#COVID19 Japan yasitisha utumiaji wa chanjo ya Moderna

#COVID19 Japan yasitisha utumiaji wa chanjo ya Moderna

Nmechanja ya TB
Nimechanja ya Polio ,pepopunda ,tetenus , manjano , hapatitis B. Na sasa ya corona.
Sikuwa na mashaka nazo.

Hii JJ nimeifuatilia angalau kwasababu ya kuwepo maneno mengi mitandaoni. Mwisho wa siku nikaamua kwenda kuchanja.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Umefanya utafiti ukajiridhisha hakuna madhara? Anza utafiti ndugu yangu, tafuta waafrika wasio na chanjo ambao kwa Sasa ni ngumu kuwapata, yaani wale walioishi kipindi Cha Akina Kinjeketile Ngwale, fanya tathimini ya kibaiolojia ya mifumo ya fahamu, akili na mingineyo kuona Kama iko sawa na mifumo yetu ya kimwili Karne hizi za chanjo,
Mzungu sio lazima akuue, hata akidisturb your mental balance inamtosha sana.
Kama hujafanya tafiti ya Aina hio hauna haki ya kutangaza usalama wa chanjo,
Nenda kachanje then ishi kwa Imani yako juu ya chanjo
 
wazungu wangekuwa na uwezo wa kutengeneza chanjo, wangekuwa wamesha leta ya Ukimwi na Malalia JPM alijisemea, Na baada tu ya kusema, Wazungu wamekuja na chanjo za Ukimwi na malalia, hawa watu hawa!!
Mzungu amaihangaikia chanjo ya corona sababu corona inahatarisha uhai wa watu wake
Ukimwi au malaria sio tishio kwa mzungu ndio mana haangaiki nayo hata kidogo

Kutokana na hali ya hewa yao no malaria na kuhusu ukimwi ni ratio 100000:1

Ndio mana ukitaka kwenda kwao lazima upimwe ngoma ukikutwa positive huendi
 
Its a mind control...
Ni kama jela wababe wanavyosema usipoinama hutokula...

Then una feel like nakubaliana nao mapema ili nisije pata shida.

Vaxx inaweza kuwa na madhara ya baadae ikiwamo depopulation... ila kubwa zaidi ni spiritual zombie..anotjer sodoma na gomola kwa maana uzao ulipoteza vinasaba asilia (MNRA/DNA) na artificial intelligence (connected na computer through Nano...5G ma Cloud server...

Otherwise zote ni myth na maoni...
You might be right mkuu...
Nilishachanja mimi na familia yangu.
Nimetumia mwanya huu wa watu kutojitokeza wengi. Na kama umeona shaka hutaki kuchanja ni sawa tu.

Nahisi baadae itakuwa ni hitajio la lazima kama visa ili kusafiri kwenda nje ya Afrika.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Nmechanja ya TB
Nimechanja ya Polio ,pepopunda ,tetenus , manjano , hapatitis B. Na sasa ya corona.
Sikuwa na mashaka nazo.

Hii JJ nimeifuatilia angalau kwasababu ya kuwepo maneno mengi mitandaoni. Mwisho wa siku nikaamua kwenda kuchanja.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Mimi pia nimechanja
 
Wewe kusema humfahamu aliyepata madhara ya chanjo si ajabu na wala sikupingi maana hata hiyo covid yenyewe tu wapo watu hadi sasa wanasema hawajaona mtu yeyote wanayemjua aliyekufa kwa covid, kwahiyo yote yanawezakana ila haina maana ya kwamba hakuna watu waliyopata madhara ya chanjo za corona au hakuna vifo vya covid. Tatizo ni kwamba kiujumla huwa tunakubali kwamba wapo wenye kupata madhara kwa ajiri kwa sababu ya chanjo na huwa tunasema hata kwenye madawa huwa ipo hivyo ila tatizo lipo kwenye kukubali hivyo visa vya watu waliyopata madhara ya chanjo.
Yani tunakubali madhara yapo ila tunapinga malalamiko ya madhara waliyopata watu kuhusishwa na hizi chanjo, tunataka tusikie habari nzuri tu kuhusu chanjo si madhara yake.
Ni kweli wapo ambao hawajawai kuona mgonjwa wa covid lakini serikali imefanya uchunguzi imegundua wapo. Ndugu waliofiwa au kuuguliwa walisema, na hatawaliougua wenyewe walisema.
Waliopata madhara ya chanjo( madhara makubwa) wanatakiwa kusema. Kama unawafahamu basi washauri waseme ili serikali isikie na hatua zichukuliwe.

