Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafuta clip ya Dr.Osati kule The chanzo.... Kafafanua kila kitu. Tatizo hatupendi kutafuta facts afu tunajifanya wataalam.Wazungu wangekuwa na uwezo wa kutengeneza chanjo, wangekuwa wamesha leta ya Ukimwi na Malalia JPM alijisemea, Na baada tu ya kusema, Wazungu wamekuja na chanjo za Ukimwi na malalia, hawa watu hawa!!
At least you re smart enough to be open minded. Kuna watu wanataka tuamini chanjo hazina shida yoyote ile..that's very lame despite the overwhelming evidence kuna immediate 3effects zinapata watu kama heart inflammation (myocarditis), the most important question is what might be the long term effects of vaccine? No one knows, not even the smartest minds. You can't do genome sequencing kwenye madhara ya vaccine let's say 10 years or even on intergenerational, I'll be the last person on planet earth to be vaccinated.Its a mind control...
Ni kama jela wababe wanavyosema usipoinama hutokula...
Then una feel like nakubaliana nao mapema ili nisije pata shida.
Vaxx inaweza kuwa na madhara ya baadae ikiwamo depopulation... ila kubwa zaidi ni spiritual zombie..anotjer sodoma na gomola kwa maana uzao ulipoteza vinasaba asilia (MNRA/DNA) na artificial intelligence (connected na computer through Nano...5G ma Cloud server...
Otherwise zote ni myth na maoni...
You might be right mkuu...
Acha kupotosha mkuu clots ni 0.0003 ya waliochanjwa..... Yaani watu 40 kwa kila dozi million 15 hivi ndio hoja ya kupinga chanjo?? Mbona hta tu ARV au chanjo ya homa ya manjano imesababisha watu kuganda damu ila sijawahi ona mkizipinga hapa??Unamshawishi mtu akachanje anakubali anaenda mara anapata side effect ya kuganda damu anakufa, hapo sijui familia yake utaiambia nini.
Nawaza tu.
Tunachopinga ni unafiki wenu.... Kma chanjo zina madhara niambie dawa gani haina madhara duniani?? Paracetamol tu ina long term effects kibao.....At least you re smart enough to be open minded. Kuna watu wanataka tuamini chanjo hazina shida yoyote ile..that's very lame despite the overwhelming evidence kuna immediate 3effects zinapata watu kama heart inflammation (myocarditis), the most important question is what might be the long term effects of vaccine? No one knows, not even the smartest minds. You can't do genome sequencing kwenye madhara ya vaccine let's say 10 years or even on intergenerational, I'll be the last person on planet earth to be vaccinated.
And to those ignorant folks wanaosema tumechomwa chanjo kibao, hamna sababu ya kubishana nao sababu you can't argue with stupidity/ignorance, waende kwanza wajifunze tofauti ya live viruses ambazo zimekuwa kwenye chanjo zote za nyuma huko which our immune identified and created antibodies na mRNa vaccine unayochomwa inaenda kutengeneza spike protein kwenye cell. Wakishajua tofauti then ndio warudi kwenye discussion.
Is it personal or General? Sababu am not as ignorant as you, mi natumia dawa za asili siku zote na ninapona. Most of the tropical diseases zinatiba za asili. Labda hayo magonjwa makubwa kama kansa. Nayo unaweza punguza ramifications.Tunachopinga ni unafiki wenu.... Kma chanjo zina madhara niambie dawa gani haina madhara duniani?? Paracetamol tu ina long term effects kibao.....
Radiopharmaceuticals zinatuua tena instantly ila sijawahi ona mkitumia nguvu kuzipinga. Wagonjwa wa kansa wanaotumia chemotherapy mpka wananyonyoka nywele na kupata complications za organ failure ila sijaona mkitisha watu wasiende ocean road.
Mnashangaza sana
At least you re smart enough to be open minded. Kuna watu wanataka tuamini chanjo hazina shida yoyote ile..that's very lame despite the overwhelming evidence kuna immediate 3effects zinapata watu kama heart inflammation (myocarditis), the most important question is what might be the long term effects of vaccine? No one knows, not even the smartest minds. You can't do genome sequencing kwenye madhara ya vaccine let's say 10 years or even on intergenerational, I'll be the last person on planet earth to be vaccinated.
