January Makamba njoo CHADEMA uwe mgombea urais mwaka 2020

January Makamba njoo CHADEMA uwe mgombea urais mwaka 2020

Salaam.

Kwa kuwa January Makamba ni mchapa kazi na anakubalika na wanachama wa Chadema basi tunamuomba achukue kadi ya chadema haraka sana ili tumpitishe kugombea urais mwaka 2020 akipambana na rais Magufuli aliyemtengua leo.

Ikumbukwe pengo la mgombea urais chadema liko wazi baada ya Edward Lowasa kukatwa mkia na kurudi ccm rasmi ,baadhi wanamtaja Lisu kurithi mikoba ya Lowasa lakini watu wengi wanasema afya ya Lisu bado haijaimarika pia wapiga kura wengi wamechukizwa na skendo yake ya kufanya kikao na mkuu wa mashoga duniani ! Wazazi wengi wana hofu hatima ya watoto wao ikiwa Tundu Lisu atashinda urais na kuruhusu ushoga nchini.

Hivyo basi Makamba anaonekana wazi atapata nafasi Chadema maana hana sikendo ya ufisadi na amesimamia vizuri upigwaji marufuku mifuko ya plasitiki nchini.
Ona huyu mnafiki
 
Kwa tume ya uchaguzi ya sasa ambapo Rais (mwenyekiti wa CCM) anaweza akatengua na kuteua wakurugenzi wa Tume hata miezi michache kabla ya uchaguzi, ni ndoto matokeo ya urais yakaja kinyume na matarajio yao. Ninashangaa "wapinzani" kwanini hawalioni hili na kuchukua hatua stahiki. Harafu eti ni marufuku kutally matokeo kutoka kweye kila polling station.
Wapinzani hawa ndo wachukue hatua stahiki. Hawana ubavu huo na hawajui wafanye nini! Utawasikia - "tutadai tume huru"! Ukiwauliza hawajui lini!
 
Sidhani kama atakuwa mjinga hivyo na amuachie chama mtu aiyechukua card ya ccm 1993. Hali yeye kazaliwa na kulelewa ndani ya chama.
Kenyatta Uhuru alizaliwa ndani ya KANU mkuu,maisha popote.....

Maoni yangu Chadema warecruit watu wao,lasivyo itakuwa nisawa na timu inayosiyotaka ubingwa inapambana ibaki ligi kuu tu
 
Back
Top Bottom