Japo hakuna ajuaye sababu za kutwaliwa kaka, isipokuwa yeye, kuna watu saw it coming, wakasema, wakapuuzwa, akatwaliwa. Dada ukisikia usipuuze hili

 
Nyie wachawi habari zenu,Mnajifanya watabiri kumbe Wanga tu hamna lolote .Lengo lenu kuwatia watu jakamoyo lakini hamfanikiwi kamwe.Mnajifanya kuongea kwa mafumbo ili muonekana mna jambo la maana lakini ni namna ya kujifurahisha tu.
Povu la omo
 
uliona hiyo para?
mngekuwa mnasema na nini kifanyike kuziia hilo mngekuwa watu wa maana sana Pascal Mayalla
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…