Japo hakuna ajuaye sababu za kutwaliwa kaka, isipokuwa yeye, kuna watu saw it coming, wakasema, wakapuuzwa, akatwaliwa. Dada ukisikia usipuuze hili

Japo hakuna ajuaye sababu za kutwaliwa kaka, isipokuwa yeye, kuna watu saw it coming, wakasema, wakapuuzwa, akatwaliwa. Dada ukisikia usipuuze hili

Huyo dada si muovukama yulee kakako kwa nimwonavyo hata akitwaliwa anaenda pazuri mara milioni ya hii nchi Duni!
Ma yalaa vipi vp huagi Tena mwakahuu ili ukagombee kupitia chama cha huyu unayemchulia kifo?
Huyu Ajuza anaingia katika rekodi ya marais wasiopendwa katika taifa hili tulishuhudia baada ya kifo cha kaka yake watu 45 walikufa kwa kukanyagana pale uwanja wa taifa wakiaga mwili wake na hawakuishia hapo wakavunja uzio wa uwanja wa ndege kuikimbilia ndege iliyobeba mwili wake.. nchi nzima ilizizima..na aliombolezwa nje ya mipaka ya Tanzania ..Alijenga ushawishi Dunia nzima...
 
Sikuwa fan mkubwa wa anko mwendazake lakini nafsini nilikuwa najua anapigana vita nzito sana ya nje na ya ndani. Na approach aliyoitumia ya kuwa open book naamini alikuwa anajua kitu anachofanya ni suala la kufa ama kupona..

Kwa hiyo alijitahidi kuzuia kitu alichokiona kikimkaribia ila si kwamba hakujua. Alijua
Nje ya mada je Donald Trump atamaliza miaka 4 salama?
Je Ruto atapata 5 tena?
 
Wanabodi,

Haya ni miongoni mwa mabandiko yangu ya kikubwa, weka mbali na watoto, hakuna kutaja taja majina.

Hili ni bandiko la kumhusu yule Kaka yangu, aliyetwaliwa. Japo hakuna binaadamu yeyote ajuaye sababu halisi za kutwaliwa kwake, isipokuwa YEYE mwenyewe pekee, ndie Aliyetoa, kisha Akatwa, ila kuna watu, “Saw It Coming!“ wakasema, wakapuuzwa, as a result, Kaka akatwaliwa!.

Sasa hao watu wenye jicho hilo la tatu, wanaviona viashiria vya same same likely scenario na wanasema kwa nia njema na dhamira safi ya kumsaidia huyu Dada.

Dada yangu mpenzi, nakuomba sana, ukisikia kitu, sio lazima ukizingatie kila utakacho sikia, maana utasikia vingapi?, ila sikiliza kila utakacho sikia, na ukiisikia sauti kutoka ndani yako, the voices from within, ikikwambia kitu, uifanyie tathmini hiyo sauti ni sauti ya nani, kati ya YEYE na yeye, kama ni sauti ya kwake YEYE Mwenyewe, na ukajiridhisha ni sauti yake YEYE, then, usiipuuzie!.

Leo asubuhi nikiwa bafuni naoga ili kwenda kwenye shughuli zangu, nikaisikia sauti, voices from within, ikiniambia, ukisikia kitu, mwambie tuu Dada yako, kuna watu wamemzunguka, wakimwimbia nyimbo za sifa na mapambio, huku wana jicho la tatu, kuna vitu wanaviona, hawamwambiii, wameamua kunyamaza, hawasemi ila ukweli wanaujua, na wana uwezo wa kumsaidia kwa kumwambia ukweli, ila wanachelea labda Dada atakasirika.

Sauti hiyo imeniambia Dada akiambiwa, akisikiliza, itamsaidia, ila akisikia akapuuza, yule YEYE, anaweza ...

