Tusipangiane maisha , mbona mkiendesha v8 hatuwapangii, kaa kwa kutulia , utapeli wangu au usanii wangu wakuhusu nini? shida mnajitia ujuaji sana.Mimi naonaga watu wa aina yako ni wasanii na matapeli. Kama sio basi mna tabia ya MAJIVUNI na UNAFIKI , kama unafaham jambo na kama una nia njema kwanini usiliseme, kama unajua halaf unasema huna haja ya kusema ina mana Gani Sasa ni kama umekuja kutuchora na kutukebehi au kujionesha kua unajua sana ya rohoni. Unadhani ni wewe pekee TANZANIA hii anayejua, watu wameshachungulia na wanajua, baadhi wamekaa kimya na wengine wameanza kusema, wanachokijua au walichokiona au wanachoona, ila waliokaa kimya hawajjaja kujimwambafai kua wanajua sana halaf waseme hatusemi, ni matured enough kukaa kimya.
Ikawe hivyo.Tusipangiane maisha , mbona mkiendesha v8 hatuwapangii, kaa kwa kutulia , utapeli wangu au usanii wangu wakuhusu nini? shida mnajitia ujuaji sana.
Sie sio wale wakuomba michango , hatuna makanisa ,sio mitume wala manabii ila Mungu katuchagua kati ya wengi na kutufanya chombo muhim katika ufalme wake .
Sasa wewe unapata nguvu wapi za kuniita tapeli kwa lipi nimekutapeli. Ushindwe kuona matapeli wanaowauzia mafuta na chunvi na kutoa sadaka kwao uje nivamia mie , wambieni hao wawambie Mungu anasemaje juu ya Taifa hili kama kweli wanae alie hai .
Katubuni na kuomba toba kila mmoja kwa imani yake , vinginevyo kiama juu yenu chaja ,asema Bwana na ilishakua
Ilisha kuwa mkuu.Ikawe hivyo.
Ngumu sana hiyo.Nani amwambie mfalme yupo uchi ilhali wapambe wanamwambia nguo zimempendeza?
Wakati mwingine watu huzidiwa na wapambe! Maana hawatataka kuwaona wanoongea ukweli na uhalisia!Wanabodi,
Haya ni miongoni mwa mabandiko yangu ya kikubwa, weka mbali na watoto, hakuna kutaja taja majina.
Hili ni bandiko la kumhusu yule Kaka yangu, aliyetwaliwa. Japo hakuna binaadamu yeyote ajuaye sababu halisi za kutwaliwa kwake, isipokuwa YEYE mwenyewe pekee, ndie Aliyetoa, kisha Akatwa, ila kuna watu, “Saw It Coming!“ wakasema, wakapuuzwa, as a result, Kaka akatwaliwa!.
Sasa hao watu wenye jicho hilo la tatu, wanaviona viashiria vya same same likely scenario na wanasema kwa nia njema na dhamira safi ya kumsaidia huyu Dada.
Dada yangu mpenzi, nakuomba sana, ukisikia kitu, sio lazima ukizingatie kila utakacho sikia, maana utasikia vingapi?, ila sikiliza kila utakacho sikia, na ukiisikia sauti kutoka ndani yako, the voices from within, ikimwambia kitu, aifanyie tathmini hiyo sauti kama ni sauti ya YEYE Mwenyewe, au ni yeye tuu!, ikitokea ni sauti kwake YEYE, then, usiipuuzie!.
Leo asubuhi nikiwa bafuni naoga ili kwenda kwenye shughuli zangu, nikaisikia sauti, voices from within, ikiniambia, ukisikia kitu, mwambie tuu Dada yako, kuna watu wamemzunguka, wakimwimbia nyimbo za sifa na mapambio, huku wana jicho la tatu, kuna vitu wanaviona, hawamwambiii, wameamua kunyamaza, hawasemi ila ukweli wanaujua, na wana uwezo wa kumsaidia kwa kumwambia ukweli, ila wanachelea labda Dada atakasirika.
Sauti hiyo imeniambia Dada akiambiwa, akisikiliza, itamsaidia, ila akisikia akapuuza, yule YEYE, anaweza ...
Paskali
Magamba Matatu huyo ndo uhakika pia Pascal sio tapeliUlivyomtaja huyo TumainiEl nimekuona hamnazo ama hufuatilii vizuri mambo wanayoandika watu humu.
Huyo ni wale walokole machizi
Duh Pascal nimekuelewa, na aliyemuonya Magufuli kipindi hicho alikua LEMA
View attachment 3227495
Hii mbaya sanaDuh Pascal nimekuelewa, na aliyemuonya Magufuli kipindi hicho alikua LEMA
View attachment 3227495
uh 🙄
Kwahiyo tunasubiri muda ufike tu sio?Ilisha kuwa mkuu.
