January Makamba, Nape Nnauye, Mzee Kinana msishupaze shingo zenu; kubalini yaishe

January Makamba, Nape Nnauye, Mzee Kinana msishupaze shingo zenu; kubalini yaishe

Uovu ni roho ambayo huuongoza mwili wa mwanadamu na hii roho humtesa Sana mwanadamu mpaka aombewe au akutane na shetani kwenye mazingira ambayo itabidi akatubu na kuombewa na hatimaye roho mbaya huondoka Mara moja na kubaki mtu mwema

Malezi mabaya waliyopewa hawa vijana wawili Nape na Makamba wakiongozwa na wazee kama Kikwete na Kinana wamejiona wao ni mabilionea Sana, matajiri Sana, werevu Sana kumbe ni watu ambao mfumo ukibadilika hata Leo watarudi kwenye umasikini mkubwa kupindukia wa kupanda bodaboda.

Ukiwachunguza hawa vijana wawili, utagundua kubwa mission yao ni kumshoofisha Samia ili walete mtu wao ambaye atatawala miaka 10 mingine ili waendeleee kunyonya kwa Mirija.

Niwape siri nyie vijana: Mrudieni muumba wenu, vita mliyoianzisha hamuiwezi. Nchi inataka kurudi kwenye misingi yake. Itamvuruga kila mwenye kiburi anayelenga masilahi binafsi. Nawaatahadharisha tu kuwa 'your days are numbered' kama hamtabadilika. Kikwete wala Kinana hawatatetea. You are no longer special to outshine the system.
Yametimia
 
Kwani ujana mwisho miaka mingapi? Januari na Nape sio vijana. Hao kwa sasa ni wazee.
 
Conclusively, it's undeniable that the demise of the dictator MAGU marks a significant moment of relief and liberation for many within the nation. Civilized society celebrates the newfound freedom and opportunities for progress. However, the challenges posed by the power vacuum and the lingering influence of the former regime's supporters must be acknowledged and addressed to ensure a stable and truly free society moving forward
Fisadi wa kike vipi upo?
 
Uovu ni roho ambayo huuongoza mwili wa mwanadamu na hii roho humtesa Sana mwanadamu mpaka aombewe au akutane na shetani kwenye mazingira ambayo itabidi akatubu na kuombewa na hatimaye roho mbaya huondoka Mara moja na kubaki mtu mwema

Malezi mabaya waliyopewa hawa vijana wawili Nape na Makamba wakiongozwa na wazee kama Kikwete na Kinana wamejiona wao ni mabilionea Sana, matajiri Sana, werevu Sana kumbe ni watu ambao mfumo ukibadilika hata Leo watarudi kwenye umasikini mkubwa kupindukia wa kupanda bodaboda.

Ukiwachunguza hawa vijana wawili, utagundua kubwa mission yao ni kumshoofisha Samia ili walete mtu wao ambaye atatawala miaka 10 mingine ili waendeleee kunyonya kwa Mirija.

Niwape siri nyie vijana: Mrudieni muumba wenu, vita mliyoianzisha hamuiwezi. Nchi inataka kurudi kwenye misingi yake. Itamvuruga kila mwenye kiburi anayelenga masilahi binafsi. Nawaatahadharisha tu kuwa 'your days are numbered' kama hamtabadilika. Kikwete wala Kinana hawatatetea. You are no longer special to outshine the system.

Uliona mbali mkuu
 
Ebu toa pendekezo kwa uhalisia....
Chama kipi cha Upinzani halisi chenye viongozi thabiti wenye kubeba (vision) maono ya Tanzania mpya.
Kwenye orodha iliyopo ya vyama vya upinzani nchini?

Nonachokiona ni kwamba hakuna mpaka sasa!
Isipokuwa tunao wanasiasa individuals wenye nia thabiti,wakweli na wazalendo wenye maono ila hawana platform imara kuweza kuwabeba...

Mfano ni kama....

Adv. Mwabukusi.
Luhaga Mpina.
Dk Slaa.
Humphey Polepole.
Mh.Tabasamu.
Mbunge Mstaafu mzee Kessy.
Mh,Lukuvi.
Mh,Kabudi.
Mh,Ole Sendeka.
....na Makonda mweny.

Wapo weengi wa kariba hiyo ila wanatengwa kimfumo.ila kwa hawa wapinzani waliopo....
Ni wasakatonge wa maslahi binafsi.
Umeongea ukweli
 
Uovu ni roho ambayo huuongoza mwili wa mwanadamu na hii roho humtesa Sana mwanadamu mpaka aombewe au akutane na shetani kwenye mazingira ambayo itabidi akatubu na kuombewa na hatimaye roho mbaya huondoka Mara moja na kubaki mtu mwema

Malezi mabaya waliyopewa hawa vijana wawili Nape na Makamba wakiongozwa na wazee kama Kikwete na Kinana wamejiona wao ni mabilionea Sana, matajiri Sana, werevu Sana kumbe ni watu ambao mfumo ukibadilika hata Leo watarudi kwenye umasikini mkubwa kupindukia wa kupanda bodaboda.

Ukiwachunguza hawa vijana wawili, utagundua kubwa mission yao ni kumshoofisha Samia ili walete mtu wao ambaye atatawala miaka 10 mingine ili waendeleee kunyonya kwa Mirija.

Niwape siri nyie vijana: Mrudieni muumba wenu, vita mliyoianzisha hamuiwezi. Nchi inataka kurudi kwenye misingi yake. Itamvuruga kila mwenye kiburi anayelenga masilahi binafsi. Nawaatahadharisha tu kuwa 'your days are numbered' kama hamtabadilika. Kikwete wala Kinana hawatatetea. You are no longer special to outshine the system.
Iko vile bandugu !
Naona sasa watakuwa wameshakuamini Mkuu Nigra 😅🙏

Nguvu ya Mamba kumayi !
 
Back
Top Bottom