#COVID19 Japan yasitisha utumiaji wa chanjo ya Moderna

#COVID19 Japan yasitisha utumiaji wa chanjo ya Moderna

wazungu wangekuwa na uwezo wa kutengeneza chanjo, wangekuwa wamesha leta ya Ukimwi na Malalia JPM alijisemea, Na baada tu ya kusema, Wazungu wamekuja na chanjo za Ukimwi na malalia, hawa watu hawa!!
Wameweza walichoweza kuna ubaya gani?
Madai ya kuwa wanataka kutuua hayana mashiko kabisa kwani wazungu wana uwezo wa kutuua kwa njia nyingi sana za kiasayansi. Labda tu tuquestion ubora wa hizo chanjo lakini tusiweke hisia kuwa wanataka kutuua.

Swali la kwanini covid ni haraka namna hii? Sababu ipo wazi, covid imewapiga sana wazungu kiasi cha kutisha ,,hivyo haishangazi wamekuja na chanjo haraka kabisa.

Mwanzo walidhani ingebaki China ,ikaja ikawatafuna hadi akili zikawarudia.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Nani sasa unategemea atakwambia hayo madhara ya chanjo ? ukiangalia siku hizi tunaangaika na maradhi ya ajabu ajabu tofauti na zamani, nani anajua kama ile michanjo ndio chanzo? mfano hivi mpaka sasa umesikia wakitangaza hata mtu mmoja tu aliyepata madhara kwa sababu ya hizi chanjo za corona?
Utasikia tu humu zile side effects ndogo ndogo za kuumwa kichwa au homa tu basi, ila mpaka sasa kuna watu wanaganda damu na kupoteza maisha na wengine kuparalyze wapo tu kitandani ila umesikia yakielezwa haya zaidi ya kunadi tu kuwa chanjo ni salama?
Inawezekana ni kweli wapo waliopata madhara, lakini mimi binafsi sinfahamu hata mmoja. Na ukichukulia ninaowafahamu hakuna hata mmoja aliyedhurika, basi inabaki kuwa story tu kama ulivyoongea.

Au basi share na wana jf hapa ili waelimike. JJ ilipolalamikiwa Marekani na Ulaya utoaji wa chanjo ukasitishwa ili kupisha uchunguzi.

Naamini na hapa Tz watu waliodhurika wakipaza sauti uchunguzi zaidi wa hii chanjo utafanyika, lakini ikibaki story tu namna hii ni vigumu kuchukua hatua.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Nani sasa unategemea atakwambia hayo madhara ya chanjo ? ukiangalia siku hizi tunaangaika na maradhi ya ajabu ajabu tofauti na zamani, nani anajua kama ile michanjo ndio chanzo? mfano hivi mpaka sasa umesikia wakitangaza hata mtu mmoja tu aliyepata madhara kwa sababu ya hizi chanjo za corona?
Utasikia tu humu zile side effects ndogo ndogo za kuumwa kichwa au homa tu basi, ila mpaka sasa kuna watu wanaganda damu na kupoteza maisha na wengine kuparalyze wapo tu kitandani ila umesikia yakielezwa haya zaidi ya kunadi tu kuwa chanjo ni salama?
Zamani wewe ulikuwepo?.Na je hao watu wa zamani yako leo wapo?.Kama hawapo jua ni maradhi hayo hayo ndiyo yaliyowachukua.hakuna jambo jipya duniani.
 
Eeh kwa wataalamu wenu wanaochunguza content ya sumu tu na kutumia hisia wacha niendelee kuangalia tu ambao watatumia chanjo hizo mwisho wao ukoje [emoji28]
Kuchanja au kutochanja hakumaanishi umekwepa kifo.
We usisubirie mtu, endelea na maisha.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Eeh kwa wataalamu wenu wanaochunguza content ya sumu tu na kutumia hisia wacha niendelee kuangalia tu ambao watatumia chanjo hizo mwisho wao ukoje 😅
Ila tuappreciate wanachokifanya hawa wenzetu, maana kujitolea kufanya majaribio ya chanjo tena bure si kitu kidogo.
 