Paskali
Binafsi nimemchoka sana dada, kwanza hana mvuto, tena amekua na tamaa ya kuendelea kulamba asali. Bora YEYE afanye ajualo
 
Kuna mwaka nadhani way back uliandika Jpm ndo Rais ajaye..tukakunyali sana ..kupitia mabandiko yako mimi ni nani nikatae!..wafanye haraka kwa kweli
Saa nyingine huingizwa Chaka Pascal Mayalla alisema "Mpango ndiyo mpango mzima"
Sasa Mpango kaomba kupumzika,
Alisema "2025 Hussein Mwinyi atagombea Tanganyika Urais"

sasa anagombea kule kule kisiwani.
 
Pole kwa kutwaliwa kwa kaka yako, ila kaka yako mbona naye alilazimisha kuwaitia wenzie Israel awatwae?? Hiyo ni Karma

Na dada yako naye vivyo hivyo, km anahusika na kuitia wenzie Israel awatwae anaowachukia basi Karma itafanya kazi yake..!!
Hiyo Karma ipo Tanzania tu?
GEORGE BUSH, kaua watu wengi sana kwenye utawala wake, Putin, Nyetanyahu, Paul Kagame wameua watu wengi sana na wako hai wanazidi kuwa vizee baadhi yao Karma gani hiyo yenye ubaguzi?
 
KUNA MTU ATAISHI MILELE DUNIA HII??

KUNA BINADAMU ALIYEISHUHUDIA VITA YA KWANZA YA DUNIA IKIPIGANWA YUPO HADI HADI LEO?

KUNA BINADAMU YEYOTE ALIYE HAI AMBAYE ALISHUHUDIA UGAWAJI WA BARA LA AFRIKA?

KILA MTU ATAKUFA, AACHIE MADARAKA AU AENDELEE NAYO.

ALIYEANDIKA HILI ANDIKO NINA UHAKIKA NA KWA AFYA YAKE 90% YA KUTOFIKA HATA OCTOBER.
 
Hii stori inanikumbusha ile ya mfalme Ahabu, kikao kikaaliwa juu mbinguni Bwana akasema " Ni nani atakayemdanganya Ahabu, ili akwee Ramoth-gileadi akaanguke(akauwawe)? ". Ikumbukwe kwamba mfalme ahabu alifanya machukizo mengi sana mbele ya taifa la Israel yeye pamoja na mke wake Yezebeli.

Akajitokeza pepo mmoja akasema akasimama mbele za Bwana , akasema, Mimi nitamdanganya. Na kweli Ahabu akadanganywa kama ng'ombe apelekwae machinjioni.

Ewe dada uliyekaa hicho kiti hapo juu kabisa Tanzagiza maneno haya sio mageni hapa mjini. BEWARE
Dada yako ana upendeleo sana, sijui hii nchi ina maafisa usalama wa nini?
Mbona hawasemi anavyofanya Double standard kupeleka maendeleo Zanzibar?
Nendeni Zanzibar mkaone anajenga hadi barabara za vichochoroni mijini hadi mashambani (vijijini)
Chochoro zote ni kiwango cha lami,
Hospitali nyingi anavunja na kujenga upya za kifahari,
Ameshaona kupitia kukopa kukopa deni la taifa wanapata asilimia kubwa ya mgao Wazanzibar,
Mlipaji wa deni ni Watanganyika wenyewe, kodi zetu zinaenda kujenga Zanzibar.

Halafu fala fulani wa kitanganyika ana fanya uhuni fulani wa kuondoka na mpira kwapani pale Dodoma analazimisha mitano tena, huyu mzee mbinafsi sana, mlafi sana, mchoyo sana, Fisadi papa, baba wa mafisadi Tanzania 😡😡😡😡
 
Option ya kwanza sote kwa pamoja tuikatae na kuizuia isitokee TENA katika UUNGU WA UMOJA WETU kwa sababu sisi ni NGUVU, NISHATI, UWEZO na MAMLAKA kamili bali option ya pili ifanyike kwa UPENDO, tena UPENDO mkamilifu usio na mawaa wala hila hata doa lolote. UPENDO WENYE NURU utashinda yote 2025.
Option ya kwanza zuri
 
Hii kitu ipo muda tu sema labda kwa sasa ndo inaenda public........kama ungekua unashinda na wale jamaa wa muda wote makanisani hizi habari zisingekua mpya
Ninachoamini mimi kwa huyu mtu wao si kweli ni propaganda kama propaganda nyingine ili kuwazumbaisha watu wa upande wa pili.
 