Sema ndugu.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Kaka chanjo zote walizotupa zilikuwa na nia moja kama ilivyo matumizi ya GMO nk... kuua spirituality ya mwanadamu.... kuua connection yetu na nguvu za juu.. Most of them ilikuwa ni kwa magonjwa waliyotengeneza wenyewe...chache ni kwa magonjwa natural...

Simkatishi mtu tamaa wala sifundishi kitu tofauti ila nina share kwann mimi na watoto wangu marufuku kuchomwa...
Nmechanja ya TB
Nimechanja ya Polio ,pepopunda ,tetenus , manjano , hapatitis B. Na sasa ya corona.
Sikuwa na mashaka nazo.

Hii JJ nimeifuatilia angalau kwasababu ya kuwepo maneno mengi mitandaoni. Mwisho wa siku nikaamua kwenda kuchanja.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Kifo cha kiroho.boss wanaua pineal gland...
Tunakuwa spiritual zombie..

Kazi za Lucifer hizo...
Wameweza walichoweza kuna ubaya gani?
Madai ya kuwa wanataka kutuua hayana mashiko kabisa kwani wazungu wana uwezo wa kutuua kwa njia nyingi sana za kiasayansi. Labda tu tuquestion ubora wa hizo chanjo lakini tusiweke hisia kuwa wanataka kutuua.

Swali la kwanini covid ni haraka namna hii? Sababu ipo wazi, covid imewapiga sana wazungu kiasi cha kutisha ,,hivyo haishangazi wamekuja na chanjo haraka kabisa.

Mwanzo walidhani ingebaki China ,ikaja ikawatafuna hadi akili zikawarudia.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Kaka chanjo zote walizotupa zilikuwa na nia moja kama ilivyo matumizi ya GMO nk... kuua spirituality ya mwanadamu.... kuua connection yetu na nguvu za juu.. Most of them ilikuwa ni kwa magonjwa waliyotengeneza wenyewe...chache ni kwa magonjwa natural...

Simkatishi mtu tamaa wala sifundishi kitu tofauti ila nina share kwann mimi na watoto wangu marufuku kuchomwa...
Nadhani inakupasa usome zaidi Biblia. Quran siifahamu vizuri ,,
Nakushauri usome Biblia usiwe katika kuobishia bali kuielewa.
Mimi nimesimama kwenye Bible.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Nazungumzia maradhi na si vifo maana tunajua kifo kipo tu na wala hizo chanjo za corona si kwa ajili ya kuzuia kifo, kwahiyo nimejibu kwa nyie mnaosema kwamba et mmechanja chanjo toka utotoni na hamjapata madhara yeyote sasa sijui mlitegemea nani wa kuwaambia hayo madhara wakati sasa hivi tu hayo madhara ya chanjo za corona hamuambiwi.
Ikiwa polio na pepopunda tumevisahau, na hata manjano ni kama tumeisahau ni ushuhuda kuwa hizi chanjo zinafanya kazi.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Ni kweli wapo ambao hawajawai kuona mgonjwa wa covid lakini serikali imefanya uchunguzi imegundua wapo. Ndugu waliofiwa au kuuguliwa walisema, na hatawaliougua wenyewe walisema.
Waliopata madhara ya chanjo( madhara makubwa) wanatakiwa kusema. Kama unawafahamu basi washauri waseme ili serikali isikie na hatua zichukuliwe.

Sema ndugu.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Ni wapi sasa huko ambako wanatakiwa waseme? utajuaje kama serikali haijui kuhusu watu wanaopata madhara ya chanjo?

Kuna mzee huku nako kaa alichanja, akaanza kuumwa wakampeleka hospitali kufika tu wakauliza alichanja yani ni kitu ambacho kinajulikana, mwisho wa siku mzee wa watu kafa kwa kuganda damu.

Sasa utasema serikali haijui? kama kuna kipindi ilikuwa inasema hakuna corona na hadi sasa haitoi takwimu za corona ndio unafikiri sasa itakubali kutangaza watu wanaopata madhara ya chanjo au kutangaza kufanya uchunguzi?
 