Japan ilisitisha utumiaji wa dozi karibu milioni 1.63 za chanjo iliyotengenezwa na kampuni ya dawa ya Marekani ya Moderna dhidi ya corona (Kovid-19) baada ya vitu visivyojulikana kugunduliwa kwenye chupa ambazo hazijafunguliwa.
Wafuasi wa Gwajima mna shida sana...title chanjo yasitishwa...content inaongelea specific batch line
 
Zamani wewe ulikuwepo?.Na je hao watu wa zamani yako leo wapo?.Kama hawapo jua ni maradhi hayo hayo ndiyo yaliyowachukua.hakuna jambo jipya duniani.
Nazungumzia maradhi na si vifo maana tunajua kifo kipo tu na wala hizo chanjo za corona si kwa ajili ya kuzuia kifo, kwahiyo nimejibu kwa nyie mnaosema kwamba et mmechanja chanjo toka utotoni na hamjapata madhara yeyote sasa sijui mlitegemea nani wa kuwaambia hayo madhara wakati sasa hivi tu hayo madhara ya chanjo za corona hamuambiwi.
 
Nmechanja ya TB
Nimechanja ya Polio ,pepopunda ,tetenus , manjano , hapatitis B. Na sasa ya corona.
Sikuwa na mashaka nazo.

Hii JJ nimeifuatilia angalau kwasababu ya kuwepo maneno mengi mitandaoni. Mwisho wa siku nikaamua kwenda kuchanja.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Ni vizuri..mimi sijawahi kuchanja chanjo yoyote ile maishani..wazazi wangu walikataa chanjo. And am good still.
 
Inawezekana ni kweli wapo waliopata madhara, lakini mimi binafsi sinfahamu hata mmoja. Na ukichukulia ninaowafahamu hakuna hata mmoja aliyedhurika, basi inabaki kuwa story tu kama ulivyoongea.

Au basi share na wana jf hapa ili waelimike. JJ ilipolalamikiwa Marekani na Ulaya utoaji wa chanjo ukasitishwa ili kupisha uchunguzi.

Naamini na hapa Tz watu waliodhurika wakipaza sauti uchunguzi zaidi wa hii chanjo utafanyika, lakini ikibaki story tu namna hii ni vigumu kuchukua hatua.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Wewe kusema humfahamu aliyepata madhara ya chanjo si ajabu na wala sikupingi maana hata hiyo covid yenyewe tu wapo watu hadi sasa wanasema hawajaona mtu yeyote wanayemjua aliyekufa kwa covid, kwahiyo yote yanawezakana ila haina maana ya kwamba hakuna watu waliyopata madhara ya chanjo za corona au hakuna vifo vya covid.

Tatizo ni kwamba kiujumla huwa tunakubali kwamba wapo wenye kupata madhara kwa ajiri kwa sababu ya chanjo na huwa tunasema hata kwenye madawa huwa ipo hivyo ila tatizo lipo kwenye kukubali hivyo visa vya watu waliyopata madhara ya chanjo.

Yani tunakubali madhara yapo ila tunapinga malalamiko ya madhara waliyopata watu kuhusishwa na hizi chanjo, tunataka tusikie habari nzuri tu kuhusu chanjo si madhara yake.
 
Mkiona hazifai tuleteeni sisi kama msaada maana tuna urafiki wa kudumu na wajapani😁
 
Japan ilisitisha utumiaji wa dozi karibu milioni 1.63 za chanjo iliyotengenezwa na kampuni ya dawa ya Marekani ya Moderna dhidi ya corona (Kovid-19) baada ya vitu visivyojulikana kugunduliwa kwenye chupa ambazo hazijafunguliwa.

