January Makamba na jumba bovu

Waliomshauri asafishe uongozi wa Tanesco walimuingiza chaka sana.

Ni sawa kuingia hazina unatoa wachumi na makashier hadi self huku wewe huna utaalamu huo.
KOSA KUBWA SANA NI HILI.......SASA TUTAISOMA NAMBA BAADA YA KUWATOSA WATAALAM
 
Simuamini january makamba kwa sababu ninaamini kiitikadi ni kibaraka wa wamarekani na wamagharibi. Ukiwa kibaraka unakua unategemea kupewa bakshishi. Ukiwa kibaraka wewe ni mtu mbinafsi huwezi wakilisha maslahi ya nchi.
 
Simuamini january makamba kwa sababu ninaamini kiitikadi ni kibaraka wa wamarekani na wamagharibi. Ukiwa kibaraka unakua unategemea kupewa bakshishi. Ukiwa kibaraka wewe ni mtu mbinafsi huwezi wakilisha maslahi ya nchi.
Kibaraka wa marekani afu ARV unatumia za msaada wa marekani shwain
 
Tuseme kwa pamoja mama alikurupuka😅 wangemuacha Kalemani apambane na Tanesco aliimudu kwa kiwango flani!

Huyu mwanasiasa kumpa wizara inayotaka utendaji dhidi ya blaa blaah ni lazima angechemka tu
Kelemani alishafisadi tanesco
Rais Samia sio mjinga
 
Tuliombea nyuki waingie kwenye mzinga wa Babu Makamba sasa aendelee kulamba asali.
 
Viongozi wanaonhozwa na CHUKI TAMAAA NA HUSDA
 
Unamua huyo mama alidhania nchi ni NGO na washauri wake mazuzu wote! Nakutaka kumprove wrong Magufuli ndo kunamkositi mpaka mwisho wake! Wafanya biashara ndo wanakwepa kodi kama kawa! Hakuna risti wala nini!
Jumba jeupe peeee lile
 
Simuamini january makamba kwa sababu ninaamini kiitikadi ni kibaraka wa wamarekani na wamagharibi. Ukiwa kibaraka unakua unategemea kupewa bakshishi. Ukiwa kibaraka wewe ni mtu mbinafsi huwezi wakilisha maslahi ya nchi.
Mkuuu kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…