Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Hata kama bado lakini kuna wengine ambao wanasafiri snAcha kudanganya watu wewe. Umeshasafiri mara ngapi toka chanjo zianze?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata kama bado lakini kuna wengine ambao wanasafiri snAcha kudanganya watu wewe. Umeshasafiri mara ngapi toka chanjo zianze?
Neo-colonialism!Huwezi kusafiri nje kama hujachanjwa
Kwani madhara yanatokea mara baada tu ya kuchanjwa? Je kama ni ya miaka 10-40 utajuaje? Je kupungua kwa life span ya mwanadamu ndo madhara yenyewe?Naamini kwa kuwa nimechanja chanjo nyingi kidogo na hata ndugu zangu na hata wafanyakazi wenzangu , hatujawaipata madhara ikasemekana ni kwasababu ya chanjo.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
SawaNeo-colonialism!
Nafikiri umeshasikia madhara ya nyama nyekundu, madhara ya sigara, pombe, mafuta nk.Kwani madhara yanatokea mara baada tu ya kuchanjwa? Je kama ni ya miaka 10-40 utajuaje? Je kupungua kwa life span ya mwanadamu ndo madhara yenyewe?
Mimi ni moja ya wanaosafiri Sana na sijachanjwaHata kama bado lakini kuna wengine ambao wanasafiri sn
SawaMimi ni moja ya wanaosafiri Sana na sijachanjwa