Huyu aliyetangulizwa huko... Ndiye aliyeanzisha makundi ya ajabu ajabu nchini kwetu..ya kufuatiliana nani ananizungumza vibaya(track) ,Dah! Inafikirisha sana. Lawama ziende kwa aliyeanzisha hili jambo la kutangungulizana mbele ya haki. Na ile damu ya yule aliyetangulia inadai kisasi
Kileleni kutamu, dada anatamani kushikilia usukani milele, ila ni vyema akawasikiliza wataalam wa kuona visivyoonekana maana wakaka wanaoimba nyimbo za mapambio hawataki kabisa dada kushika usukani.Wanabodi,
Haya ni miongoni mwa mabandiko yangu ya kikubwa, weka mbali na watoto, hakuna kutaja taja majina.
Hili ni bandiko la kumhusu yule Kaka yangu, aliyetwaliwa. Japo hakuna binaadamu yeyote ajuaye sababu halisi za kutwaliwa kwake, isipokuwa YEYE mwenyewe pekee, ndie Aliyetoa, kisha Akatwa, ila kuna watu, “Saw It Coming!“ wakasema, wakapuuzwa, as a result, Kaka akatwaliwa!.
Sasa hao watu wenye jicho hilo la tatu, wanaviona viashiria vya same same likely scenario na wanasema kwa nia njema na dhamira safi ya kumsaidia huyu Dada.
Dada yangu mpenzi, nakuomba sana, ukisikia kitu, sio lazima ukizingatie kila utakacho sikia, maana utasikia vingapi?, ila sikiliza kila utakacho sikia, na ukiisikia sauti kutoka ndani yako, the voices from within, ikikwambia kitu, uifanyie tathmini hiyo sauti ni sauti ya nani, kati ya YEYE na yeye, kama ni sauti ya kwake YEYE Mwenyewe, na ukajiridhisha ni sauti yake YEYE, then, usiipuuzie!.
Leo asubuhi nikiwa bafuni naoga ili kwenda kwenye shughuli zangu, nikaisikia sauti, voices from within, ikiniambia, ukisikia kitu, mwambie tuu Dada yako, kuna watu wamemzunguka, wakimwimbia nyimbo za sifa na mapambio, huku wana jicho la tatu, kuna vitu wanaviona, hawamwambiii, wameamua kunyamaza, hawasemi ila ukweli wanaujua, na wana uwezo wa kumsaidia kwa kumwambia ukweli, ila wanachelea labda Dada atakasirika.
Sauti hiyo imeniambia Dada akiambiwa, akisikiliza, itamsaidia, ila akisikia akapuuza, yule YEYE, anaweza ...
Paskali
Kuna mtu wa kuishi milele Dunia hii kweli Hadi uache kufanya unachoamini is right usubirie tamthilis kutoka Kwa watu?Wanabodi,
Haya ni miongoni mwa mabandiko yangu ya kikubwa, weka mbali na watoto, hakuna kutaja taja majina.
Hili ni bandiko la kumhusu yule Kaka yangu, aliyetwaliwa. Japo hakuna binaadamu yeyote ajuaye sababu halisi za kutwaliwa kwake, isipokuwa YEYE mwenyewe pekee, ndie Aliyetoa, kisha Akatwa, ila kuna watu, “Saw It Coming!“ wakasema, wakapuuzwa, as a result, Kaka akatwaliwa!.
Sasa hao watu wenye jicho hilo la tatu, wanaviona viashiria vya same same likely scenario na wanasema kwa nia njema na dhamira safi ya kumsaidia huyu Dada.
Dada yangu mpenzi, nakuomba sana, ukisikia kitu, sio lazima ukizingatie kila utakacho sikia, maana utasikia vingapi?, ila sikiliza kila utakacho sikia, na ukiisikia sauti kutoka ndani yako, the voices from within, ikikwambia kitu, uifanyie tathmini hiyo sauti ni sauti ya nani, kati ya YEYE na yeye, kama ni sauti ya kwake YEYE Mwenyewe, na ukajiridhisha ni sauti yake YEYE, then, usiipuuzie!.
Leo asubuhi nikiwa bafuni naoga ili kwenda kwenye shughuli zangu, nikaisikia sauti, voices from within, ikiniambia, ukisikia kitu, mwambie tuu Dada yako, kuna watu wamemzunguka, wakimwimbia nyimbo za sifa na mapambio, huku wana jicho la tatu, kuna vitu wanaviona, hawamwambiii, wameamua kunyamaza, hawasemi ila ukweli wanaujua, na wana uwezo wa kumsaidia kwa kumwambia ukweli, ila wanachelea labda Dada atakasirika.
Sauti hiyo imeniambia Dada akiambiwa, akisikiliza, itamsaidia, ila akisikia akapuuza, yule YEYE, anaweza ...
Paskali