Ikiwa polio na pepopunda tumevisahau, na hata manjano ni kama tumeisahau ni ushuhuda kuwa hizi chanjo zinafanya kazi.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Kuna mambo mawili, kufanya kazi kwa chanjo na madhara ya chanjo. Ndio maana kuna majaribio ya chanjo hivyo vitu viwili vinaangaliwa.
 
Nmechanja ya TB
Nimechanja ya Polio ,pepopunda ,tetenus , manjano , hapatitis B. Na sasa ya corona.
Sikuwa na mashaka nazo.

Hii JJ nimeifuatilia angalau kwasababu ya kuwepo maneno mengi mitandaoni. Mwisho wa siku nikaamua kwenda kuchanja.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Depopulation to 500ml by 2030

They were joking...right?
th.jpeg.jpg
 
Hofu ya chanjo kwa binadamu hasa waafrika haijaanza leo. Kwa Afrika bahati mbaya huwa hatuna namna yoyote ya kuzikagua japo nimesikia JJ wameikagua vizuri kabla haijaruhusiwa kutolewa. Huenda ikawa JJ ndo ya kwanza nayo ni kwasababu watu wamejazwa wasiwasi mwingi na wenye imani kali.
Mkuu, Japan ipo zone ipi ya Africa?
 
Wako wanaosema iko contaminated na virus vya ukimwi....
Ama virus nyingine..
Unayewaza Kabbalah hawana nia ya kuua watu una moyo mgumu kama jiwe...
Piga zote na boosters kila miezi 6 usihofu...
Japan ilisitisha utumiaji wa dozi karibu milioni 1.63 za chanjo iliyotengenezwa na kampuni ya dawa ya Marekani ya Moderna dhidi ya corona (Kovid-19) baada ya vitu visivyojulikana kugunduliwa kwenye chupa ambazo hazijafunguliwa.

Katika taarifa iliyotolewa na Wizara ya Afya ya Japan, ilibainika kuwa habari zilipokelewa kutoka kwa zaidi ya tovuti moja ya chanjo kwamba "uchafuzi" uligunduliwa kwenye chupa za chanjo ambazo hazijafunguliwa.

Katika taarifa hiyo, ilielezwa kuwa kulikuwa na vitu visivyojulikana kwenye chupa zingine za chanjo tayari na kwamba matumizi ya dozi milioni 1.63 zinazozalishwa nchini Uhispania zilisitishwa kama tahadhari.

Mamlaka ilielezea kuwa dozi kadhaa katika laini hii ya uzalishaji inaweza kutolewa, lakini hadi sasa hawajapokea ripoti zozote mbaya juu ya hii.

Kampuni ya dawa ya Japan ya Takeda Pharmaceutical, ambayo inahusika na uuzaji na usambazaji wa chanjo huko Japan, ilitangaza kwamba wameamua kusitisha utumiaji wa dozi kwenye laini moja ya uzalishaji kama tahadhari ya usalama.

Kulingana na habari ya wakala wa Kyodo, vitu vilivyogunduliwa kwenye chupa 39 havijulikani, lakini ukubwa wake unadhaniwa kuwa milimita chache.

Wakati Wizara ya Afya na Takeda ya Japan ilisema kwamba Moderna inachunguza jambo hilo, hawakufafanua juu ya aina ya uchafuzi na ikiwa chanjo kwenye laini hii ya uzalishaji zilitumwa nje ya Japan.

Wizara ya Afya, Kazi na Ustawi wa Japan iliripoti kwamba vitu visivyojulikana vimegunduliwa kwenye mirija ya chanjo kutoka vituo 8 vya chanjo tangu Agosti 16, na Takeda iliiambia serikali hali yake jana.

Kampuni ya dawa ya Uhispania Rovi, mtengenezaji wa chanjo ya Moderna, ilitangaza kuwa inachunguza uchafuzi unaokuwemo katika chupa kadhaa zilizotumwa Japan.
IMG-20210827-WA0007.jpg
 
Unamshawishi mtu akachanje anakubali anaenda mara anapata side effect ya kuganda damu anakufa, hapo sijui familia yake utaiambia nini.

Nawaza tu.
 
Back
Top Bottom