Japan ni magari pekee?

Japan ni magari pekee?

Japan ina viwanda vingi, vya magari vikiwemo.

Lakini bidhaa za Japan zinazoletwa sana nchini ni magari na, pengine, spea za magari.

Kwa nini baidhaa zingine za Japan si maarufu nchini?

Au kumepangwa kuwe hivyo, kwamba kwa magari Mjapan awe "supplier" wa Tanzania na bidhaa zingine awe Mchina?
Hakuna kitu cha ki teknolojia wasichotengeneza tatizo ni sisi soko letu halihimili bidhaa zao kutokana na ubora na bei kuwa juu,mfano unaweza kutafuta mtu aliyenunua gari ya kijapani 0-km usimkute kabisa kwenye eneo unaloishi.
 
Japan zamani alikuwa electronics ila hilo taji kalipoteza si tu kwetu na kwingine. Mchina kamnyanganya taji la electronics. Ila bado anamataji ya kuunda materials zinazotumika kutengeneza fabs za kuunda processors
Anavyo na vingi anafanya undersupervion nchi nyingine ikiwemo China mfano Sony,Panasonic,akai,aiwa,matsui...bado bidhaa zake zipo duniani hasa huko first world countries.
 
Anavyo na vingi anafanya undersupervion nchi nyingine ikiwemo China mfano Sony,Panasonic,akai,aiwa,matsui...bado bidhaa zake zipo duniani hasa huko first world countries.
Hayo mataji yote china taratibu anayamvua. Sony wamebaki zaidi wanakimbiza kwenye camera na kutengeneza camera sensors.
Kampuni za mkorea zilimyanyanya mataji na sasa hivi mchina naye anakuja kuwanyanganya.
 
Back
Top Bottom