January Makamba nikuulize unijibu, umeme ulianzia Singida ~ ARUSHA ~ Namanga ~ Nairobi nini kinaendela?

Ilisemwa litajazwa disemba 15 na Sasa wamesema disemba 22,ni wiki mbele,magu alitangaza kujaza lini!?
 
Nilijuwa wa sadekiii
 
dah huyu makamba sijui kawafanya nini watanzania
Mti wenye matunda ndiyo hupigwa mawe. Makamba has better presidential traits than others. This is the root cause of all these nonsensical issues.
 
Tusipofanya maamuzi magumu kwenye uchaguzi mkuu 2025 tumekwisha.
Nakumbia ivi hata CCM kipindi cha kampeni ikilalala na kuwacha chadema kupiga debe mtaani,watanzania si mazezeta kuwapa ikulu wahuni wa kujitundika marisasi na kukimbilia ubeligiji
 
Mti wenye matunda ndiyo hupigwa mawe. Makamba has better presidential traits than others. This is the root cause of all these nonsensical issues.
inashangaza sana anavyosakamwa mtu huyu . hivi huku Africa kwann tunachukiana kiasi hiki matatizo ya umeme nchi hii yamekuwepo tangu enzi na enzi leo na ukame wote huu karibu kote Africa makamba afanye nini?
 
Nakumbia ivi hata CCM kipindi cha kampeni ikilalala na kuwacha chadema kupiga debe mtaani,watanzania si mazezeta kuwapa ikulu wahuni wa kujitundika marisasi na kukimbilia ubeligiji
Maamuzi magumu ni Pole pole kuchukua fomu ya Urais kupitia CCM na mama naye achukue tukutane kwenye kura ukumbi wa JK dodoma. Sio biashara ya biashara ya chadema
 
inashangaza sana anavyosakamwa mtu huyu . hivi huku Africa kwann tunachukiana kiasi hiki matatizo ya umeme nchi hii yamekuwepo tangu enzi na enzi leo na ukame wote huu karibu kote Africa makamba afanye nini?
Basi ndugu habari ndiyo hiyo. Kila msaka urais na machawa wao wote wanamuona Makamba ni tishio kwa ndoto zao.
 
umeme wa kuuza Kenya uko wapi mkuu?.usitegemee Tanzania kuwa na umeme nafuu na wa uhakika hata kama bwawa la JNHPP likikamilika,wataanza mgao wa umeme kwaajili ya kurekebisha miundombinu mpaka itakapomilika 2060 huko.amini nachokwambia.
 
Yuko mifukoni mwa ma tycoon.
Itakuwa "state capture" tupu.
God forbid.
Mti wenye matunda ndiyo hupigwa mawe. Makamba has better presidential traits than others. This is the root cause of all these nonsensical issues.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…