And to those ignorant folks wanaosema tumechomwa chanjo kibao, hamna sababu ya kubishana nao sababu you can't argue with stupidity/ignorance, waende kwanza wajifunze tofauti ya live viruses ambazo zimekuwa kwenye chanjo zote za nyuma huko which our immune identified and created antibodies na mRNa vaccine unayochomwa inaenda kutengeneza spike protein kwenye cell. Wakishajua tofauti then ndio warudi kwenye discussion.
Ukianza kunita mie sijui mtu makini sijui vp kwangu inakuwa kama unaninyima uhuru, maana nitakuwa nahofia kutoa maoni vile navyojisikia kwa kuhofia huko kutoonekana mtu makini. Halafu hakuna niliposema kuwa napinga chanjo kwa sababu ya kuganda damu, nimetaja tu issue ya kuganda damu kitu ambacho kweli kipo hata kama ni kidogo kama mnavyosema ila kipo sasa hapo tatizo langu lipi?Acha kupotosha mkuu clots ni 0.0003 ya waliochanjwa..... Yaani watu 40 kwa kila dozi million 15 hivi ndio hoja ya kupinga chanjo?? Mbona hta tu ARV au chanjo ya homa ya manjano imesababisha watu kuganda damu ila sijawahi ona mkizipinga hapa??
We ni mtu makini sana so sitegemei upotoshe. Haiwezekani chanjo mzione mbaya lakini ARV muone ni sawa tu wakati ina madhara hta kuliko hizo chanjo.
Habari Muhimu: Mahakama Kuu ya Amerika imefuta chanjo ya ulimwengu woteNaamini kwa kuwa nimechanja chanjo nyingi kidogo na hata ndugu zangu na hata wafanyakazi wenzangu , hatujawaipata madhara ikasemekana ni kwasababu ya chanjo.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Acha kupotosha mkuu clots ni 0.0003 ya waliochanjwa..... Yaani watu 40 kwa kila dozi million 15 hivi ndio hoja ya kupinga chanjo?? Mbona hta tu ARV au chanjo ya homa ya manjano imesababisha watu kuganda damu ila sijawahi ona mkizipinga hapa??
We ni mtu makini sana so sitegemei upotoshe. Haiwezekani chanjo mzione mbaya lakini ARV muone ni sawa tu wakati ina madhara hta kuliko hizo chanjo.
Ndimu, tangawizi, kitunguu, mwarobaini na dawa zote za aina hiyo ukinitajia madhara yake nakunY* mafungu mafungu kutoka posta mpaka salenderTunachopinga ni unafiki wenu.... Kma chanjo zina madhara niambie dawa gani haina madhara duniani?? Paracetamol tu ina long term effects kibao.....
Radiopharmaceuticals zinatuua tena instantly ila sijawahi ona mkitumia nguvu kuzipinga. Wagonjwa wa kansa wanaotumia chemotherapy mpka wananyonyoka nywele na kupata complications za organ failure ila sijaona mkitisha watu wasiende ocean road.
Mnashangaza sana
Yani watu ambao hawajali kujikinga na corona hadi dakika hii ndio hao unaosema wana wasiwasi kwa kutochanjwa kwamba watapata corona watakufa?Kuna siku utatokea ugomvi kati ya waliochanjwa na wasiochanjwa. Waliochanjwa wanapata hofu wakisikia kasoro za chanjo na kwa maana hiyo wanatafuta mbinu ili watu wengi wachanje ili ikitokea breaking news iwe harusi. Wasiochanja nao wana wasiwasi kwamba covid ikiwashukia wakati hawajachanja basi wataenda mbinguni kimasihara.
Lakini kipo kwa dawa karibu zote.... Hta kuna cases za damu kuganda kwa wagonjwa wa Covid 19 na ilielezwa na Dr.Osati vizuri kabisa. blood clots zipo kwa kila medication mpka za kisukari sijui kwanini mnaigeuza ni specific kwa Chanjo za Covid mnakosea sana.Ukianza kunita mie sijui mtu makini sijui vp kwangu inakuwa kama unaninyima uhuru, maana nitakuwa nahofia kutoa maoni vile navyojisikia kwa kuhofia huko kutoonekana mtu makini. Halafu hakuna niliposema kuwa napinga chanjo kwa sababu ya kuganda damu, nimetaja tu issue ya kuganda damu kitu ambacho kweli kipo hata kama ni kidogo kama mnavyosema ila kipo sasa hapo tatizo langu lipi?
