Japan kulipa $536 Million kwa makampuni yake 56 yahame kutoka China, yarudi nyumbani au nchi nyingine za Asia

Kweli dunia ipo salama kwaupande wako vipi kwaupande wa WALIBYA na WAIRAQ ?!
 
Ile ni process ambayo inaweza chukua hata miaka kumi sio kitu kinachofanyika abruptly na sio Vietnam Kuna india
hio miaka kumi ambao mtakua mna process mkumbuke mtakua munamfaidisha MCHINA

Hilo suala halitakaa litokee sababu huko wanapotaka kuenda bado hakujakaa sawa kama hapo wanapotaka kutoka

UCHINA anawapelekesha sana hawa wajamaa mpaka wanachanganyikiwa[emoji16][emoji23][emoji16]
 
Hizo kampuni zakinapan unazotaka kuzisemea wewe tufanye kuna TOKYO HITACHI LG na TOSHIBA ndio wagawane hizo pesa mbuzi zilizoekwa hapo kweli [emoji23][emoji23][emoji23]

Kweli mnatapatapa asee kaaah[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Philippines anaepush ni dutete, ambaye akiondoka akija rais mwingine atawarudia marekani, wa-philipines wengi hawasupport hiyo move kwa sababu diaspora wengi wapo marekani

Marekani hawez ondoka kienyeji enyeji sababu aliingia mikataba
Unajuaje kama hatakuja rais mwengne kama atakaeondoka ?!
Na unajuaje rais wa US atakaekuja hata achana nasera za DT


Tuongelee wakati uliopo achana nayajayo maana nifumbo hilo
 
Wizi wa technology na pia kuficha ukweli kuhusu COVID19. Kama makampuni makubwa ya Nchi za magharibi yatafuata nyayo Japan kuyapa ruzuku makampuni hayo yaondoke China basi kutakuwa na ongezeko kubwa la wasio na ajira kule China.
Kama

Yaani hilo neno hapo linadhihirisha ugumu wahilo jambo hapo juu [emoji14][emoji12][emoji14]
 
China ana mgogora wa mipaka na nchi 18 iweje Leo ghafla anaelewana nao ndo maana nikasema ni uongo
Migogoro ya mipaka ya UCHINA ilikuepo kabla UCHINA hajawa sawa KIUCHUMI kama alipo sasa je yalimuathiri vipi katika masuala yake ya KIUCHUMI ?!

migogoro ipo tu ila inaongeleka halaf maisha yanasogea.
 
China atajuta kumdindia Mmarekani.. Atavunjwa vunjwa kama Mrusi.. In ten years, there is no China!
Mrusi alivunjwa kutokana na kuwekeza sana kwenye jeshi huku akitegemea uchumi wa nishati. Hakuwa ame diversify uchumi wake which means ukimuwekea tu figisu ukaharibu soko la mafuta na gesi nchi inaangukia tumbo. Ni tofauti na China ambae uchumi wake umepanuka. China humuangushi kiboya kwasababu uchumi wake hautegemei sekta moja au mbili
 
Unachoongea hakiko proved na historia. Usalama wa dunia uliingia matatizoni kipindi Germany ni super power na leo dunia haina amani kwa kuwa USA ni super power. Hakuna nchi imeshambuliwa na kuwa destabilized na China toka kuundwa kwa taifa hilo 1949. Kinachotokea kwa majirani ni migogoro ya kawaida tu ambayo hata sisi tunayo na Malawi. Next time hizi propaganda zako ziwe zinaishia kwenye kumbi za video unakozitoa hapa ni kwa waelewa
 
Kumbe we shida yako hapa ni kuelezea yupi ni mkoloni bora kuliko mwingine. Ila Africa tuna laana sio bure
 
Heee! Bibi yangu asinge vaa nguo? Labda tuanzie hapa kwanza una umri gani? Miaka yote hiyo mitumba ilikuwa inatoka china? Biashara tungefanyia wapi, kabla ya huyo china, biashara ilikuwa inafanyika wapi, tatizo lako inaonekana labda ni wa miaka ya karibuni ndio maana unaona china ni kila kitu?!! USA, ndio nyampala wa dunia, ndio maana kukiwa na shida yoyote duniani utasikia watu wana mlilia aingilie kati, huo ndio ukweli.lini umesikia nchi za ulaya na USA, wametaka kuchukua mali za nchi yoyote kisa madeni? Mchina yeye ni miaka hii ya karibuni tu ndio amejiingiza barani afrika, lakini nchi nyingi cha moto wameshaanza kukiona!! Nimefanya kazi na wachina nasema mala mia mzungu.
 

