Aisee! Yeye si ndio alisema amri hizi ziliwafanya Tanesco washindwe kufanya ukarabati ambao sasa hivi unafanyika na ndio sababu ya umeme kukatika hovyo?!! Ama kweli mwanasiasa akikwambia sasa hivi ni usiku toka nje kahakikishe.
Pia ali-tweet 'tanesco walikuwa wanalazimishwa kutokata umeme hivyo kushindwa kufanya ukarabati' sasa hii kauli yake si ndio anarudia yale yale?Sababu alizotoa January kwa umeme kukatika ni kwamba kuna matengenezo yanayofanyika ndio sababu ya umeme kukatika. Je katika hizo wiki mbili alizowapa matengenezo yatakuwa yamekamilika hata umeme usikatikekatike? January should learn to be thorough otherwise these impromptu answers to sensitive questions will ruin his credibility as an able minister!
Hapa nilikuwa nashindwa ku comment sijui hii habari ya lini, naona uzi mpya ukisoma habari 17 September najiuliza au typing error maana kama habari ya Sept halafu leo Nov na wiki 2 zilishapita umeme ndio kwanza wanakata kwa mwendo wa SGR uzi ufungwe tu hakuna cha kuchangia hapa.habari yenyewe ya mwezi September kabla wahindi hawajampelekea dili la kuuza majenereta saizi tuko November
😄😄😄 Ndo siasa hio, kisheria habari hii ni batili!Hii habari ya lini kwanza?
Nahisi unatupiga. September 17, 2021 ni lini?
Mkuu na wewe ndiyo unazidi tu kunichanganya zaidi!Hapa nilikuwa nashindwa ku comment sijui hii habari ya lini, naona uzi mpya ukisoma habari 17 September najiuliza au typing error maana kama habari ya Sept halafu leo Nov na wiki 2 zilishapita umeme ndio kwanza wanakata kwa mwendo wa SGR uzi ufungwe tu hakuna cha kuchangia hapa.
NonsenseWaziri wa Nishati January Makamba ametembelea ofisi za Tanesco na kulipongeza shirika hilo kwa kufikisha wateja 3.2 millioni ndani ya miaka 5 iliyopita.
Wanaoliwezesha kukusanya zaidi ya trillioni 2 kwa mwezi na kulifanya kuwa shirika pekee linalokusanya fedha nyingi nchini.
Makamba ametoa wiki mbili kwa shirika hilo kuacha kukata umeme la sivyo ataanza kuwafukuza kazi mameneja wote wazembe wote wanaokata umeme.
--
Waziri wa Nishati, January Makamba ametoa wiki mbili kuhakikisha hakuna tatizo la kukatika umeme nchini Tanzania.
Leo Ijumaa Septemba 17, 2021 Makamba amefanya ziara ya kushtukiza katika ofisi za Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) baada ya malalamiko ya wananchi kuongezeka kuhusu kukatika kwa umeme.
Makamba amesema atakayeshindwa kutekeleza majukumu yake na malalamiko ya kukatika kwa umeme yakiendelea kujitokeza, wahusika wote watachukuliwa hatua.
"Ndani ya wiki mbili sitaki kusikia kukatika kwa umeme nikisikia kuna malalamiko nitachukua hatua Kwa wahusika walioshindwa kutekeleza wajibu wao," alisema Makamba.
Alisema wanahitaji Shirika hilo lijiendeshe kibiashara, kisasa ambapo mabadiliko yenye tija yataongeza ufanisi na mapato yataongezeka.
"Shirika lina wateja wa mita 3.2 milioni wanakusanya zaidi ya Sh2 tirioni na hakuna Shirika lolote hapa nchini linalotengeneza fedha hizo, hivyo wateja wanatakiwa kuongezeka ili Shirika liweze kujiendesha" amesema
Naye Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Uzalishaji wa Umeme, Pakaya Mtimakaya amesema wameyapokea maagizo hayo na watayafanyia kazi.
Sio mimi utanionea bure, Mimi nimesoma kwa mleta mada nimesoma lakini kwenye yale maneno ya Makamba jamaa kaandika leo tarehe 17 Sept hebu rudia mwanzo kule usome tarehe.Mkuu na wewe ndiyo unazidi tu kunichanganya zaidi!
Septemba17 hadi leo ni wiki2 kweli!
Sent using Jamii Forums mobile app
Waziri wa Nishati, January Makamba ametoa wiki mbili kuhakikisha hakuna tatizo la kukatika umeme nchini Tanzania.Mkuu na wewe ndiyo unazidi tu kunichanganya zaidi!
Septemba17 hadi leo ni wiki2 kweli!
Sent using Jamii Forums mobile app
post imewekwa jana ila ukisoma tarehe za Sept sasa sielewi ni imekosewa tu habari ya zamani mtu kaibeba tu kaitupia jana hata sielewiWaziri wa Nishati, January Makamba ametoa wiki mbili kuhakikisha hakuna tatizo la kukatika umeme nchini Tanzania.
Leo Ijumaa Septemba 17, 2021 Makamba amefanya ziara ya kushtukiza katika ofisi za Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) baada ya malalamiko ya wananchi kuongezeka kuhusu kukatika kwa umeme.
Leo Ijumaa Septemba 17! Mbona sielewi pakuanzia kwani inaonekana kama alitembelea jana Jamatatu Nov 15! Post iliwekwa jana Nov.15.Waziri wa Nishati January Makamba ametembelea ofisi za Tanesco na kulipongeza shirika hilo kwa kufikisha wateja 3.2 millioni ndani ya miaka 5 iliyopita.
Wanaoliwezesha kukusanya zaidi ya trillioni 2 kwa mwezi na kulifanya kuwa shirika pekee linalokusanya fedha nyingi nchini.
Makamba ametoa wiki mbili kwa shirika hilo kuacha kukata umeme la sivyo ataanza kuwafukuza kazi mameneja wote wazembe wote wanaokata umeme.
--
Waziri wa Nishati, January Makamba ametoa wiki mbili kuhakikisha hakuna tatizo la kukatika umeme nchini Tanzania.
Leo Ijumaa Septemba 17, 2021 Makamba amefanya ziara ya kushtukiza katika ofisi za Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) baada ya malalamiko ya wananchi kuongezeka kuhusu kukatika kwa umeme.
Makamba amesema atakayeshindwa kutekeleza majukumu yake na malalamiko ya kukatika kwa umeme yakiendelea kujitokeza, wahusika wote watachukuliwa hatua.
"Ndani ya wiki mbili sitaki kusikia kukatika kwa umeme nikisikia kuna malalamiko nitachukua hatua Kwa wahusika walioshindwa kutekeleza wajibu wao," alisema Makamba.
Alisema wanahitaji Shirika hilo lijiendeshe kibiashara, kisasa ambapo mabadiliko yenye tija yataongeza ufanisi na mapato yataongezeka.
"Shirika lina wateja wa mita 3.2 milioni wanakusanya zaidi ya Sh2 tirioni na hakuna Shirika lolote hapa nchini linalotengeneza fedha hizo, hivyo wateja wanatakiwa kuongezeka ili Shirika liweze kujiendesha" amesema
Naye Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Uzalishaji wa Umeme, Pakaya Mtimakaya amesema wameyapokea maagizo hayo na watayafanyia kazi.
Tunapinga kwa sababu bado unakatika!Hii nayo chadema watapinga as if wanataka umeme ukatike
USSR