January Makamba, Nape Nnauye, Mzee Kinana msishupaze shingo zenu; kubalini yaishe

Mambo yenu wenyewe huko CCM mtajuana hata mkiuana sisi tunaona poa maana hilo lichama chakavu halina faida yoyote.
 
Na Tabasamu naye ni kiongozi? Hapo umepotoka mkuu.
 
CCM itajisafisha tu yenyewe patakaa sawa,, shida hakuna chama mbadala cha kufanya CCM itoke kwahio lazima CCM yenyewe ijisafishe
CCM ni Nini mpaka istoke madalakani Kwa talifa Yako siku yaja CCM itatoka madalakani tena Kwa aibu kuu na Chadema kitachukua hatamu nyie wenye mioyo kama Tomaso mtabaki kushangaa
 
CCM ni Nini mpaka istoke madalakani Kwa talifa Yako siku yaja CCM itatoka madalakani tena Kwa aibu kuu na Chadema kitachukua hatamu nyie wenye mioyo kama Tomaso mtabaki kushangaa
Kujipa moyo inaruhusiwa pia,,,ila hakuna mbadala wa CCM kwa sasa, sio kwa kizazi hiki cha sasa
 
Jukwaa la lawama halipooo?
Huku eleza tatizo direct na mifano na ushauri
 
Kumweka Makoñda kwenye hiyo list ni sawa na kuwapakaa Mavi hao wengine
 
Watapigwa na butwaa pale watakapkuja kuona huyo ajaye 10 years to come hata kwenye system ya Sasa hayupo
 
Nape hujiona na akili sana kumbe ukubwa wa mwili na kichwa chake haviendani kabisaa na akili yake maana akili ni kiduchuuuu, January ana akili nyingi sana tatizo lake ni KIBRI NA UKATILI yule jamaa ukimuona anacheka ujue macho Yako MABOVU
Hao wote wawili uliowataja hawana Akili yoyote wamejaa kiburi na upumbavu umewafuata migongoni mwao.
 
Nchi hii itakaa stable siku pale yule "Fisi" wa Msoga atakapoondoka Duniani!

Otherwise tutaendelea kuyaona haya madudu mpaka hiyo siku itakapowadia!
Bora huyo fisi wa msoga, kuliko yule dhalimu wa chattle.
 
Mwabukusi umemtaja tena wa kwanza ili kutupoteza maboya, lakini lengo lako ni hao waumini wa dhalimu magu ndio uliwakusudia.
 
Nchi hii itakaa stable siku pale yule "Fisi" wa Msoga atakapoondoka Duniani!

Otherwise tutaendelea kuyaona haya madudu mpaka hiyo siku itakapowadia!
FISI WA TAIFA
 
Conclusively, it's undeniable that the demise of the dictator MAGU marks a significant moment of relief and liberation for many within the nation. Civilized society celebrates the newfound freedom and opportunities for progress. However, the challenges posed by the power vacuum and the lingering influence of the former regime's supporters must be acknowledged and addressed to ensure a stable and truly free society moving forward
 
Bahati mbaya walichagua kukupuuza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…