Covid: Vaccine complications dwarfed by virus risks​

Published6 hours ago
Share
Related Topics

A major review of vaccines suggests the AstraZeneca jab does raise the risk of blood clots and another serious condition that can cause bleeding.
But the study found the risk of such problems following a coronavirus infection was still much higher.
The University of Oxford-led team also found an increased risk of stroke after the Pfizer jab - but again at a much lower rate than after infection.
The team said it once again showed the "substantial" benefit of vaccination.
ADVERTISEMENT

It comes after a coroner ruled on Thursday that BBC Radio Newcastle presenter Lisa Shaw died because of complications from the AstraZeneca jab.
The 44-year-old died in May after developing headaches a week after getting her first dose. She suffered blood clots in the brain.

The research team looked at records from more than 29 million people who received a first dose of a Covid vaccine between December and April, as well as nearly 1.8 million who were infected with the virus.
The study, published in the British Medical Journal, looked for complications up to 28 days after being jabbed or infected.
It found that for every 10 million people vaccinated with the AstraZeneca vaccine:
  • an extra 107 would be hospitalised or die from thrombocytopenia, which can cause internal bleeding and haemorrhages, but that was nearly nine times lower than the risk of the same condition following an infection
  • an extra 66 would be hospitalised or die from blood clots in the veins, but that was nearly 200 times lower than the risk following an infection
For every 10 million people vaccinated with the Pfizer vaccine, it found:
  • 143 extra strokes would be seen, but that was nearly 12 times lower than the risk following an infection
Lead author Prof Julia Hippisley-Cox said it was important people were aware of the risks, but that they were kept in context given the higher risk from being infected.
Fellow author Prof Aziz Sheikh added the findings "clearly underscore" the importance of getting vaccinated to reduce the risk of these clotting and bleeding outcomes.

Vaccinations, he said, offer a "substantial public health benefit".
 
Kwa level ya technology na ustaarabu wa watu wa Japan pamoja na weledi wao ningependekeza watufanyie uchunguzi na ile yetu ya uncle jj
Unafirikiri basi hata ni serikali ya Japan ndo waliogundua?Hapana,Ni kampuni ya usambazaji yenyewe iliitaarifu serikali ya Japan out of caution- ingawa wanasema hata kwa wachache waliochanga kwenye hiyo batch hamna changamoto.Ingekuwa kampuni zetu za kina Mwajuma Ndalandefu wangetambaa na biti tu 🤣 🤣
 
[emoji3][emoji3] mwanzo walikataa nikaenda peke yangu. Ila sikuchoka kujibu maswali yao juu ya mashaka waliyo nayo. Hadi wanaamua kuchanja sikuwa nimemshinikiza yeyote.

Hata booster sitamshinikiza mtu.
Wakitaka wabust wakitaka waache.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Rungwe anakwambia wanaopinga chanjo ni washamba tu 🤣 🤣 Gwajima anapinga pinga chanjo tu,wamuulize chanjo nzuri ni ipi au atuletee yeye kama anaweza-Ni ujinga mtupu
 
Ila kwenye chanjo ya anko JJ si hakuna uchafuzi uliogundulika?? Tuendelee na chanjo
Haawa wa kwetu hata wakikuta hawatasema,muhimu chanjo za mzungu ziishe.
Ndiyo maana mpaka Sasa hawajaripoti chochote kuogopa eti watu wataogopa kuchanja.
Punda afe mzigo ufike.
 
wazungu wangekuwa na uwezo wa kutengeneza chanjo, wangekuwa wamesha leta ya Ukimwi na Malalia JPM alijisemea, Na baada tu ya kusema, Wazungu wamekuja na chanjo za Ukimwi na malalia, hawa watu hawa!!
Mkuu unaishi kwa kufuata maswali ya mwendazake? Kiufupi chanjo ya malaria ipo kwenye advanced trials
 
Japan ilisitisha utumiaji wa dozi karibu milioni 1.63 za chanjo iliyotengenezwa na kampuni ya dawa ya Marekani ya Moderna dhidi ya corona (Kovid-19) baada ya vitu visivyojulikana kugunduliwa kwenye chupa ambazo hazijafunguliwa.

Katika taarifa iliyotolewa na Wizara ya Afya ya Japan, ilibainika kuwa habari zilipokelewa kutoka kwa zaidi ya tovuti moja ya chanjo kwamba
Japanese they are very smart.
 
Back
Top Bottom