Kijakazi
JF-Expert Member
- Jun 26, 2007
- 7,093
- 10,469
Nje ya mada je Donald Trump atamaliza miaka 4 salama?
Je Ruto atapata 5 tena?
ruto (nato) ndo ataivamia na kuitandika tanzagiza, mkizidi shupaza shingo …
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nje ya mada je Donald Trump atamaliza miaka 4 salama?
Je Ruto atapata 5 tena?
Za kuambiwa changanya na zako anasemaje?Kileleni kutamu, dada anatamani kushikilia usukani milele, ila ni vyema akawasikiliza wataalam wa kuona visivyoonekana maana wakaka wanaoimba nyimbo za mapambio hawataki kabisa dada kushika usukani.
Vijana wa Chikwete wapo, yupo salama.
Dada yako ana upendeleo sana, sijui hii nchi ina maafisa usalama wa nini?
Mbona hawasemi anavyofanya Double standard kupeleka maendeleo Zanzibar?
Nendeni Zanzibar mkaone anajenga hadi barabara za vichochoroni mijini hadi mashambani (vijijini)
Chochoro zote ni kiwango cha lami,
Hospitali nyingi anavunja na kujenga upya za kifahari,
Ameshaona kupitia kukopa kukopa deni la taifa wanapata asilimia kubwa ya mgao Wazanzibar,
Mlipaji wa deni ni Watanganyika wenyewe, kodi zetu zinaenda kujenga Zanzibar.
Halafu fala fulani wa kitanganyika ana fanya uhuni fulani wa kuondoka na mpira kwapani pale Dodoma analazimisha mitano tena, huyu mzee mbinafsi sana, mlafi sana, mchoyo sana, Fisadi papa, baba wa mafisadi Tanzania 😡
Waswahili walituambia ngoma ikivuma sana imekaribia kupasuka, let's watch and see kwa maana mwisho wa ubaya aibu.Dada yako ana upendeleo sana, sijui hii nchi ina maafisa usalama wa nini?
Mbona hawasemi anavyofanya Double standard kupeleka maendeleo Zanzibar?
Nendeni Zanzibar mkaone anajenga hadi barabara za vichochoroni mijini hadi mashambani (vijijini)
Chochoro zote ni kiwango cha lami,
Hospitali nyingi anavunja na kujenga upya za kifahari,
Ameshaona kupitia kukopa kukopa deni la taifa wanapata asilimia kubwa ya mgao Wazanzibar,
Mlipaji wa deni ni Watanganyika wenyewe, kodi zetu zinaenda kujenga Zanzibar.
Halafu fala fulani wa kitanganyika ana fanya uhuni fulani wa kuondoka na mpira kwapani pale Dodoma analazimisha mitano tena, huyu mzee mbinafsi sana, mlafi sana, mchoyo sana, Fisadi papa, baba wa mafisadi Tanzania 😡😡😡😡
ItapendezaIkimpendeza Mauala afanye kama alivyofanya Mwezi Machi, 2021
Povu la omoNyie wachawi habari zenu,Mnajifanya watabiri kumbe Wanga tu hamna lolote .Lengo lenu kuwatia watu jakamoyo lakini hamfanikiwi kamwe.Mnajifanya kuongea kwa mafumbo ili muonekana mna jambo la maana lakini ni namna ya kujifurahisha tu.
Sheikh yahyaHata alindwe na nini siku yake ikifika ataondoka tu hapa duniani, hakuna wa kuishi milele.
Inakuwaje 17/march siku ambayo familia ya hayati Jpm ikiwa na kumbukumbu??17/March itajibu 2025
Lkn team Msoga hatariMambo ya utawala ni magumu Sana ndugu
Kusalitiana ni kugusa tuu.
Lkn team Msoga hatari
Naona network aliyoisuka BT imejichimbia sana ndani ya system kusalitiwa team ile yahitaji IQ ya hali ya juuKwa nini?
Kwa sababu zipi Ruto afanye hivyo?ruto (nato) ndo ataivamia na kuitandika tanzagiza, mkizidi shupaza shingo …
Bi mkubwa hili 5 Tena alimu outsmart kacheki speech ya mzee siku ya uteuzi vigugumizi vingi Sana pale hakutegmea ile kete kabisaNaona network aliyoisuka BT imejichimbia sana ndani ya system kusalitiwa team ile yahitaji IQ ya hali ya juu
Ambaye hakutengemea ni yupi?Bi mkubwa hili 5 Tena alimu outsmart kacheki speech ya mzee siku ya uteuzi vigugumizi vingi Sana pale hakutegmea ile kete kabisa
Huna akiliUsipende kuvamia vamia mada
uliona hiyo para?Dada yangu mpenzi, nakuomba sana, ukisikia kitu, sio lazima ukizingatie kila utakacho sikia, maana utasikia vingapi?, ila sikiliza kila utakacho sikia, na ukiisikia sauti kutoka ndani yako, the voices from within, ikikwambia kitu, uifanyie tathmini hiyo sauti ni sauti ya nani, kati ya YEYE na yeye, kama ni sauti ya kwake YEYE Mwenyewe, na ukajiridhisha ni sauti yake YEYE, then, usiipuuzie!.
Pmngekuwa mnasema na nini kifanyike kuziia hilo mngekuwa watu wa maana sana Pascal Mayalla