kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Miaka 60 ya Uhuru Tanzania hatuna umeme ,kweli!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KOSA KUBWA SANA NI HILI.......SASA TUTAISOMA NAMBA BAADA YA KUWATOSA WATAALAMWaliomshauri asafishe uongozi wa Tanesco walimuingiza chaka sana.
Ni sawa kuingia hazina unatoa wachumi na makashier hadi self huku wewe huna utaalamu huo.
Simuamini january makamba kwa sababu ninaamini kiitikadi ni kibaraka wa wamarekani na wamagharibi. Ukiwa kibaraka unakua unategemea kupewa bakshishi. Ukiwa kibaraka wewe ni mtu mbinafsi huwezi wakilisha maslahi ya nchi.Nimepita kwenye account za Januari Makamba,Matusi na kejeli za wananchi wenye hasira za mgao wa umeme zimekua nyingi.Na nyingi zikijielekeza na kukumbushia miaka 5 ya Magufuli kuwa umeme haukukatika na hata kama ulikatika sio kwa kiasi hiki.
Mimi sio mtaalam wa umeme ila ntatoa hoja yangu kisiasa zaidi, inajulikana wazi Makamba ni mwanasiasa kijana ambaye yuko very ambitious, sihitaji kukumbushia nafasi yake katika mbio za urais za 2015,na wengi tunaamini mbio zake za urais hazijakoma ingawa kwa miaka 5 iliyopita mambo hayakuwa marais kwake.
Amekuja mama Samia na kumrudisha uwanjani baada ya kukaa benchi mda mrefu.hii ni fursa hadhim kwake kufufua ndoto na matarajio yake. Kwa kawaida mchezaji anayetoka benchi anakuwa na nguvu mpya bila kuacha makeke mengi.
Sio rahisi mchezaji anayetoka benchi na kuona makosa mengi ya wachezaji wenzake aanze kwa kujifunga goli la makusudi kabisa ukichukulia mtu kama Makamba ni mwanasiasa aliyetoka kwenye familia ya wanasiasa wakongwe.
Naamini kabisa kinachoendelea kuhusu umeme ni kama jumba bovu lililomwangukia Makamba mara tu baada ya kuingia kama mpangaji mpya.
Nikirejea kauli yake ya kuwapa TANESCO wiki mbili na ile ya mitambo kutofanyiwa matengenezo kwa uoga wa watu,naamini kabisa kuna sababu iko nje ya uwezo wake inayosababisha umeme kukatika.
Nawasilisha
Ndio maana tulipendekeza Waziri asiwe mbunge,na awe na taaluma husika ya wizara.waombe kazi kwa mkataba.Chuki binafsi alikuwa anataka kumfunika mtangulizi wake
Sio kweliChuki binafsi alikuwa anataka kumfunika mtangulizi wake
Kibaraka wa marekani afu ARV unatumia za msaada wa marekani shwainSimuamini january makamba kwa sababu ninaamini kiitikadi ni kibaraka wa wamarekani na wamagharibi. Ukiwa kibaraka unakua unategemea kupewa bakshishi. Ukiwa kibaraka wewe ni mtu mbinafsi huwezi wakilisha maslahi ya nchi.
PolepoleJanuary kajitukana zaidi ya alivyo tukanwa. Anautaka urais kashindwa kuendesha wizara moja je ataziweza wizara zaidi ya 10?
Kelemani alishafisadi tanescoTuseme kwa pamoja mama alikurupuka😅 wangemuacha Kalemani apambane na Tanesco aliimudu kwa kiwango flani!
Huyu mwanasiasa kumpa wizara inayotaka utendaji dhidi ya blaa blaah ni lazima angechemka tu
Ongea kiume mipasho mwachie Khadija KopaPolepole
Uchungu tamu
Mambo mazuri na yakudumu sio ya kukurupuka
Tuliombea nyuki waingie kwenye mzinga wa Babu Makamba sasa aendelee kulamba asali.Nimepita kwenye account za Januari Makamba,Matusi na kejeli za wananchi wenye hasira za mgao wa umeme zimekua nyingi.Na nyingi zikijielekeza na kukumbushia miaka 5 ya Magufuli kuwa umeme haukukatika na hata kama ulikatika sio kwa kiasi hiki.
Mimi sio mtaalam wa umeme ila ntatoa hoja yangu kisiasa zaidi, inajulikana wazi Makamba ni mwanasiasa kijana ambaye yuko very ambitious, sihitaji kukumbushia nafasi yake katika mbio za urais za 2015,na wengi tunaamini mbio zake za urais hazijakoma ingawa kwa miaka 5 iliyopita mambo hayakuwa marais kwake.
Amekuja mama Samia na kumrudisha uwanjani baada ya kukaa benchi mda mrefu.hii ni fursa hadhim kwake kufufua ndoto na matarajio yake. Kwa kawaida mchezaji anayetoka benchi anakuwa na nguvu mpya bila kuacha makeke mengi.
Sio rahisi mchezaji anayetoka benchi na kuona makosa mengi ya wachezaji wenzake aanze kwa kujifunga goli la makusudi kabisa ukichukulia mtu kama Makamba ni mwanasiasa aliyetoka kwenye familia ya wanasiasa wakongwe.
Naamini kabisa kinachoendelea kuhusu umeme ni kama jumba bovu lililomwangukia Makamba mara tu baada ya kuingia kama mpangaji mpya.
Nikirejea kauli yake ya kuwapa TANESCO wiki mbili na ile ya mitambo kutofanyiwa matengenezo kwa uoga wa watu,naamini kabisa kuna sababu iko nje ya uwezo wake inayosababisha umeme kukatika.
Nawasilisha
Viongozi wanaonhozwa na CHUKI TAMAAA NA HUSDATatizo wanasiasa wanakurupuka kubadilisha watu bila kuwauliza wataalamu mitazamo yao kuhusu hali na ufanisi wa shirika na kitu gani wanapendekeza..........akiingia huyu anataka aweke timu yake, akiingia yule naye aweke timu yake, yaani ni shaghalabaghala.....
Jumba jeupe peeee lileUnamua huyo mama alidhania nchi ni NGO na washauri wake mazuzu wote! Nakutaka kumprove wrong Magufuli ndo kunamkositi mpaka mwisho wake! Wafanya biashara ndo wanakwepa kodi kama kawa! Hakuna risti wala nini!
Ataweza ndio mkuuJanuary kajitukana zaidi ya alivyo tukanwa. Anautaka urais kashindwa kuendesha wizara moja je ataziweza wizara zaidi ya 10?
Mkuuu kweliSimuamini january makamba kwa sababu ninaamini kiitikadi ni kibaraka wa wamarekani na wamagharibi. Ukiwa kibaraka unakua unategemea kupewa bakshishi. Ukiwa kibaraka wewe ni mtu mbinafsi huwezi wakilisha maslahi ya nchi.
Huyo ni kilaza na mvivu. Hataajui kinachoendelea yupo yupo tu.Ukisema hivyo unamaanisha hata Rais? Mbona Mama anaonesha dhamira ya kutuachia kumbukumbu nzuri.
Sasa atamuacha huyu waziri wa Nishati aendelee kutibua hadi lini?Huyo ni kilaza na mvivu. Hataajui kinachoendelea yupo yupo tu.
Ni upande wa mawaziri na makatibu wakuu lakin hiyo maafisa wa kawaidaSio kweli
Hata magu alisafisha akaweka ndugu zake
Hovyo ni vyeo vya shukrani kwa makadaNdio maana tulipendekeza Waziri asiwe mbunge,na awe na taaluma husika ya wizara.waombe kazi kwa mkataba.