January Makamba nikuulize unijibu, umeme ulianzia Singida ~ ARUSHA ~ Namanga ~ Nairobi nini kinaendela?

January Makamba nikuulize unijibu, umeme ulianzia Singida ~ ARUSHA ~ Namanga ~ Nairobi nini kinaendela?

peno hasegawa

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2016
Posts
14,255
Reaction score
23,949
Rais JPM alibuni mradi wa kisasa wa kutoa grid ya Taifa kutokea SINGIDA~ BABATI.~ ARUSHA~ NAMANGA ~ NAIROBI.

Plan hii ingezalisha umeme mkubwa kwa mikoa mradi unakopitia na kuuza umeme Kenya.

Sasa nyaya zimesambazwa singida hadi arusha , kutoka arusha kuelekea Namanga kuna ngozo zachuma hakuna waya, hakuna mkandarasi site na kwa upande wa kenya hakieleweki.

Sasa mradi huu wakenya wanatakiwa kuulizia maendeleo yake au ni sisi watanzania tunatakiwa kuulizia maendeleo yske?

Tangu JPM afariki mradi umesimama, ni nini hayima yamradi huu ambao ulikuwa hatua za kumalizika?

Miradi mingi imesimamailiyokuwa imeanzishwa ni nini kifanyike?
 
Ujenzi wa bwawa la Nyerere ulivoanza kusuasua baada ya mwendazake kwenda, Kenya wakaamua kuachana na Tanzania na kuwageukia Ethiopia.

Na ukumbuke sisi na Ethiopia tulianza ujenzi wa mabwawa yetu wakati mmoja ila Ethiopia wamewahi kumaliza, Kenya wakaingia nao mkataba.
 
Ujenzi wa bwawa la Nyerere ulivoanza kusuasua baada ya mwendazake kwenda Kenya wakaamua kuachana na Tanzania na kuwageukia Ethiopia.

Na ukumbuke sisi na Ethiopia tulianza ujenzi wa mabwawa yetu wakati mmoja ila Ethiopia wamewahi kumaliza, Kenya wakaingia nao mkataba.
Kwa hiyo mradi huo ni white elephant?
 
Ujenzi wa bwawa la Nyerere ulivoanza kusuasua baada ya mwendazake kwenda Kenya wakaamua kuachana na Tanzania na kuwageukia Ethiopia.

Na ukumbuke sisi na Ethiopia tulianza ujenzi wa mabwawa yetu wakati mmoja ila Ethiopia wamewahi kumaliza, Kenya wakaingia nao mkataba.
Ujenzi haujawahi kusuasua Enzi ya magu wote tulishuhudia mawaziri wakipigana vikumbo kwenda kushuhudia huu mradi umeanza kusuasua kipindi hiki Cha mama na ndio maana huoni hata mtu yeyote akienda kuona umefikia wapi maana wanajua hakuna linaloendelea
 
Rais JPM alibuni mradi wa kisasa wa kutoa grid ya Taifa kutokea SINGIDA~ BABATI.~ ARUSHA~ NAMANGA ~ NAIROBI.

Plan hii ingezalisha umeme mkubwa kwa mikoa mradi unakopitia na kuuza umeme Kenya.

Sasa nyaya zimesambazwa singida hadi arusha , kutoka arusha kuelekea Namanga kuna ngozo zachuma hakuna waya, hakuna mkandarasi site na kwa upande wa kenya hakieleweki.

Sasa mradi huu wakenya wanatakiwa kuulizia maendeleo yake au ni sisi watanzania tunatakiwa kuulizia maendeleo yske?

Tangu JPM afariki mradi umesimama, ni nini hayima yamradi huu ambao ulikuwa hatua za kumalizika?

Miradi mingi imesimamailiyokuwa imeanzishwa ni nini kifanyike?
Kuna jambo la kujifunza hapa
  1. Ukitazama hivi sasa kuna njia nyingi za umeme
  2. Kutoka Dodoma hadi Singida zipo line mbili
  3. Niliona kama kuna line mbili pia kutoka Singida kwenda Arusha nyingine inapeleka umeme wapi
  4. Karibuni imejengwa nyingine kutokea uelekeo wa Sar kuingia Morogoro
  5. Kuna njia zingine mbili kutoka Morogoro kuelekea uelekeo wa Mikumi
  6. Njia ya Tanga ina line 2 kuelekea Chalinze
  7. Na kuna line tatu kama sijakosea zinakwenda Da kutokea Chalinze
  8. Kuna njia tatu zinatoka Morogoro kwenda Dar
INakuwaje line zaidi ya moja kuelekea upande mmoja?
 