Obama alishawahi sema jukwaani kwenye kongamano la.biashara kwamba dunia ifanye ifanyeje lakini mwisho wa siku America atakua mshindi, hio Clip hapo juu Bush nae alisema, Dunia, ama yeyote kwa sasa ana uamuz wa kuchagua, either kusimama na America ama kusimama upande anaotaka na kua adui...nikijumlisha na hizi kauli za juzi juzi za bwana DT alivyosema, we have gat all options on the table, ni kwamba hawa jamaa wana jambo wamekumbatia na wana kiburi nalo na wanajua dunia haifaham kwa hio mchina aendelee kupokea konzi taratib taratib hana la kufanya
 

Marekani anawaza mbali sana mkuu wale wana strategies za kumnasa samaki kwenye ndiwano kiulaini sana.
China kwa sasa anachoangalia ni Take technology by anyhow and use it, okay! no problem ataiba technolgy na atakuwa na uwezo wa hatari mfano mdogo tu ni Huawei yy sasa hivi ndiye mwenye uwezo hali ya juu sana kutoa 5G hatukatai lakini baba kumbuka kuna kitu kinaitwa mahusiano na mahusiano ndio hujenga soko, hivi kama una shamba kubwa una technlogia ya kulima halafu ukalima wateja wajayakataa hayo mazao ni sawa na workdone=0.
Nikukumbushe anachomfanya Mmarekani ni kitu kimoja Iba technology, zalisha sana lakini kosa soko, hahaha uchumi utaporomoka within seconds. Sawa china ana soko la ndani lakini ukumbuke exports za china to the word is the one highest contributor to her economy! Na ndizo zinazowapa financial power hao wanachin wake wawe na nguvu ya kununua lakini ukumbuke Mmarekani anachomfanyia china ni longrun effect, jiulize na uangalie kwa takwimu ni chi zipi mnunuzi wa bidhaa za china zaidi nitakuletea list hapa kama ushahidi lakini kwa haraka haraka wanunuzi wa china ni America, Europe, India, Brazil, Australia, Japan, Mexico , Canada n. k
Anachofanya Mmarekani anajenga ngome inayoitwa kataa bidhaa za China ambayo haiwezi take place for just two years or three but from 6 to 10 years ambapo mchina baadae atashangaa hee mbona bidhaa zangu hazitoki? Akistuka labda atumie nuclear kutisha nchi nyingine zinunue bidhaa zakke la sivyo kwishne!!!

Halafu lingine Mataifa yote yenye makampuni huko china yanashawishiwa na Mmarekani yaondoe Makampuni hayo kutoka china kwa gharama yoyote na Japan kaanza kutenga budget ili kupunguza ajira za china na ili kupunguza financial power ya soko la ndani la china na lingine yaondoe hayo makampuni ili mataifa hayo yatakapo anza kuzuia bidhaa za china wasije wakajikuta wanazuia bidhaa za makampuni yao wenyewe. Mmarekani anaona mbali sana kaka[emoji28][emoji28][emoji28]. Mchina ajiandae kwa kipondo. Wanarekani wana akili za dunia nzima kwa sababu wanaoishi America ni Chinese-American, Africa American Indian Americans, Taiwanese Americans or Asian Americans, Europe Americans n.k ogopa watu wa race mbalimbali wakikaa pamoja kutoa maoni ni hatari zaidi[emoji112][emoji112][emoji112] siku njema




China's economic recovery depends on the rest of the world
 

MChina. Ndio Kila kitu utake usitake biashara yote ya nchini kwako ni kutoka china 90% hayo mambo mengi unayozungumza hasamsaidia mwananchi. Wa kawaida moja kwa moja ... hay bs watu waanze kwenda kufanya biashara America waachana na China [emoji23][emoji23][emoji23]... uwone nani ataweza kununua hivyo vitu...
Na hiyo mitumba ni asilimia ndogo sana ya biashara hata isipokuwepo haita badili kitu
 

And America don’t depends rest of the. World [emoji1787][emoji1787][emoji1787] !?
 
Kama mmeingia mikataba inayiruhusu mali zichukuliwe kwanini ziachwe ?!

Ukirejea yanayoikumba IRAQ LIBYA kama muelewa na unautu hutatamani hao wapuuzi waendelee kuwa super power

UCHINA anawaachia mambo yenu sababu anaelewa ndugu mnanafasi yakuyamaliza pia licha yayeye kama yeye kuangalia maslahi yake.
 
Umeongea point yeye anafikiri vitu vinafanyika abruptly madhara yake yataonekana hata Boris Johnson alisema ni muda wa kupunguza utegemezi wa china
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…