Japo hakuna ajuaye sababu za kutwaliwa kaka, isipokuwa yeye, kuna watu saw it coming, wakasema, wakapuuzwa, akatwaliwa. Dada ukisikia usipuuze hili

Japo hakuna ajuaye sababu za kutwaliwa kaka, isipokuwa yeye, kuna watu saw it coming, wakasema, wakapuuzwa, akatwaliwa. Dada ukisikia usipuuze hili

Wanabodi,

Haya ni miongoni mwa mabandiko yangu ya kikubwa, weka mbali na watoto, hakuna kutaja taja majina.

Hili ni bandiko la kumhusu yule Kaka yangu, aliyetwaliwa. Japo hakuna binaadamu yeyote ajuaye sababu halisi za kutwaliwa kwake, isipokuwa YEYE mwenyewe pekee, ndie Aliyetoa, kisha Akatwa, ila kuna watu, “Saw It Coming!“ wakasema, wakapuuzwa, as a result, Kaka akatwaliwa!.

Sasa hao watu wenye jicho hilo la tatu, wanaviona viashiria vya same same likely scenario na wanasema kwa nia njema na dhamira safi ya kumsaidia huyu Dada.

Dada yangu mpenzi, nakuomba sana, ukisikia kitu, sio lazima ukizingatie kila utakacho sikia, maana utasikia vingapi?, ila sikiliza kila utakacho sikia, na ukiisikia sauti kutoka ndani yako, the voices from within, ikimwambia kitu, aifanyie tathmini hiyo sauti kama ni sauti ya YEYE Mwenyewe, au ni yeye tuu!, ikitokea ni sauti kwake YEYE, then, usiipuuzie!.

Leo asubuhi nikiwa bafuni naonga ili kwenda kwenye shughuli zangu, nikaisikia sauti, voices from within, ikiniambia, ukisikia kitu, mwambie tuu Dada yako, kuna watu wamemzunguka, wakimwimbia nyimbo za sifa na mapambio, huku wana jicho la tatu, kuna vitu wanaviona, hawamwambiii, wameamua kunyamaza, hawasemi ila ukweli wanaujua, na wana uwezo wa kumsaidia kwa kumwambia ukweli, ila wanachelea labda Dada atakasirika.

Sauti hiyo imeniambia Dada akiambiwa, akisikiliza, itamsaidia, ila akisikia akapuuza, yule YEYE, anaweza kufanya jambo!.

Paskali
acheni hayo. wengine wanasema kazi ya Mungu haina makosa.
 
Wamzungukao Mfalme wamemjaza matope kichwani huku wakimwimbia nyimbo za kumsifu hata nguo alizovaa na hata kutembea kwake...na kumuumbia sifa hewa na kumtafutia vi-tuzo uchwara .. Behind The Scene..wakimwandalia anguko baya na asipokuwa makini atalia na kusaga meno !
Sasa tutegemee nini kama anazungukwa na kuwasikiliza watu kama Steve "Nyerere", Shilole, ma bongo Flava nk?
Jana nimetoa machozi kumuona Rais wangu eti anasimamishwa kumpongeza Ally Kiba na Diamond wakiimba.
Advisors wamemfanya kiongozi wetu mkuu to go that much low kweli? Maana hao ndio wanasimamia kila afanyacho.
Tutaanza kuamini utabiri wa Wanajimu bure! Kama ule alioutoa shehe Yahaya kabla hajafa.
 

Attachments

  • IMG-20250115-WA0005.jpg
    IMG-20250115-WA0005.jpg
    114.2 KB · Views: 4
Hii stori inanikumbusha ile ya mfalme Ahabu, kikao kikaaliwa juu mbinguni Bwana akasema " Ni nani atakayemdanganya Ahabu, ili akwee Ramoth-gileadi akaanguke(akauwawe)? ". Ikumbukwe kwamba mfalme ahabu alifanya machukizo mengi sana mbele ya taifa la Israel yeye pamoja na mke wake Yezebeli.

Akajitokeza pepo mmoja akasema akasimama mbele za Bwana , akasema, Mimi nitamdanganya. Na kweli Ahabu akadanganywa kama ng'ombe apelekwae machinjioni.

Ewe dada uliyekaa hicho kiti hapo juu kabisa Tanzagiza maneno haya sio mageni hapa mjini. BEWARE
 
Sasa tutegemee nini kama anazungukwa na kuwasikiliza watu kama Steve "Nyerere", Shirley, MA bongo Flava nk?
Jana nimetoa machozi kumuona Rais wangu eti anasimamishwa kumpongeza Ally Kiba na Diamond wakiimba.
Advisors wamemfanya kiongozi wetu mkuu to go that much low kweli? Maana hao ndio wanasimamia kila afanyacho.
Tutaanza kuamini utabiri wa Wanajimu bure! Kama ule alioutoa shehe Yahaya kabla hajafa.
Mmmh !
 
Wanabodi,

Haya ni miongoni mwa mabandiko yangu ya kikubwa, weka mbali na watoto, hakuna kutaja taja majina.

Hili ni bandiko la kumhusu yule Kaka yangu, aliyetwaliwa. Japo hakuna binaadamu yeyote ajuaye sababu halisi za kutwaliwa kwake, isipokuwa YEYE mwenyewe pekee, ndie Aliyetoa, kisha Akatwa, ila kuna watu, “Saw It Coming!“ wakasema, wakapuuzwa, as a result, Kaka akatwaliwa!.

Sasa hao watu wenye jicho hilo la tatu, wanaviona viashiria vya same same likely scenario na wanasema kwa nia njema na dhamira safi ya kumsaidia huyu Dada.

Dada yangu mpenzi, nakuomba sana, ukisikia kitu, sio lazima ukizingatie kila utakacho sikia, maana utasikia vingapi?, ila sikiliza kila utakacho sikia, na ukiisikia sauti kutoka ndani yako, the voices from within, ikimwambia kitu, aifanyie tathmini hiyo sauti kama ni sauti ya YEYE Mwenyewe, au ni yeye tuu!, ikitokea ni sauti kwake YEYE, then, usiipuuzie!.

Leo asubuhi nikiwa bafuni naonga ili kwenda kwenye shughuli zangu, nikaisikia sauti, voices from within, ikiniambia, ukisikia kitu, mwambie tuu Dada yako, kuna watu wamemzunguka, wakimwimbia nyimbo za sifa na mapambio, huku wana jicho la tatu, kuna vitu wanaviona, hawamwambiii, wameamua kunyamaza, hawasemi ila ukweli wanaujua, na wana uwezo wa kumsaidia kwa kumwambia ukweli, ila wanachelea labda Dada atakasirika.

Sauti hiyo imeniambia Dada akiambiwa, akisikiliza, itamsaidia, ila akisikia akapuuza, yule YEYE, anaweza kufanya jambo!.

Paskali
Huyo YEYE anaupendo sanaa na Familia yetu kwa kweli.
 
sidhani kama kuna sauti inayoweza kusikika kwake kwa sasa zaidi sifa njema kumuhusu.

hizo sifa jinsi zilivyo nyingi si rahisi sauti nyingine kupenya hadi kumfikia , labda sana ule msemo wa kenge kusikia kwake hadi damu zimtoke masikioni utakapotimia kwake.
Hasa pale manabii wako unawalisha mwenyewe na kuwapa posho. Watakupamba tu
 
Back
Top Bottom