Zinatosha kwa makampuni ya kitoto, wewe unayekaa Tokyo twambie kampuni gani zenye akili zitatosheka kugawana $500M kama subsidies. Kwanza unajua market shares za makampuni kama LG, Toshiba, HITACHI, etc.
Giants wa tech kama Samsung, Apple, Qualcomm, Huawei na wale wa bidhaa kama Adidas, Nike na wengine wanahesabu zaidi ya tens of billions in USD kutoka China.
Yani unamwambia LG atoke China kisa kuna vimilioni 500 vya kugawana. Gharama za plants, workforce, capital na mambo kibao hazifidiwi kirahisi.
Ni sawa na kumwambia Bakhresa ahamishe viwanda na aache wafanyakazi bara aende Zanzibar ajenge upya kisha aajiri wafanyakazi wapya. Utalipa na fidia ya kupoteza soko?