Kikubwa waliolianzisha wawe waungwana bila hivyo ndo utageuka kua mchezo endelevu
1. Sokoine
2. Kolimba.
3. Mohammed Ally Juma.
4. JK Senior.
5. John Komba.
6. BWM
7. JPM
8. Mahiga.
9. Patrick Mfungale.
10. Kijazi.
11. Mwapachu.
12. Amina Chifupa.
13. Mohammed Seif Khatibu
14. Seif Sharif Hamad
15. William Mgimwa.
16. John Komba.
17. Edo.
18. Ole Mushi............
 
Wanabodi,

Haya ni miongoni mwa mabandiko yangu ya kikubwa, weka mbali na watoto, hakuna kutaja taja majina.

Hili ni bandiko la kumhusu yule Kaka yangu, aliyetwaliwa. Japo hakuna binaadamu yeyote ajuaye sababu halisi za kutwaliwa kwake, isipokuwa YEYE mwenyewe pekee, ndie Aliyetoa, kisha Akatwa, ila kuna watu, “Saw It Coming!“ wakasema, wakapuuzwa, as a result, Kaka akatwaliwa!.

Sasa hao watu wenye jicho hilo la tatu, wanaviona viashiria vya same same likely scenario na wanasema kwa nia njema na dhamira safi ya kumsaidia huyu Dada.

Dada yangu mpenzi, nakuomba sana, ukisikia kitu, sio lazima ukizingatie kila utakacho sikia, maana utasikia vingapi?, ila sikiliza kila utakacho sikia, na ukiisikia sauti kutoka ndani yako, the voices from within, ikikwambia kitu, uifanyie tathmini hiyo sauti ni sauti ya nani, kati ya YEYE na yeye, kama ni sauti ya kwake YEYE Mwenyewe, na ukajiridhisha ni sauti yake YEYE, then, usiipuuzie!.

Leo asubuhi nikiwa bafuni naoga ili kwenda kwenye shughuli zangu, nikaisikia sauti, voices from within, ikiniambia, ukisikia kitu, mwambie tuu Dada yako, kuna watu wamemzunguka, wakimwimbia nyimbo za sifa na mapambio, huku wana jicho la tatu, kuna vitu wanaviona, hawamwambiii, wameamua kunyamaza, hawasemi ila ukweli wanaujua, na wana uwezo wa kumsaidia kwa kumwambia ukweli, ila wanachelea labda Dada atakasirika.

Sauti hiyo imeniambia Dada akiambiwa, akisikiliza, itamsaidia, ila akisikia akapuuza, yule YEYE, anaweza ...

Paskali
Mambie dada kaka sasa hivi ni moto hatamuze na hoja zake.
 
Nani kamchulia!? Au familia yenu huko

Abdul mwanae yuko wapi ajaribu kumponya mamaye..?

Na njia ya kumponya ni moja tu. Ni kumwambia kumshauri:

"...Mama yatosha, waachie ardhi na nchi yao. Wewe twende nyumbani Kizimkazi ukampumzike. Na kwa namna tulivyolimbikiza, utaishi hata miaka 30+ mbele kama babu Ally Hassan Mwinyi alivyojaliwa kuishi miaka 90+.."

Lakini sijui hata kama watoto wake wana HEKIMA hii. Walishanogewa na kulewa madaraka ya mama yao. Sasa ni mwendo wa inzi kufikia kwenye kidonda tu...!
Na huko Kizimkazi ana Bonge la Hotel, (Kwanza Hotel)
Bado mamiradi yasiyojulikana
 
Back
Top Bottom