Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Hamna sehem nimejikweza nimekuelezea uhalisia wamambo unavyoenda[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila wewe ndiye mwenye akili acha KUJIKWEZA wewe!!!! Kumbuka mazingira ya biashara duniani hubadilika kutokana na sababu mbali mbali, hivyo waliona miaka hiyo ilikuwa sawa kwa makampuni yao kuinvest kule lakini kwa mazingira ya sasa wanaona ni bora watoe motisha kubwa ili yaondoke huko.
Kama mashirika yao yameshindwa kusoma miaka kumi mbeleni itakuaje wakafanya huo upuuzi
Wabakie kua wapole tu maana hakuna namna sasa...