Ndio kuna binti mmoja tumebishana sana kuhusu uwepo wa Covid yupo Singida. Sasa anapoishi pale mzee katandikwa anahemea mitungi na jirani yake naye kazikwa majuzi.Yani watu ambao hawajali kujikinga na corona hadi dakika hii ndio hao unaosema wana wasiwasi kwa kutochanjwa kwamba watapata corona watakufa?
Wewe inaonekana hauna elimu na hayo maarifa pia huna hivyo ulivyotaja vikitumika kama dawa huku havijabalanciwa maabara vinakua na toxication kubwa..... Dawa za kimasai zinaweza ponya ugonjwa wowote ila sasa zina toxication nyingi hta zinaweza ua maini.Ndimu, tangawizi, kitunguu, mwarobaini na dawa zote za aina hiyo ukinitajia madhara yake nakunY* mafungu mafungu kutoka posta mpaka salender
kama ulikuwa unadhani ni viungo vya pilau pata malaria kali afu uje nikuelekeze cha kufanya, wanayoyajua haya hawaogopi hata wukimwi sembuse kolona.
nliposikia 'watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa' nikajua ni wale ambao hawajaenda shule kumbe maarifa sio degree, degree ni taarifa za kujibia mitihani
Well and good ni vya Lucifer..... Sasa kwanini unatumia smartphones na 4G technology ya lucifer and big tech companies ila hutaki kutumia chanjo ya Lucifer??Ukiandika hivi wewe ni shingo ngumu kuelewa hapa ni zero... ila naheshimu unachoamini mkuu...
Hizo data wanakupa wao na big tec wa na control.data na media with their cancel culture ya fact check, dubunkes ama kufungiwa kabisa.
Yes tunafurahia ARV kwakuwa waliotengeneza HIV ndio wana nguvu ya ku control na hivyo kutufanya tuwe beautiful slaves..
Lucifer alimwambia Yesu.. dunia na vilivyomo ni vyangu... niabudu nikugawie... leo hii uzao wake kwa maana ya akina Gates na Fauchi na Bamao na akina Vaticona ndio wanatumaliza spiritually na physically chini na Kabbalah system...
Magonjwa na chanjo ni sehemu ya population control, spiritual control ikiwamo kufifisha pineal gland ambayo ndio connection yetu na super heavenly power..
Wake up ndugu..
Ahadi ya Lucifer kwa Mungu ni kwamba he wont burn alone... he is taking us all with him... i choose not to go.with Lucifer
Acha kukimbia.... Unadhani kutumia english mbovu hiyo ndio kuonekana msomi?? Radio frequency haina madhara tena ya instant? Wewe unaongelea tu speculations za mRna?? Ambazo hata nikikuhoji HUZIJUI!!Is it personal or General? Sababu am not as ignorant as you, mi natumia dawa za asili siku zote na ninapona. Most of the tropical diseases zinatiba za asili. Labda hayo magonjwa makubwa kama kansa. Nayo unaweza punguza ramifications.
And ofcourse your comparison is lame and uneducated. Sitaki kuelezea why ila kitendo tu cha kusema paracetamol na vaccine inayotumia mRNa ni sawa kupima madhara yake nakuona mjinga.
😅 hiyo wameandika wazungu wanaokuletea chanjoWewe inaonekana hauna elimu na hayo maarifa pia huna hivyo ulivyotaja vikitumika kama dawa huku havijabalanciwa maabara vinakua na toxication kubwa..... Dawa za kimasai zinaweza ponya ugonjwa wowote ila sasa zina toxication nyingi hta zinaweza ua maini.
Umesema tangawizi eeh??
View attachment 1911465
Narudia tena hakuna kitu kisicho na madhara..... Hta malimao yanasaidia kupunguza kikohozi ila ukizidisha damu inapata changamoto!!
Well and good ni vya Lucifer..... Sasa kwanini unatumia smartphones na 4G technology ya lucifer and big tech companies ila hutaki kutumia chanjo ya Lucifer??
Au nguruwe ni haramu ila supu yake halali?