January vipi huko kwenu?

January vipi huko kwenu?

Nyamizi punguza kukashifu kwenu kuna wajomba na Babu zako huku!utakosa radhi kuwaita ancestors wako bongolala
Mbona huku majuu bata ni daily mwaka mzima........tatizo ni nini hapo bongo nyoso.
 
January hii inabidi nipunguze gia nayotembelea nirudi gia ndogo nitembe na lite(serenget, castle) mpaka bajeti isomwe.
 
Mbona huku majuu bata ni daily mwaka mzima........tatizo ni nini hapo bongo nyoso.
Ila wewe Nia yako ututoe nje ya mjadala,,Basi sawa,hivi Ni kweli mnakula Bata kweli huko au mnasave save tu migahawani?sema ukweli wako leo 🤔
 
Ila wewe Nia yako ututoe nje ya mjadala,,Basi sawa,hivi Ni kweli mnakula Bata kweli huko au mnasave save tu migahawani?sema ukweli wako leo 🤔
Ni full mziki, saving za kutosha na bata kama kawa.....
 
Uzee Ni baraka,usijali[emoji23][emoji23]

Sasa huko anga za mbali vipi January Yao inakuaje?
Kwamba hiyo baraka mambo kwangu yatakuwa kitongaaa [emoji23][emoji23] Mungu anipe nn jamani nilikuwa wapi mimi sikuzot hz [emoji39][emoji39]

Huko nimetoka muda hadi nimesahau januari wanaipitiaje ngoja nifanye nao kwanza mawasiliano ila nakumbuka ili kuwa party after party
 
Ukiwa na bajeti nzuri, sioni ugumu wa January, ukiharibu bajeti hakuna rangi usiyoona. Kidogo ulicho nchi unakipanga vizuri. Ukiona sherehe haina umuhimu piga chini ili ufanye kitu muhimu.
 
Kwamba hiyo baraka mambo kwangu yatakuwa kitongaaa [emoji23][emoji23] Mungu anipe nn jamani nilikuwa wapi mimi sikuzot hz [emoji39][emoji39]

Huko nimetoka muda hadi nimesahau januari wanaipitiaje ngoja nifanye nao kwanza mawasiliano ila nakumbuka ili kuwa party after party
After party,after party....😂Sasa unapambana na January za Tanzania
 
Sawa kabisa...sio unaendaenda tu,kipaimara safe umoo,beseni la mtoto sijui umooo,tunamtoa mwali umoo khaaaa January lazima ikunogeee
Ukiwa na bajeti nzuri, sioni ugumu wa January, ukiharibu bajeti hakuna rangi usiyoona. Kidogo ulicho nchi unakipanga vizuri. Ukiona sherehe haina umuhimu piga chini ili ufanye kitu muhimu.
 
Nina miaka 53 na ushee.

Kwa maana hii Watanzania wengi uchumi wetu tunategemea wazungu ambao December kimsingi wanaenda kula Xmass🤔🤔🤔🤔🤔

Nafahamu ndio Maisha ya watanzania Ni kuungaunga mbona mwezi wa Saba wakilipa Ada hawalalamiki?au ndio kwa sababu matajiri wanakuwa hawajaenda huko holiday??Basi sawa nimekulewa Asante kwa mchango.

Huko mtaani kwenu ndio wapi pataje watu tupajue na sie
Subiri ukibaki mjane utaujua ugumu wa January. Kwa sasa anayeujua ugumu wa January ni huyo aliyekuweka kwake!
 
Nina miaka 53 na ushee.

Kwa maana hii Watanzania wengi uchumi wetu tunategemea wazungu ambao December kimsingi wanaenda kula Xmass[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]

Nafahamu ndio Maisha ya watanzania Ni kuungaunga mbona mwezi wa Saba wakilipa Ada hawalalamiki?au ndio kwa sababu matajiri wanakuwa hawajaenda huko holiday??Basi sawa nimekulewa Asante kwa mchango.

Huko mtaani kwenu ndio wapi pataje watu tupajue na sie
Kulia umeishiwa hela huo ni ufwala [emoji2960]
 
Mmmh mbona Matola yeye kasema December ndio matajiri wanaenda kula Bata?Mimi nilikuwa najua Kama wewe everyday is Xmas kwa vibopa
Kwa mwenye hela kila siku sherehe. Kinachotokea ni kuwa wengi huwa tu wanaamua kwenda vacation hicho kipindi kwasababu.

1. Watoto wanakuwa likizo.
2. Family member wengi wanakuwa likizo makazini
 
Wasalaam,

Eti jamani huko kwenu vipi January imesha tayari?sie huku ndio tunafika ukingoni. Huku kwetu kila mtu analalamikia huu mwezi,yaani full lawama, eti ni mwezi mgumu sana,watu

Ni mwendo wa ndondo mixer kabeji ukiuliza kuna nini kwani mbona ratiba za mezani hazieleweki majibu Ni yaleyale mwezi mgumu Sana,kila jirani namsikia akilia wimbo huo huo sasa nikawa najiulizia hivi.

1. Kwanini January ionekane ni mwezi mgumu kuliko yote kisa tunalipa Ada za watoto, mbona shule ya mwanangu Mimi nalipa Ada karibu mwaka mzima kwa installment,au Kuna shule zinalipa pesa yote January?

Kuna mtu atasema ni kwa sababu December tumetoka holiday, kwa hili sioni kama kuna ukweli maana familia chache ndio zina utaratibu wa kwenda vacation December, na familia nyingi hazina huu utaratibu Sasa tuseme pilau za Xmas ndio zimeleta majanga? sio kweli.

2. Kuna baadhi yetu watoto wetu wanasoma public school hawalipi Ada, lakini wimbo wetu ni uleule January ngumu sana hii sasa ni kuuonea huu mwezi.

3. Hivi Nyie wenzetu mliwahi ishi nchi mbali mbali na huko nako January ni Kama huku? Au sie Tanzania January yetu imekuwa Kali Sana?

Basi nisiwachoshe wananchi,Ila tukipata muda tutafakari na tujipange na na tuwe na utaratibu kujiandaa mapema kukabiliana na huu mwezi.

Tuwe na utamaduni wa kufanya budget za Ada mapemaaaa maana suala la Ada sio suala la ghafla, hii itatusaidia kupunguza hivi vilio vya January na tutauona huu mwezi kama miezi mingine, maana tumeupa Kiki Sana.

Tuwe na siku njema.
Kalipe ada acha porojo
 
Hakika, miezi yote swa tu, haina ugumu wowote...
 
Back
Top Bottom