johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kuiba mitihani ndio akili zenyeweLakini january tetesi zinasema aliwahi kuiba mitihani akafitiwa pepa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuiba mitihani ndio akili zenyeweLakini january tetesi zinasema aliwahi kuiba mitihani akafitiwa pepa.
CCM itajisafisha tu yenyewe patakaa sawa,, shida hakuna chama mbadala cha kufanya CCM itoke kwahio lazima CCM yenyewe ijisafisheSio msoga ili tupone CCM Ife kwanza ndio tutapiga hatua vinginevyo tutaendelea kusindikiza wenzetu
Na Tabasamu naye ni kiongozi? Hapo umepotoka mkuu.Ebu toa pendekezo kwa uhalisia....
Chama kipi cha Upinzani halisi chenye viongozi thabiti wenye kubeba (vision) maono ya Tanzania mpya.
Kwenye orodha iliyopo ya vyama vya upinzani nchini?
Nonachokiona ni kwamba hakuna mpaka sasa!
Isipokuwa tunao wanasiasa individuals wenye nia thabiti,wakweli na wazalendo wenye maono ila hawana platform imara kuweza kuwabeba...
Mfano ni kama....
Adv. Mwabukusi.
Luhaga Mpina.
Dk Slaa.
Humphey Polepole.
Mh.Tabasamu.
Mbunge Mstaafu mzee Kessy.
Mh,Lukuvi.
Mh,Kabudi.
Mh,Ole Sendeka.
....na Makonda mweny.
Wapo weengi wa kariba hiyo ila wanatengwa kimfumo.ila kwa hawa wapinzani waliopo....
Ni wasakatonge wa maslahi binafsi.
CCM ni Nini mpaka istoke madalakani Kwa talifa Yako siku yaja CCM itatoka madalakani tena Kwa aibu kuu na Chadema kitachukua hatamu nyie wenye mioyo kama Tomaso mtabaki kushangaaCCM itajisafisha tu yenyewe patakaa sawa,, shida hakuna chama mbadala cha kufanya CCM itoke kwahio lazima CCM yenyewe ijisafishe
Kujipa moyo inaruhusiwa pia,,,ila hakuna mbadala wa CCM kwa sasa, sio kwa kizazi hiki cha sasaCCM ni Nini mpaka istoke madalakani Kwa talifa Yako siku yaja CCM itatoka madalakani tena Kwa aibu kuu na Chadema kitachukua hatamu nyie wenye mioyo kama Tomaso mtabaki kushangaa
Jukwaa la lawama halipooo?Uovu ni roho ambayo huuongoza mwili wa mwanadamu na hii roho humtesa Sana mwanadamu mpaka aombewe au akutane na shetani kwenye mazingira ambayo itabidi akatubu na kuombewa na hatimaye roho mbaya huondoka Mara moja na kubaki mtu mwema
Malezi mabaya waliyopewa hawa vijana wawili Nape na Makamba wakiongozwa na wazee kama Kikwete na Kinana wamejiona wao ni mabilionea Sana, matajiri Sana, werevu Sana kumbe ni watu ambao mfumo ukibadilika hata Leo watarudi kwenye umasikini mkubwa kupindukia wa kupanda bodaboda.
Ukiwachunguza hawa vijana wawili, utagundua kubwa mission yao ni kumshoofisha Samia ili walete mtu wao ambaye atatawala miaka 10 mingine ili waendeleee kunyonya kwa Mirija.
Niwape siri nyie vijana: Mrudieni muumba wenu, vita mliyoianzisha hamuiwezi. Nchi inataka kurudi kwenye misingi yake. Itamvuruga kila mwenye kiburi anayelenga masilahi binafsi. Nawaatahadharisha tu kuwa 'your days are numbered' kama hamtabadilika. Kikwete wala Kinana hawatatetea. You are no longer special to outshine the system.
Kumweka Makoñda kwenye hiyo list ni sawa na kuwapakaa Mavi hao wengineEbu toa pendekezo kwa uhalisia....
Chama kipi cha Upinzani halisi chenye viongozi thabiti wenye kubeba (vision) maono ya Tanzania mpya.
Kwenye orodha iliyopo ya vyama vya upinzani nchini?
Nonachokiona ni kwamba hakuna mpaka sasa!
Isipokuwa tunao wanasiasa individuals wenye nia thabiti,wakweli na wazalendo wenye maono ila hawana platform imara kuweza kuwabeba...
Mfano ni kama....
Adv. Mwabukusi.
Luhaga Mpina.
Dk Slaa.
Humphey Polepole.
Mh.Tabasamu.
Mbunge Mstaafu mzee Kessy.
Mh,Lukuvi.
Mh,Kabudi.
Mh,Ole Sendeka.
....na Makonda mweny.
Wapo weengi wa kariba hiyo ila wanatengwa kimfumo.ila kwa hawa wapinzani waliopo....
