauri aagize mafuta Urusi yanapatikana kwa bei chei tupunguze gharama za mafuta nchini na ughari wa Maisha, badala ya kung'ang'ania mafuta ya Uarabuni ambyo sasa ni ghari.Naunga mkono hoja, mimi nimeongea nae face to face, yote usemayo ni kweli tupu!
P
Hili limeisha fanyika.Mshauri aagize mafuta Urusi yanapatikana kwa bei chei tupunguze gharama za mafuta nchini na ughari wa Maisha, badala ya kung'ang'ania mafuta ya Uarabuni ambyo sasa ni ghari.
guKufuatia mawasilisho ya watu mbalimbali kumhusu Mheshimiwa huyu, nililazimika kufuatilia kila hatua anayokanyaga katika jukumu lake katika Wizara nyeti anayohudumu.
Pia, nilisubiri kwa hamu kubwa kuona wasilisho lake la bajeti.
Hakika ya moyo wangu, nimejiridhisha kuwa Mama hakukosea kwa huyu Mwamba.
Ni mfano wa kuigwa kwa vijana na watoto wetu katika kutumikiwa watu na taifa.
Kubwa nililoliona kwake, ni kusimamia kile anachokiamini kwa weledi wa hali yajuu.
Zaidi, ni Kijana ambaye yupo tayari kupokea na kujadiliana na watu kuhusu changamoto zinanazoikabiri jamii "Mheshimiwa anafikika na msikivu".
Anajibu hoja kwa hoja. Anawaonyesha wanaotoa tuhuma kwa kutenda kwa maharifa na uwazi.
HONGERA SAANA MHESHIMIWA KWA WASILISHO ZURI LA BAJETI YENYE MATUMAINI.
Nimtakie mafanikio mema katika kulitumikia taifa letu.
Naunga mkono hoja, mimi nimeongea nae face to face, yote usemayo ni kweli tupu!
P
Msikilize umsikie mwenyeweTan
gu
Alikwambia lini Mradi wa Mwalimu Nyerere Hydroelectric Power utakamalika?