Na ukumbuke sisi na Ethiopia tulianza ujenzi wa mabwawa yetu wakati mmoja ila Ethiopia wamewahi kumaliza, Kenya wakaingia nao mkataba.
Wakatutosa baada ya kurejesha dhahabu na fedha zetu walizokamata kwao
 
Mwenye orodha ya miradi aliyoianzushaJPM na inaendelea au iliyokamika tafafhali.
 
Unataka nyaya ziwepo kwa umeme upi. Hiyo project inategemea bwawa la Nyerere, subiri bwawa likamilike
Rubbish! Inabidi zoezi zima likamilike ili mradi wa JNPP ukikamilika basi issue iwe ni kuruhusu umeme
 
Ujenzi wa bwawa la Nyerere ulivoanza kusuasua baada ya mwendazake kwenda Kenya wakaamua kuachana na Tanzania na kuwageukia Ethiopia.

Na ukumbuke sisi na Ethiopia tulianza ujenzi wa mabwawa yetu wakati mmoja ila Ethiopia wamewahi kumaliza, Kenya wakaingia nao mkataba.
Acha uongo, bwawa la Ethiopia Great Grand lilianza 2011
 
Acha uongo, bwawa la Ethiopia Great Grand lilianza 2011
NI kweli, baada ya kumaliza mchina mmoja na m Enthiopia mmoja wakaja Dsm kwa Nia ya kuweka mradi wa Umeme wa upepo . Wakaenda Singida kukagua mahali panapofaa. Mpaka bandarini walifika kukagua gati linaloweza kupokea meli itakayoleta mitambo hiyo. Baada ya Miezi kadhaa kupita, eti serikali Yao imefuta ufadhili wa mrad huu sababu Kuna watu wazito wanagombea kuwa wabia, kila mmoja na kampuni yake na wote walikuwa maswahiba saana wa born town. Mradi ukafia hapo hapo.
.
.
 
NI kweli, baada ya kumaliza mchina mmoja na m Enthiopia mmoja wakaja Dsm kwa Nia ya kuweka mradi wa Umeme wa upepo . Wakaenda Singida kukagua mahali panapofaa. Mpaka bandarini walifika kukagua gati linaloweza kupokea meli itakayoleta mitambo hiyo. Baada ya Miezi kadhaa kupita, eti serikali Yao imefuta ufadhili wa mrad huu sababu Kuna watu wazito wanagombea kuwa wabia, kila mmoja na kampuni yake na wote walikuwa maswahiba saana wa born town. Mradi ukafia hapo hapo.
.
.
Duh
 
Ujenzi haujawahi kusuasua Enzi ya magu wote tulishuhudia mawaziri wakipigana vikumbo kwenda kushuhudia huu mradi umeanza kusuasua kipindi hiki Cha mama na ndio maana huoni hata mtu yeyote akienda kuona umefikia wapi maana wanajua hakuna linaloendelea
Magu kafa kaacha mradi uko 30% miaka minne,miezi 21 ya Samia mradi upo 80%,kipindi gani mradi umesuasua!?..mawaziri kwenda site ndiyo dalili ya kazi kufanyika!?..Waziri anafanya kazi gani site!!
 
Mradi wa Line ya umeme ya Singida - Arusha - Namanga- Nairobi uliasisiwa kabla ya serikali ya JPM.

Vitu vingine kuhoji kama idadi ya transmission lines kwenye baadhi ya maeneo/mikoa ni masuala ya kitaalamu.
 
Magu kafa kaacha mradi uko 30% miaka minne,miezi 21 ya Samia mradi upo 80%,kipindi gani mradi umesuasua!?..mawaziri kwenda site ndiyo dalili ya kazi kufanyika!?..Waziri anafanya kazi gani site!!
Kwa hiyo wewe tuamini hizo asilimia za mchongo? Unakumbuka waziri alietoka alisema bwawa litajazwa maji lini? Je waziri ajae akasema imeshindikana Kwa sababu ya nini kuchelewa vile? Watanzania sio vipofu kwamba hawaoni au viziwi kwamba hawasikii nyie lambeni asali tu mje na takwimu feki 25 sio mbali
 
Serikali nzima umemuona Makamba tu? Idara na wizara nyingine zote hakuna tatizo isipokuwa umeme tu?
 
Back
Top Bottom