Ni wasakatonge wa maslahi binafsi.
wahuni hawa aminiani.Mmeanza kuchukiana wenyewe kwa wenyewe?
Watapigwa na butwaa pale watakapkuja kuona huyo ajaye 10 years to come hata kwenye system ya Sasa hayupoHata kwa macho wanaonekana wana tamaa ya madaraka. Lakini numbers pia zinawakataa na nyakati zinawatupa mkono. Sio kwa sababu ya umri, bado wadogo kwa umri. Ni kutokana na mabadiliko ya kimfumo na namna unavyotaka nchi kwenda.
Na kimsingi Only Kundi la Wanamtandao liliwahi kujipanga kumweka Rais madarakani na wakafanikiwa. Project zingine zote za kumweka mtu madarakani au mtu mwenyewe kusaka urais haukuwahi kufanikiwa.
Someone cannot imagine now kwamba SSH ni P, PIM ni VP, TAM ni S na KMM ni PM. Nani angeweza kuwaza hivyo mwaka 2010,2013,2014? Only ten years ago.
Binadamu hunifunza kwa experience. Kwa experience hiyo basi Top 5 ya viongozi wa kisiasa nchi hii 5 to 10 yeras to come hawajulikani.
Hao wote wawili uliowataja hawana Akili yoyote wamejaa kiburi na upumbavu umewafuata migongoni mwao.Nape hujiona na akili sana kumbe ukubwa wa mwili na kichwa chake haviendani kabisaa na akili yake maana akili ni kiduchuuuu, January ana akili nyingi sana tatizo lake ni KIBRI NA UKATILI yule jamaa ukimuona anacheka ujue macho Yako MABOVU
Bora huyo fisi wa msoga, kuliko yule dhalimu wa chattle.Nchi hii itakaa stable siku pale yule "Fisi" wa Msoga atakapoondoka Duniani!
Otherwise tutaendelea kuyaona haya madudu mpaka hiyo siku itakapowadia!
Mwabukusi umemtaja tena wa kwanza ili kutupoteza maboya, lakini lengo lako ni hao waumini wa dhalimu magu ndio uliwakusudia.Ebu toa pendekezo kwa uhalisia....
Chama kipi cha Upinzani halisi chenye viongozi thabiti wenye kubeba (vision) maono ya Tanzania mpya.
Kwenye orodha iliyopo ya vyama vya upinzani nchini?
Nonachokiona ni kwamba hakuna mpaka sasa!
Isipokuwa tunao wanasiasa individuals wenye nia thabiti,wakweli na wazalendo wenye maono ila hawana platform imara kuweza kuwabeba...
Mfano ni kama....
Adv. Mwabukusi.
Luhaga Mpina.
Dk Slaa.
Humphey Polepole.
Mh.Tabasamu.
Mbunge Mstaafu mzee Kessy.
Mh,Lukuvi.
Mh,Kabudi.
Mh,Ole Sendeka.
....na Makonda mweny.
Wapo weengi wa kariba hiyo ila wanatengwa kimfumo.ila kwa hawa wapinzani waliopo....
Ni wasakatonge wa maslahi binafsi.
FISI WA TAIFANchi hii itakaa stable siku pale yule "Fisi" wa Msoga atakapoondoka Duniani!
Otherwise tutaendelea kuyaona haya madudu mpaka hiyo siku itakapowadia!
TulieniiiiiMmeanza kuchukiana wenyewe kwa wenyewe?
FISI WA TAIFA
Tunawaangalia huku tunacheka.Tulieniiiii
Bahati mbaya walichagua kukupuuzaUovu ni roho ambayo huuongoza mwili wa mwanadamu na hii roho humtesa Sana mwanadamu mpaka aombewe au akutane na shetani kwenye mazingira ambayo itabidi akatubu na kuombewa na hatimaye roho mbaya huondoka Mara moja na kubaki mtu mwema
Malezi mabaya waliyopewa hawa vijana wawili Nape na Makamba wakiongozwa na wazee kama Kikwete na Kinana wamejiona wao ni mabilionea Sana, matajiri Sana, werevu Sana kumbe ni watu ambao mfumo ukibadilika hata Leo watarudi kwenye umasikini mkubwa kupindukia wa kupanda bodaboda.
Ukiwachunguza hawa vijana wawili, utagundua kubwa mission yao ni kumshoofisha Samia ili walete mtu wao ambaye atatawala miaka 10 mingine ili waendeleee kunyonya kwa Mirija.
Niwape siri nyie vijana: Mrudieni muumba wenu, vita mliyoianzisha hamuiwezi. Nchi inataka kurudi kwenye misingi yake. Itamvuruga kila mwenye kiburi anayelenga masilahi binafsi. Nawaatahadharisha tu kuwa 'your days are numbered' kama hamtabadilika. Kikwete wala Kinana hawatatetea. You are no longer special to outshine the system.