Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ntakupa njoo pm trust meWe Bwana hata address yako huijui huko uliko utanipoteza bure wacha nikae zangu bongo pananitosha.
Sijui ni kwanin baadhi ya watu wamekuwa na malalamiko kuhusu mwezi January
Kwangu mim January naona ni mwezi wa kawaida kama miez mingine tuu na hii ni kwa sababu ya namna mtu unavyo pangilia mipango yako, unavyo pangilia mzunguko wa pesa yako na matumiz pia, ukiweza kufanya hayo yoote huwez kuulalamikia mwez January
Pia vijana tufanye kaz na tuache kufata mkumbo wa kulalamikia mwez January, unakuta mtu hana kaz anayofanya hajichanganyi huku na huku kutafuta kipato kazi ni kuiga tuu mwez mgumu mwez mgumu
Tufanye kaz haya yote yatakuwa historia
Huu Sasa ndio ushirikina Kama bomu la nuclear 😳😳😳😳...tunakungojaNgoja nimalize huku nitarejeaView attachment 2097232
Uzee Ni baraka,usijali😂😂Mi umeniacha hoi kwenye miaka yako Dah 53[emoji39][emoji39][emoji12] nilikuwa na lengo fulani hivi sasa naona ndoto yangu haitatimia [emoji24][emoji24]
Kuhusu januari kiukweli toka nije tz kutokea anga za mbali sijawahi kuona mtanzania akisema leo afathari nina kibunda kama wapo hao si watanzania ila kaja muda mrefu hapa nchin[emoji56][emoji56]
Namfundisha kuandika tu.Kwa hiyo ananifunga kamba huyu? Mbona hajui address yake?
😂😂😂😂😂😂Agust:ndugu yangu si unajua nimelipia Ada term ya pili...UMETISHAJanuary- mwanangu si unajua January inakuaga ngum kinoma
Feb - mwanangu si unajua tumetoka Mwezi January mambo bad mabaya knoma
March- mwanangu dah Niko vibaya harakat hazijakaa poa kabisa
Apr - si unajua Tena kulikua na sherehe sherehe hapa kat hela zote nimemalizia huko
May - Dah bro acha tu biashara imekua mbaya sana Kodi ni nying kila sehem tumebanwa
June - Ndugu yang watt wamefunga shule sahiv wote wameenda kijijin likizo pesa zote zimeishia kwenye safari yaaani.
July- Bro si unajua shule zimefunguliwa?
Muendelezo ni huohuo lakin kiukweli ni kuwa miezi yote hatunaga pesa tunatafuta sababu
Umemaliza, miezi yote ni taabu tupu kwa wanyonge wa hapa bongolala...........tusisingizie january.January- mwanangu si unajua January inakuaga ngum kinoma
Feb - mwanangu si unajua tumetoka Mwezi January mambo bad mabaya knoma
March- mwanangu dah Niko vibaya harakat hazijakaa poa kabisa
Apr - si unajua Tena kulikua na sherehe sherehe hapa kat hela zote nimemalizia huko
May - Dah bro acha tu biashara imekua mbaya sana Kodi ni nying kila sehem tumebanwa
June - Ndugu yang watt wamefunga shule sahiv wote wameenda kijijin likizo pesa zote zimeishia kwenye safari yaaani.
July- Bro si unajua shule zimefunguliwa?
Muendelezo ni huohuo lakin kiukweli ni kuwa miezi yote hatunaga pesa tunatafuta sababu
Alaf ikifika Oct unasema "Mwanangu daah We acha tu"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Agust:ndugu yangu si unajua nimelipia Ada term ya pili...UMETISHA
Uchumi wa bongolala ndo upo ICU, acha kabisa kusingizia january wakati ni hali ya mwaka mzima.January Ina tabu Sana.